Wakuu,
Katika tafiti zangu za kuangalia jukwaa hili kila siku na thread zinazofunguliwa nimekuja kugundua kuna uwezekano mkubwa wa mwanamke kupata mwenza wake kuliko kwa mwanaume.
Hii ni kwasababu asilimia kubwa ya watembeleaji wa jukwaa ni wanaume kuliko wanawake.
Wanaume msikate tamaa, wanawake wakishajua wanaweza pata wenza huku taarifa zitasambaa na watajaa telee
Katika tafiti zangu za kuangalia jukwaa hili kila siku na thread zinazofunguliwa nimekuja kugundua kuna uwezekano mkubwa wa mwanamke kupata mwenza wake kuliko kwa mwanaume.
Hii ni kwasababu asilimia kubwa ya watembeleaji wa jukwaa ni wanaume kuliko wanawake.
Wanaume msikate tamaa, wanawake wakishajua wanaweza pata wenza huku taarifa zitasambaa na watajaa telee