Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hii inamhusu yule aliewahi kupost kuwa anatafuta na hatimaye akapata Mke/Mume/Mchumba kupitia jukwaa hili. Share angalau kwa ufupi changamoto ulizokumbana nazo ktk huo mchakato hadi ukafanikiwa...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana wa miaka 30 Elimu yangu degree Kazi mjasiliamari Nakoishi mbeya Nataka mwanamke wa kumuoa Awe anasari Awe na umri kuanzia miaka 24 na kuendelea, awe mfanyakaz au ata asipokuwa...
0 Reactions
53 Replies
3K Views
Nina hitaji mchumba ambaye atakua serious na relationship ili awe mke wangu. Elimu yangu ni bachelor degree shughuli zangu nazifanyia Morogoro na Dar. Sifa za mke awe na elimu japo form four na...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wana mmu! mimi nikijana wa miaka 29 ifikapo 29 october mwaka huu. Nina elimu ya chuo kikuu nimehitimu mwaka 2017. na sasa nipo katika mchakato wa kuongeza elimu yangu katika fani tofauti...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Natafta Mke vigezo awe tayar kuolewa, mwislamu,umri 24-32,mawasiliano ni WhatsApp 0653290146.... CV .Elimu -bachelor ya education (elimu ya chuo) .Kazi-Nimejiajiri maduka ya cm bnafs .Cna gari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 26 ni muhitimu wa chuo, nimejiajiri natafuta msichana aliyeserious katika mahusiano, Vigezo. mcha mungu, bila kujali ni msichana au single mother ili mradi awe mcha...
1 Reactions
0 Replies
945 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ninaishi dar na shughuli zangu nafanyia dar; ninajitegemea nikimaanisha nimejiajiri na pia nimeajiriwa; elimu niña digrii moja; mengine tutaambiana na ambaye...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Kicha jinajekeza Mimi ni kijana wa kiume naitaji mchunba wa kike 1.awe nwakimy 2.nyanda za juu kusini 3 .umri miaka 23-26 4.awe hajawai kuzaa au kuilewa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Awe mkristo na mwenye kujiheshimu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
930 Views
Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874
6 Reactions
112 Replies
21K Views
Tafadhari usika na kichwa cha Habari hapo juu kama kinavyo jieleza. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27. Naishi Dar-Es-Salaam Temeke. Dini yangu ni muislamu. Natafuta mpenzi wa kike. Hawe na...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Naitwa Walter Frank . Nina miaka 33, Kabila ni Mkara na Mpogoro. Dini yangu ni Mkristo wa Dhehebu la Katoliki. Elimu yangu ni Shahada ya Mawasiliano na sasa naendelea na Shahada yangu ya Uzamili...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Amani ya Mola iwe juu yenu wote. Naomba kurudia tangazo langu tena la uhitaji wa dhati wa mwanamke wa kumuoa..Pasi na masikhara wala maigizo naomba kuwasilisha tena ombi langu la kumptafuta...
3 Reactions
71 Replies
6K Views
Kuna hali hua inanitokea na hii ni tangu nakua nimegundua hili, Inapotokea ninapo onana na jinsia ya kike kwa mara ya kwanza alafu akanivutia sana, sasa kadri ninavyozidi kumuona na hata pengine...
0 Reactions
3 Replies
950 Views
Habari wanajopo. Mm ni kijana wa umri wa miaka 30,nilioa msichana wa miaka 25 na nimezaa nae mtoto 1. Tatizo kubwa la msichana huyu nadhani ni kutokana na umri wake yaani sio mtu wa malengo...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Habarini wakuu... Tatizo la kukosa mtoto na kutoshika kwa mimba limekua sugu miongoni mwa kina Dada wengi ( haswa wale waliowahi kutoa mimba ....ingawa si wote) Kama kuna mtu mwenye tatizo hili...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na...
23 Reactions
262 Replies
28K Views
Well mimi ni mwanaume Umri 28 Mfanyakazi Kampuni binafsi Makazi Dar-Mbezi kimara Elimu Bachelor degree (Bsc) Mrefu wastani Maji ya kunde Natafuta msichana mwenye Sifa zifuatazo: Mcheshi Mcha...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello wana Jf Jina. Ben Carson Umri. 35 Elimu. Bachelor degree Dini. Mkristu Kazi. Mwajiriwa Urefu. 160cm Naishi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wanaume? Mimi nina miaka 23, nipo DSM. Nafanya kazi katika kampuni moja ipo hapa hapa DSM. Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo, nita penda kama...
5 Reactions
122 Replies
18K Views
Back
Top Bottom