Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.
Usiwe umepeana talaka na mkeo.
Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe...
Nimestukia kwamba mahitaji ya mke au mume ni mengi kila uchao.
Maana post za kutafuta mchumba, mke/mume ni nyingi online.
Hivi ni kweli kwamba hao waombao kupata mwenza humu JF hufanikiwa...
habari za mida wadau!
2 weeks ago niliandika juu ya hitaji langu la kupata mwenzangu wa kula nae maisha nikaweka na wajihi wake anatakiwa awe sasa kibembe kimenikuta juu ya kutafutwa na mke wa...
Kuna makundi mawili Ya wanawake na makundi mawili Ya wanaume
Makundi Ya wanaume
1.aina Ya kwanza Ya mwanaume ni yule mwenye homoni tupu za kiume
Hawa tabia zao huwa na mfume dume,na mara nyingi...
Katika dunia hii iliyojaa rabsha,karaha na madhila lukuki, Mwenyezi MUNGU alituruzuku Mahaba ili yatuliwaze.
Ewe binti mrembo,uliyeumbwa ukaumbika,mkazi wa dar es salaam,ningependa Kuwa nawe...
Umri Wangu Miaka 23
Makazi Dar es Salaam..
Other Details Utazifahamu Once Tutakapo Wasiliana.Ukipendezewa Zaidi Kunifahamu PM Ipowazi Tutazungumza Kinagaubaga.
Wasifu
Mimi nikijana wa miaka 25-30 (Dume/rijali)
Mkazi wa Dar es salaam
Elimu ni shahada ya usimamizi wa fedha na biashara
Natafuta mwenza wa kujifunza nae mambo mbali mbali ya mahusiano kama...
Habari zenu comrades.. Mimi ni kijana mwenye miaka 25 ni mwajiliwa serikalini,natafuta mke awe na miaka kuanzia 18 hadi 28 ,nipo serious mwanye kuhitaje naomba aje PM sichagui Dini
wala kabila
Habari za majukumu wakubwa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu..
Sifa awe anaishi Dar au Zanzibar,..
Urafiki wetu utakuwa wa kufa na kuzikana (sizungumzii mapenzi).
Kwa alie tayari...
Natamani kupata mwanamke wa kufunga nae ndoa mwaka huu, umri wangu ni miaka 38, sijawai kuoa wala kuzaa na mwanamke yoyote nilikuwa masomoni Ujerumani.
Mwanamke awe na umri wowote, dini yoyote...
kama kichwa cha habari kinavojieleza,niko serious natafuta binti wa kuoa,umri wangu ni 35yrs.
vigezo;
-awe tayari kuchek afya
-umri chini ya wangu
-kabila lolote
-anajitambua kuwa anahitaji kuolewa
Mimi kijana nimejitokeza kutafuta mwanamke ambaye tutaweza kuwa kwenye mahusiano yatakayopelekea ndoa
Kuhusu mimi
Umri 25 years.
Elimu Diploma.
Kazi: Nurse
Nahitaji mke awe na sifa zafuatazo...
Kwa heshima ya kipekee na ndani ya moyo wangu,
Kwa mara nyingine Leo napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa waanzilishi wa JF. Kwangu mimi imenitendea mambo mengi kupitia watu wake.
Mbali na...
HABARI!
Jamani ndugu zangu, natafuta mpenzi wa kike
Mimi ni kijana wa Kitanzania umri miaka 21,
Nahitaji mpenzi awe amenizidi miaka 3-5, lakini sio kigezo cha muhimu sana, Ata akiwa wa umri...
SIFA ZA MWANAMKE NITAKAYE MUOA 2018 MIMi Deo KISANDU.
1.Asiwe mtoto au ndugu wa Rais au Makamu wa Rais au Waziri mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi au Waziri au Viongozi wa CCM au CHADEMA.
2. Asiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.