Habar wana jamii
Imemtokea jamaa yangu naishi nae jirani ambae alikutana na demu mwez mmoja uliopita,wakakubaliana kuingia kwenye mahusiano na kupeana mda wa kuachana na wale wapenzi walioanza nao...
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa...
Kwanza naomba nianze kwa kujitambulisha..
Mimi ni mkazi wa Tanzania na nimejiunga jamii forum zaidi ya miaka kumi sasa lakini niliifahamu JF miaka mitatu kabla ya hapo.
NB kujiunga miaka kumi...
Habari, husika na kichwa hapo juu, natafuta mke anayejitambua na kujua nini maana ya ndoa, na mwenye heshima kwa mume
- sifa zangu kwa ufupi:-
- Nina miaka 30
-mrefu, mwembamba kiasi, rangi yangu...
Mm n kijan wa miak 23, mwanafunz w mwk w 3 chuo n niko single. Natafut mpenz w kike mwny sifa zifuatazo:
Umri: miak 19-22,
Dini: yoyote
mahali: awe anaishi dar.
Kw yoyot alie tayar nichek kwny...
Mimi ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Naamini mke anaweza kupatikana mahali popote pale Mungu ndo humwongoza mtu kupata mke mwema
Sifa zangu
Umri:30
Elimu:Chuo
Kazi:Nimejiajiri
Dini:Mkristo
Sifa za nimtakae
Umri:19-32
Elimu...
Habari zenu wana jukwaa, mimi ni kijana wa kiume, makazi yangu ni dar es salaam maeneo ya chanika
Lengo na dhumuni kuja mbele yenu nahitaji binti ambaye yuko tayari kuingia katika mahusiani nami...
Habari zenu,
naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.
WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto...
salama na amani iwe kwenu LC
Kutafuta na kuchagua mwenza si kazi ndogo kama wengi wanavyochukulia kwa kuwa naamini inawezekana ikawa muendelezo wa furaha yangu ambayo nimeihangaikia kwa miaka...
Habari zenu wanajukwaa? Ninatatizo kuhusiana na kupokea taarifa ya ujumbe wa message kutoka JF lakini ninapofunguwa ili nisome sioni ujumbe wowote.
Msaada tafadhali juu ya hili tatizo
Habari marafiki naitaji mpenzi atakayekuja kuwa mama Watoto Wangu miaka siyo kigezo heshima Na ukweli ndicho cha muhimu mm nafanya kazi nimejiajiri naomba nayy awe amejiajiri au kaajiriwa asante...
Habari zenu mabinti wa jf:-
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu:
Kipato,umri,rangi,umbo n.k vyote hivyo sitazingatia, cha mhimu awe mwanamke tu!
Kwa yeyote ambaye ataguswa moyoni na ujumbe huu...
There is this girl I met at my working place in the mid last year, we exchanged contact that day, and one thing led to the other and we started dating. We are really into each other and I can...
Asalaam Aleykum!
Wakuu sipendi kuwachosha maana sisi watu wazima hatunaga habari za nikilala nakuota au nikinywa maji nakuona kwenye kikombe.
Jamani kwakifupi ujana wangu nimeutumia vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.