Mvua Ya Kiangaz
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 308
- 144
Hodi Jamvini, jamani mwenzenu niko hoi,pamoja na kashfa,visa na matukio ya hapa na pale kuhusu Wema Sepetu,mwenzenu binti huyu ananitia wazimu,sijui nielezee vipi,lakini naamini mnanielewa,nadhani ninacho anachohitaji na akija kwangu kamwe hataondoka,wana JF hisia zangu kwake ni za dhati na nashindwa kujielewa,naomba mnipe mwongozo ili nisije kuamua kwa kufuata hisia kuliko uhalisia, kwa maoni ambayo hamtapenda yaonekane jamvini tafadhali nitumieni kwenye: petitmacdowel@yahoo.com,
Niko serious nataka kutangaza ndoa......
Niko serious nataka kutangaza ndoa......