Habari zenu!
Kuna mwanamke msumbufu kwenye ndoa kavuruga ubongo wa mumewe ili apewe talaka hatimae akapewa talaka.
Juzi karudi eti wagawane Mali mume kamwambia nyumba ya watoto hivyo hakuna...
Natafuta mpenzi awe serious na mimi anipende jinsi nilivyo aniheshimu nami nitampenda na kumueshimu siku zote. Na mwisho tufunge ndoa takatifu.
Sifa za mpenzi wangu:
Umri :30-35
Awe na mapenzi...
habari ndugu zangu. Nataka kuhamia morogoro na sijawahi kufika. Naomba kwa wakazi wa morogoro tutawasiliane kwa namba 0752514927. Au godwingerald34@gmail.com.
Naomba saaana msaada wenu ndugu zangu.
Kama kawa kama sawa!!
Kila siku nasikia vijana mabachela wanauliza kuhusu hili swala la mke kuwa Wife material au kwa wadada kutafuta mwanaume husband material au kwa ufupi wanatafuta mtu ambaye...
habari wana jf
natumaini kwa uwezo wa MWENYEZI MUNGU kila mmoja yuko poa kwa nafasi yake; ingwa kunawengine hawapo vzuri sana kiafya muda huu pengine wapo vitandani wakiuguza majeraa mbali mbali...
Habari zenu wakuu !
nimeamua kuandika huu uzi kwa sababu nami ni muhanga katika suala hili ila nimekaa chini na kuamua kuandika ili niwasaidie vijana wenzangu juu ya suala hili
Lakini mtakumbuka...
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters...
Umempokonya mwenzio ukapewa usukani wewe unaanza mbwembwe kisa nimekujengea nyumba unapiga pamba blin blin acha hizo.
Big house naiheshimu au unataka tuachane wewe uwe mmiliki wa kila kitu mpaka...
Ni ngumu mno kumpata mwenza wa maisha, ukiamua tu kuwa na mtu kuna kitu kinaibuka unajiuliza hivi huu ndio mwanzo hata wiki au mwezi wa kufahamiana bado, duh tayari nimepata picha huko mbeleni...
nahitaji rafiki wa ku-socialize awe wa kike, umri chini ya miaka 22 na asipungue 18 awe anaishi dar, sifa ya ziada awe mzuri sitaki rafiki ntakaeogopa kumtambulisha kwa marafiki wengine kuwa huyu...
Salam, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninahitaji mke/mchumba alie siriazi na mahusiano.
Sifa zangu.
Mimi ni mkristo dhehebu la KKKT.
Nina watoto 4 kila mmoja na mama yake.
Nina kazi ya...
Nahitaji rafiki wa kike wala sio mpenzi sababu mpenzi ninae. Ila akitaka Huduma nyingne nitampa anazostahili mchumba. Tubadilishane mawazo ya maisha na tupeane ushauri. Awe na elimu juu hatakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.