Nahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake
Awe mweupe sio mweusi
Awe muislam...
Wadau habarini
Nahitaji mdada ambaye ni graduate (zaidi fani ya ualimu) wa kuoa, awe na umri usiyopungua miaka 20 na isiyozidi miaka 25. Na awe mwenye kiu ya maisha, na nitafurahi zaidi akiwa na...
Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo...
Habari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia...
Nahitaji rafiki wa kike wa kawaida. Awe na sifa za kuwa na brain nzuri inayoweza kushiriki kwenye critical discussions ya yeyote tutakayojaaliwa kuzungumzia ndani ya urafiki wetu. Awe...
- Mume anayetambua thamani ya mwanamke yaani kumheshimuvna kumpenda.
- Umri 35-48
- Awe na watoto 2, kama hana mtoto na hana uwezo wa kupata mtoto kabisa pia anakaribishwa twaweza adopt Ikiwa...
siku nyingi nilikua sijatembelea 'engo' hizi leo nimeingia kabla sijasoma chochote naona kama nyuzi saba za wanawake wanaotafuta waume, najiuliza siku hizi wanaume hatuoi au wanawake wamekua wengi...
Licha ya kuwepo kwa kasumba au imani kuwa huwezi kupata mke katika mitandao ya kijamii,mimi napingana nalo sababu waliomo humu ndo haohao tunaokutana nao katika mazingira yetu ya kawaida hivyo...
Siku moja katika darasa la jioni la watu wazima, mwalimu wa saikolojia aliingia darasani na kuwaambia wanafunzi;
"Nataka tucheze mchezo, mtu yeyote yule naomba ajitolee aje hapa mbele"...
Am a Kenya from Mombasa single, am here searching a lady from Tanzania especially from Tanga ikiwa atakuwepo because we share some common tradition i being a Digo. Am 28yrs of age, holding BCOM...
Jamani wana jamii nimejitokeza mbele yenu nami nahitaji mwenza wa maisha ambaye anajitambuwa na kujielewa awe wangu wa maisha na ikimpendeza Mungu ndiye atakayekuwa Mke wangu.
Sifa zangu mimi...
Wapendwa mabib na mabwana
Mim ni mgeni humu na nichukue nafasi hii kuleta haja yangu mbele zenu wana jukwaa.
Nafta bint atakae kuwa mke:
Mitaan warembo ni wengi sana tena wakali tatizo...
Habari za leo wana JF, naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema.
Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina, awe mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu...
Sifa
-Umri 25-32
-Elimu kidato cha 4 na kuendelea
-Ambaye hajawahi kuolewa (Km ana mtoto basi awe 1 tu)
-Dini yyte
Sifa zangu.
-Umri 30s
-Elimu chuo (Degree)
-Nimejiajiri
-Makazi Dar
-Mkristo...
Habari za majukumu ndugu zangu wa Tz.
Moja kwa moja kwenye mada......
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 dini yangu muislam nimeajiriwa serikalini nina mke na watoto wawili nyumbani Zanzibar.
Nimeanza...
Are you a chubby girl in need of some passionate pleasuring and love from a very well endowed guy?
Do you want to throw your head back as you let me kiss between your legs, my hands roaming your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.