nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Nahitaji mwanamke mwenye matatizo ya kizazi yaani ambaye hawezi kupata mtoto au amabye ana kizazi ila hatarajii wala hataki kupata mtoto niweze kuwa naye kwenye mahusiano ya mapenzi na baadae tuje kuishi mume na mke.
Sichagui kiwango cha elimu wala umri wala aina ya kazi. Ila kikubwa awe mtu wa kujituma na asiyetegemea kila kitu kutoka kwa mwanaume.
Nipo serious juu ya hili. Kama upo tayari karibu PM
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Nahitaji mwanamke mwenye matatizo ya kizazi yaani ambaye hawezi kupata mtoto au amabye ana kizazi ila hatarajii wala hataki kupata mtoto niweze kuwa naye kwenye mahusiano ya mapenzi na baadae tuje kuishi mume na mke.
Sichagui kiwango cha elimu wala umri wala aina ya kazi. Ila kikubwa awe mtu wa kujituma na asiyetegemea kila kitu kutoka kwa mwanaume.
Nipo serious juu ya hili. Kama upo tayari karibu PM