Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 617
- 487
Habari wanajopo. Mm ni kijana wa umri wa miaka 30,nilioa msichana wa miaka 25 na nimezaa nae mtoto 1.
Tatizo kubwa la msichana huyu nadhani ni kutokana na umri wake yaani sio mtu wa malengo kimaisha na ana matumizi mabaya sana ya hela,hajui kujibajet. Nimechoshwa na maisha ya kuanza moja kila siku badala ya kuendelea.
Sasa najitokeza kwenu kutangaza kuwa natafuta mwanamke alienizidi umri. Hata kama ameshazaa kwangu si tatizo na pia waliowahi kuolewa nitawapa kipaombele zaid. Mwanamke alienizid umri nina iman kuwa tayari keshayajua maisha hivyo tutashirikiana kupanga na kusimamia miradi ya kiuchumi tutakayoianzisha kwa mustakbali wa watoto wetu.
Waliotayari wani pm.
Tatizo kubwa la msichana huyu nadhani ni kutokana na umri wake yaani sio mtu wa malengo kimaisha na ana matumizi mabaya sana ya hela,hajui kujibajet. Nimechoshwa na maisha ya kuanza moja kila siku badala ya kuendelea.
Sasa najitokeza kwenu kutangaza kuwa natafuta mwanamke alienizidi umri. Hata kama ameshazaa kwangu si tatizo na pia waliowahi kuolewa nitawapa kipaombele zaid. Mwanamke alienizid umri nina iman kuwa tayari keshayajua maisha hivyo tutashirikiana kupanga na kusimamia miradi ya kiuchumi tutakayoianzisha kwa mustakbali wa watoto wetu.
Waliotayari wani pm.