Mimi ni kijana wa kitanzania niko hapa kutafuta mwanamke wa kuishi nae
Nimeishia kidato cha nne mwaka 2012 nina miaka 25.
Nimejiajiri kwenye campuni binafsi ya Umoja Computer and IT solution pia...
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza, nahitaji mwanamke aliye tayari kuolewa iwe humu JF ama kwingineko.
SIFA ZANGU
Dini: Muumini wa dini ya kiislamu
Umri: Miaka 32
Urefu: 175 cm
Kabila...
Nina miaka 32
mkristo
Muajiriwa
Elimu Degree
Sio mrefu sio mfupi
Maji ya kunde.
Mwanamke anayehitajika;
Miaka chini ya 27
Awe mkristo
Elimu, diploma au degree
Mweupe
Mwili wa kawaida
Kama una...
Kwa majina ya humu jamvini ni wolfpack. Dini yangu ni mkristo na naishi Arusha mjini. Natafuta rafiki wa kike(mchumba) mwenye umri kwanzia 22 mpaka 26 mwenye vigezo hivi,
1. Awe mweusi au maji ya...
Hi jf.
Nimepata mualiko kutoka Kwa classmate wangu anaoa amenitumia tiketi tangu juzi amesisitiza nifike kwenye harusi yake.
Baada ya harusi nitamsisitiza angalau nikaone hilo kabila...
Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Je, ni kweli kwamba love connect inatumika kama ilivyokusudiwa na waandaaji wa hii forum. Kwa sababu...
Naitwa Ally niko Tabora natafuta rafiki wa kuchat nae then tuwe wachumba ila awe mvulivu shida na njaa, umri kuanzia 18 ~26.
Alietayari namba hiyo 0743850941 kwa eirtel no 0692658141
Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha kwa ndoa halali kutoka kanisani, mimi ni mwanaume niliekamili.
Mke nimtakaye awe ana mapenzi ya kweli, elimu kuanzia la saba na kuendelea awe na...
Nina miaka 23, ndio kwanza nimeanza kupambana na maisha baada ya masomo.
Napenda kuwa na friends zaidi wa kike tupeane changamoto zaidi. Ukiwa interested ni PM... [emoji108] [emoji108]
Habari wana jamvi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37, nina elimu ya chuo kikuu na kazi nzuri, nimekamilika biologically, physically.
Kitabia mimi ni binadamu sio malaika. Imani yangu ni...
Wadau kuna msichana nimempenda nikamtongoza ili tuwe wapenzi ,amenisumbua muda mrefu mpaka kuja kunikubalia sasa shida ni kwamba ameniuliza kama niko kwenye mahusiano kwa sasa nimemdanganya niko...
Habari za mchana!
Kuna jirani yangu leo tangu asubuhi kavurugwa anamtafuta house boy wake kakimbia baada ya kumstukia house girl ana mimba alivyomkodolea macho kasema kweli ana mimba ya house...
Nahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake
Awe mweupe sio mweusi
Awe muislam...
Wadau habarini
Nahitaji mdada ambaye ni graduate (zaidi fani ya ualimu) wa kuoa, awe na umri usiyopungua miaka 20 na isiyozidi miaka 25. Na awe mwenye kiu ya maisha, na nitafurahi zaidi akiwa na...
Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.