Mm ni mwanaume wa over 40 yrs. Nipo dar, natafuta mama aliyefiwa na mume anayehitaji kuliwazwa kisaikolojia na kimapenzi, pia sihitaji pesa zake, mimi ninazo zangu. Mwenye nia aje PM.
mambo naitwa moses mkristo naishi dsm,nna miaka 33,elimu yangu kidato cha sita ,sijabahatika kupata watoto,dini yangu mnyakyusa,urefu wangu 5.8 ft,mwili wastan,rangi maji ya kunde ,bado...
Nahitaji mke awe Daktari wa tiba au awe na PhD. umri wake uwe kuanzia miaka 28-39 mweupe au maji ya kunde mrefu asiwe mfupi. umri wangu ni 38, ni mweupe. ambaye atakuwa interested aniandikie...
Sio rahisi sana kuandika hapa,ila tunaandika kwa Imani tu kuwa Mungu atafanya coz mume/mke anapatikana popote:
In short natafuta mume umri wangu 27,mkristo,ni single mom(swali la baba ake yupo...
Natafuta mke au mpenzi wa aliyenizidi umri umri wangu miaka 27 naishi morogoro mjini.
SIFA ZAKE:
- Awe na umri wa miaka 30 na kuendelea
- Awe mwenye mapenzi ya kweli kwangu
- Awe mwenye...
habari za jioni wana love connect
ninahakika humu hakuna mabinti wanaohitaji kupata wenza,maana vijana wengi wanajitokeza na kutoa detail zao,lakini hakuna mrejesho kwamba wamefanikiwa,nauliza...
Assalam alaykum wana JF naitwa Nasry natokea Morogoro natafuta mchumba ambaye kwa uwezo wa mungu atakuja kuwa MKE In Sha Allah sifa nazozihitaji
1)awe muislamu
2)anaejistir kwa mavazi kuanzia...
SIFA ZANGU
- Miaka 35
- Mkristo
- Nimejiajiri na nina elimu ya kidato cha nne
- Sijawahi oa na sina mtoto
SIFA ZAKE
- awe tayari kupima afya.
- Mkristo na asiwe na mtoto
-Elimu yoyote na kabila...
natafuta marafiki wa kike tu. Wa kubadilishana mawazo....!
STRICTLY SINA MPANGO WA KUOA AMA KUWA IN RELATION..
NI PM KAMA UPO READY
Sent using Jamii Forums mobile app
Assalam alaykum wana JF naitw
a Nasry natokea Morogoro natafuta mchumba ambaye kwa uwezo wa mungu atakuja kuwa MKE In Sha Allah sifa nazozihitaji
1)awe muislamu
2)anaejistir kwa mavazi kuanzia...
Wana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapa ni inbox
Habari zenu,
Nilileta habari ya kutafuta mume soma; Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa Napenda kuwashukuru wale wote milojitokeza kwa nia nzuri au mbaya na kubwa namshukuru Mungu wangu kwa...
Habari zenu humu ndani, natumai wote ni wazima. Mimi ni kijana mwenye miaka 29, nahitaji mke kutoka humu au nje ya humu jf. Nimekuja humu kwa kuwa nina amini hili ni jukwaa la great thinkers hivyo...
Uwe na umri wa miaka 25-30
Elimu:diploma au degree
Makazi:popote Tanzania
Kabila:lolote ISIPOKUWA MMACHAME.
Kazi:kama huna ajira hakuna shida
Mzuri na mwenye umbo zuri.
MIMI NILIVYO...
Mimi ni kijana wa miaka 27 naishi Dar-Es-Salaam kazi yangu MissionTown
Natafuta mpenzi mwanamke hawe na Umri kuanzia miaka 20 mpaka 27 hawe anaishi Dar-Es-Salaam hawe na kazi asiwe na kazi ni...
Habari ?
Najitokeza katika jukwaa hili kutafuta mchumba WA kike , awe na umri kuanzia miaka 18-27.
Mimi Nina miaka 28 na nimejiajiri.
Tahadhari usije kujaribu .
Pia naomba mzingatie umri....
...
Mimi ni binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana, ila naona mda unaeenda na yeye ukimuuliza hajajipanga kimaisha.
Nimechoma kumsubiri natafuta mume wa kunioa.
angalau awe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.