Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,554
- 45,858
Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.
Usiwe umepeana talaka na mkeo.
Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.
Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.
Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.
Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.
Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
Usiwe umepeana talaka na mkeo.
Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.
Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.
Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.
Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.
Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo