Mwanamke anae ishi kanda ya ziwa anahitajika

M2mishi

JF-Expert Member
Mar 2, 2013
709
267
Mtafutaji hachoki, nahitaji mchumba (mke) awe anaishi kanda ya ziwa.
Mimi n kijana mjasiliamali nina umli wa miaka 33.
Ninatafuta mke mwenye umli kai ya miaka 26 hadi 33,
awe mkristo, elimu angalau kidato cha nne na kuendelea asiwe mke wa mtu akiwa na mtoto mmoja rukusa.
Nahitaji walio sereous tu .kama haupo sereous usinitext na wala usi comment pita tu kimya kimya.
Kwa alie sereous nicheki kwa namba 0628944712 kwa maongezi zaidi
 
Sichagui kabila ila na maanisha awe anaishi kanda ya ziwa kwa maana kama anaishi mbali na kanda ya ziwa italeta mkanganyiko wa kua na ndoa ya mbali ambayo mwisho wake hua ni usaliti
 
Mtafutaji hachoki, nahitaji mchumba (mke) awe anaishi kanda ya ziwa.
Mimi n kijana mjasiliamali nina umli wa miaka 33.
Ninatafuta mke mwenye umli kai ya miaka 26 hadi 33,
awe mkristo, elimu angalau kidato cha nne na kuendelea asiwe mke wa mtu akiwa na mtoto mmoja rukusa.
Nahitaji walio sereous tu .kama haupo sereous usinitext na wala usi comment pita tu kimya kimya.
Kwa alie sereous nicheki kwa namba 0628944712 kwa maongezi zaidi
20170817_124027.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom