Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,408
Habari wana mmu! mimi nikijana wa miaka 29 ifikapo 29 october mwaka huu. Nina elimu ya chuo kikuu nimehitimu mwaka 2017. na sasa nipo katika mchakato wa kuongeza elimu yangu katika fani tofauti, yaani degree nyingine kwa njia ya masafa katika chuo kimoja kipo QATAR. bado sijaajiliwa!
Natafuta mpenzi mwenye kuanzia miaka 29 mapaka 35, asiwe tegemezi akiwa na kazi yake vizuri sana kwa kuwa ni yake sio yangu!
Asiwe mfupi awe mrefu kiasi au zaidi poa tu mimi nina urefu wa futi 5 na nchi 7. rangi maji ya kunde nina mwili wa mazoezi ila kwa appearance unaweza kusema nina miaka 25 au hata 22. naonekana kitoto hivi kama.
Asiwe mweusi, awe na namba 8 kwa sababu sina hisia na wanawake wembamba ndugu zangu ukweli muhimu tu au kwa lugha rahisi kwa mfano uwe kama wema tu. Ukiwa muislamu vizuri zaidi kama ni mristo uwe tayari kubadili dini wakati wa kufunga ndoa. Usiwe na mtoto. Am just serious ukweli na uwazi ni muhimu tu. mimi sina mtoto hata wakusingiziwa. kwa sasas nipo tarime, mara. ni pm tuyajenge kama upo serious kwa mahusiano ya endelevu. unaweza tumia email pia: nachubai1997@gmail.com
Natafuta mpenzi mwenye kuanzia miaka 29 mapaka 35, asiwe tegemezi akiwa na kazi yake vizuri sana kwa kuwa ni yake sio yangu!
Asiwe mfupi awe mrefu kiasi au zaidi poa tu mimi nina urefu wa futi 5 na nchi 7. rangi maji ya kunde nina mwili wa mazoezi ila kwa appearance unaweza kusema nina miaka 25 au hata 22. naonekana kitoto hivi kama.
Asiwe mweusi, awe na namba 8 kwa sababu sina hisia na wanawake wembamba ndugu zangu ukweli muhimu tu au kwa lugha rahisi kwa mfano uwe kama wema tu. Ukiwa muislamu vizuri zaidi kama ni mristo uwe tayari kubadili dini wakati wa kufunga ndoa. Usiwe na mtoto. Am just serious ukweli na uwazi ni muhimu tu. mimi sina mtoto hata wakusingiziwa. kwa sasas nipo tarime, mara. ni pm tuyajenge kama upo serious kwa mahusiano ya endelevu. unaweza tumia email pia: nachubai1997@gmail.com