mandela1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 837
- 600
Hainiingi akili ule usemi unaosemwa kuwa .
GHARISHA YAKO KWANZA . Sasa wanawake wangi hupenda mapambo ,vidani,cheni,nguo nzuri na n.k
Hii yote huongeza kasi ya yeye kuwa mrembo na kutongozwa mara nyingi.
Sasa ili usiishi kwa wasiwasi maana wengi wanaume tunawapenda wake zetu sana na pia hatupendi kuona wakichepuka na kutongozwa ovyo
Je nisiowe mwanamke mzuri kiasi kuwa akipita mtaani wanamwangalia mara moja na kumpotezea ama niowe mzuri iwe tishio kitaa akipita wajilambe na udenda uwatoke niishi kwa wasiwasi .
WANGU HATONGOZWI nitamuweka awe wakawaida sana
WANGU HATONGOZWI
ntaowa mwanamke wa mbaya yaani wife material na sio sex material
WANGU HATONGOZWI
ntamjengea fensi na kuhemea kila kitu mradi asitoke pia ntafuga mbwa mkali
Je hii iko sawa kuondokana na wivu pamoja na maumivu ya mapenzi?
GHARISHA YAKO KWANZA . Sasa wanawake wangi hupenda mapambo ,vidani,cheni,nguo nzuri na n.k
Hii yote huongeza kasi ya yeye kuwa mrembo na kutongozwa mara nyingi.
Sasa ili usiishi kwa wasiwasi maana wengi wanaume tunawapenda wake zetu sana na pia hatupendi kuona wakichepuka na kutongozwa ovyo
Je nisiowe mwanamke mzuri kiasi kuwa akipita mtaani wanamwangalia mara moja na kumpotezea ama niowe mzuri iwe tishio kitaa akipita wajilambe na udenda uwatoke niishi kwa wasiwasi .
WANGU HATONGOZWI nitamuweka awe wakawaida sana
WANGU HATONGOZWI
ntaowa mwanamke wa mbaya yaani wife material na sio sex material
WANGU HATONGOZWI
ntamjengea fensi na kuhemea kila kitu mradi asitoke pia ntafuga mbwa mkali
Je hii iko sawa kuondokana na wivu pamoja na maumivu ya mapenzi?