mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 371
Ni hivi wanawake wengi hudhani kwamba majukumu Yaliyompeleka kwa mume ni kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba.
Wanasahau kabisa kuwa lile tendo ndo kiunganishi kikubwa..!
Unakuta mwanamke anamuandalia mume chakula kitamu mezani usiku mume anakula anashiba, inapofika muda wa chakula muhim kitandani eti anakwimbia kachoka! haah!! yani ni bora ungechoka kupika wali ningenunua hata chips kuliko kuchoka kunipa papuch,
"Mtazamo wangu wakati mwingine michepuko husababishwa nyinyi dada zetu." Haiwezekana we week nzima et nimechoka: Lazima MTU awaze tiba mbadala.
*ANGALIZO MICHEPUKO SIO DILI_ BAKI NJIA KUU:
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasahau kabisa kuwa lile tendo ndo kiunganishi kikubwa..!
Unakuta mwanamke anamuandalia mume chakula kitamu mezani usiku mume anakula anashiba, inapofika muda wa chakula muhim kitandani eti anakwimbia kachoka! haah!! yani ni bora ungechoka kupika wali ningenunua hata chips kuliko kuchoka kunipa papuch,
"Mtazamo wangu wakati mwingine michepuko husababishwa nyinyi dada zetu." Haiwezekana we week nzima et nimechoka: Lazima MTU awaze tiba mbadala.
*ANGALIZO MICHEPUKO SIO DILI_ BAKI NJIA KUU:
Sent using Jamii Forums mobile app