Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue. Usiwe umepeana talaka na mkeo. Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe...
9 Reactions
180 Replies
16K Views
Ujue madhaifu ya umpendae chumbani! Tusikurupuke tu na kupalamiana.
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimestukia kwamba mahitaji ya mke au mume ni mengi kila uchao. Maana post za kutafuta mchumba, mke/mume ni nyingi online. Hivi ni kweli kwamba hao waombao kupata mwenza humu JF hufanikiwa...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Nahitaji MTU wakuongea nae na Ku share nae hisia zangu ,na wakati mwingine kwenda nae shopping au matembezini hasa siku za weekend
2 Reactions
2 Replies
1K Views
habari za mida wadau! 2 weeks ago niliandika juu ya hitaji langu la kupata mwenzangu wa kula nae maisha nikaweka na wajihi wake anatakiwa awe sasa kibembe kimenikuta juu ya kutafutwa na mke wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna makundi mawili Ya wanawake na makundi mawili Ya wanaume Makundi Ya wanaume 1.aina Ya kwanza Ya mwanaume ni yule mwenye homoni tupu za kiume Hawa tabia zao huwa na mfume dume,na mara nyingi...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Katika dunia hii iliyojaa rabsha,karaha na madhila lukuki, Mwenyezi MUNGU alituruzuku Mahaba ili yatuliwaze. Ewe binti mrembo,uliyeumbwa ukaumbika,mkazi wa dar es salaam,ningependa Kuwa nawe...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Umri Wangu Miaka 23 Makazi Dar es Salaam.. Other Details Utazifahamu Once Tutakapo Wasiliana.Ukipendezewa Zaidi Kunifahamu PM Ipowazi Tutazungumza Kinagaubaga.
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Wasifu Mimi nikijana wa miaka 25-30 (Dume/rijali) Mkazi wa Dar es salaam Elimu ni shahada ya usimamizi wa fedha na biashara Natafuta mwenza wa kujifunza nae mambo mbali mbali ya mahusiano kama...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Guys Kama kuna mwanamke ana group la damu lenye -veRh naomb ani pm.tupo wachache.
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari zenu comrades.. Mimi ni kijana mwenye miaka 25 ni mwajiliwa serikalini,natafuta mke awe na miaka kuanzia 18 hadi 28 ,nipo serious mwanye kuhitaje naomba aje PM sichagui Dini wala kabila
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za majukumu wakubwa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu.. Sifa awe anaishi Dar au Zanzibar,.. Urafiki wetu utakuwa wa kufa na kuzikana (sizungumzii mapenzi). Kwa alie tayari...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Natamani kupata mwanamke wa kufunga nae ndoa mwaka huu, umri wangu ni miaka 38, sijawai kuoa wala kuzaa na mwanamke yoyote nilikuwa masomoni Ujerumani. Mwanamke awe na umri wowote, dini yoyote...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
kama kichwa cha habari kinavojieleza,niko serious natafuta binti wa kuoa,umri wangu ni 35yrs. vigezo; -awe tayari kuchek afya -umri chini ya wangu -kabila lolote -anajitambua kuwa anahitaji kuolewa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi kijana nimejitokeza kutafuta mwanamke ambaye tutaweza kuwa kwenye mahusiano yatakayopelekea ndoa Kuhusu mimi Umri 25 years. Elimu Diploma. Kazi: Nurse Nahitaji mke awe na sifa zafuatazo...
1 Reactions
0 Replies
623 Views
Niko singda natafta mwanamke wakuanaye ,akipenda mungu awe mke wangu mm na miaka 24 but yy akiwa ata na 32 sio mbaya nitafte dm kama unahitaji
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa heshima ya kipekee na ndani ya moyo wangu, Kwa mara nyingine Leo napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa waanzilishi wa JF. Kwangu mimi imenitendea mambo mengi kupitia watu wake. Mbali na...
25 Reactions
153 Replies
10K Views
Watu wengi wanazungumzia mapenzi, kupendwa na kupenda ivi wanamaaninisha nini naninani? Mwenyejukumu la kumpenda mwenzie Me&Ke!
1 Reactions
12 Replies
3K Views
HABARI! Jamani ndugu zangu, natafuta mpenzi wa kike Mimi ni kijana wa Kitanzania umri miaka 21, Nahitaji mpenzi awe amenizidi miaka 3-5, lakini sio kigezo cha muhimu sana, Ata akiwa wa umri...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
SIFA ZA MWANAMKE NITAKAYE MUOA 2018 MIMi Deo KISANDU. 1.Asiwe mtoto au ndugu wa Rais au Makamu wa Rais au Waziri mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi au Waziri au Viongozi wa CCM au CHADEMA. 2. Asiwe...
10 Reactions
64 Replies
9K Views
Back
Top Bottom