Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nahitaji rafiki wa kike wala sio mpenzi sababu mpenzi ninae. Ila akitaka Huduma nyingne nitampa anazostahili mchumba. Tubadilishane mawazo ya maisha na tupeane ushauri. Awe na elimu juu hatakama...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
niliandika thread humu natafuta mdada aliyesoma na ana kazi ila mapovu yaliyowatoka watu si wa nchi hii. kwahyo bongo wadada wanataka wawe magolikipa tu ama? hizi mentality bana, muwe mnabadilika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume umri wangumiaka 35, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamke awe na sifa zifuatazo; awe mkristu hasa RC, ambaye hajazaa atafikiriwa zaidi, awe muajiriwa. Mengine njoo PM.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Hello Napenda kutumia nafasi hii kutafuta msichana mzuri na mrembo mwenye sifa zifuatazo: 01: umri miaka 18-30 02: elimu kuanzia form 4 mpaka bachelor degree. 03: dini awe mkristo 04: awe mrefu...
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Nina miaka 25, Mkristo na nimejiajiri ninatafuta mpenzi awe umri kuanzia 20 mpaka 27. Awe dini yoyote ila awe tayari kubadili endapo tutaoana. Awe na urefu wa wastan kuanzia 145cm mpaka 160cm...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Natafuta rafiki wa kike (umri 18-25) wa kupiga nae story ili kuniondolea upweke. PM me.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello Bila shaka mko poa! Kama headline inavosomeka, natafuta mwanamke wa KUANZISHA nae mahusiano ya kimapenzi kwa lengo la kuja kuoana na kuishi pamoja! Umri : 28 Mwanachuo mwaka wa tatu...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Natafuta rafiki, awe msomi degree na kuendelea, rangi yoyote na umbo lolote kabila lolote miaka yoyote, Sihitaji mchumba wala girlfriend narudia tena ni rafiki tu wa kubadilishana mawazo na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Morning Jf! Kuna mdogo wangu kampenda sana bint mrembo chuchu kama mdoli kwao watata jamaa nae mipango ya ajira bado haijakamilika. Anahofia kipindi cha kusubiria atapokonywa kwa urembo wake hata...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu natafuta mchumba wa kuoa ambaye anasoma Chuo cha Ualimu Tabora ama Chuo Cha Uhazili Tabora aliyetayari kuolewa na asiyejali masuala ya uke wenza. Sifa za nwanamke huyo: -Umri kati ya 20...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Hellow, najitokeza Kwa Mara ya kwanza kutafuta mke wa Kuoa.Kwajina naitwa Johnson mwenye Umri wa miaka 35,dini yangu ni mkristu (RC), rangi na muonekano wangu ni mweusi, urefu na unene niwa...
2 Reactions
14 Replies
7K Views
Nina miaka 26 Naishi magomeni mwembe chai Msichana yoyote alie single aje tujenge maushano mpaka tufika juu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri, umri kuanzia miaka 30, Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha. Awe mkristo, ila asiwe mlokole, Awe na upendo wa kweli...
19 Reactions
355 Replies
26K Views
Kama jina linavyojieleza mimi ni msichana mrembo sana nipo Dar es Salam napenda sana kujifunza hasa kutoka kwa critical thinkers! Nafahamu yakuwa kuwa curious kuna negative na positive outcomes...
8 Reactions
96 Replies
7K Views
Nina miaka 24, nina degree, ni miss miss. Natafuta mpenzi mwenye elimu, mtaarabu, asiwe mnene, awe na mapenzi ya kweli. ni PM tafadhali.
1 Reactions
48 Replies
7K Views
Mimi natafuta mchumba awe mweupe mrefu wa stani awe na elimu nzuri i mean degree nakundelea. Umri 36 - 50 hata kama unawatoto mimi sawa tutatunza. Awe mcheshi ila sio kuzidi. Awe na kazi nzuri...
2 Reactions
97 Replies
8K Views
Habari za masiku wakuu wa jamvi, Hapo kipindi cha nyuma nilipost Uzi wa kutaka mwenza ambae ni single mother japo ulifutwa Mara mbili. Hakika kila jambo lenye kheri na lenye tija linamafanikio...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wana JF . Kuna hii tabia ya akina wadada ambao akitaka kuja kwako kama mpo mkoa tofauti lazima atadai nauli ya kurudia mkoani kwake. Hvi najiuliza alipokuja kwani alijua anakaa maisha au...
0 Reactions
8 Replies
922 Views
Kitaaluma ni mkufunzi na nina umri wa 30 years, nahitaji mwanamke aliyetayari kuishi nami kwenye shida na raha atleast awe na 23 years and above .Kigezo kikubwa awe mpole mstaarabu .Uzuri ni kazi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania nimeajiliwa nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo - umri 21- 30 -Muajiliwa -mkristo -Asiwe mfupi -awe white au maji ya kunde -Asiwe mnene sana au mwembamba sana...
1 Reactions
2 Replies
862 Views
Back
Top Bottom