Don chul Lingula
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 363
- 275
Natafuta mke wa kuoa Nina miaka 25 awe na kazi coz mimi mwenyewe Nina kazi awe mkristo niko serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Je wewe vp unae twende pmHatuna kazi,kazi yetu umbea na kula tu
Ambiace ndio wapi etySa c uende ambiance kama vp uko utapata wengi chaguo ni lako tuu tena wote wanakazi
Hatuna kazi,kazi yetu umbea na kula tu
Haya maisha yameshavaa kimini mke na mume wanatakiwa wasaidiane mfano kusomesha watotoAisee bora upate ambae mtaanza nae maisha
Je wewe vp kama huna mtu twende pm basiNenda maeneobya kahumba mjin morogoro wanawake wapo wengi sana.
Na kazi wanazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maisha ya ubachelor nimeyachokaMiaka 25 unao, fanya mambo mengine gegeda tu sahv stress za ndoa sio lelemama
Sent using Jamii Forums mobile app
kilichofanya utukane nini mpendwa, mwenzako katoa bandiko kaweka na vigezo vyake. He didn't mean to offend anyone kwahiyo ungeweza kupita tu kama unaona huna vigezo au huihitaji mume.
Haya maisha yameshavaa kimini mke na mume wanatakiwa wasaidiane mfano kusomesha watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kazi ya mungu kwa imani naamini nitapataHao watoto unauhakika utapata?
Hahahahahaha