mandela1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 837
- 600
Habari wandugu street kwny point nina umri wa miaka 24 hakika ni mda teule kwa upande wangu kuwa na mwenza
Ila changamoto nilizonazo kuwa mabinti wengi wa huku mtaani nakuoishi wengi wanapomaliza masomo yao wanapakimbia na kwenda kuishi town sasa panabaki wasichana wachache kweli tena kati ya hao niwakugombania na male wote waliopo hapa kijijini sasa unakuta binti mmoja mmeshapita kama wote ivi
Hii huongeza risk ya kupata magonjwa ya zinaa na HIV kwa ujumla
Nafuta kauli kuwa mchumba utakayekutananaye kwny mitandao hafai sio kweli maana mapenzi huchipua popote bhana mradi maelewano na maridhiano
Chonde kama ni binti mwenye umri kuanzia 21-23 ni Dm tuyajenge huenda ww UKAWA NDO MTEULE ULIOCHAGULIWA
Ndio najishughulisha na napata kipato cha kuweza kuenddesha maisha kwa kiwango cha kati
Karibu sana
Ila changamoto nilizonazo kuwa mabinti wengi wa huku mtaani nakuoishi wengi wanapomaliza masomo yao wanapakimbia na kwenda kuishi town sasa panabaki wasichana wachache kweli tena kati ya hao niwakugombania na male wote waliopo hapa kijijini sasa unakuta binti mmoja mmeshapita kama wote ivi
Hii huongeza risk ya kupata magonjwa ya zinaa na HIV kwa ujumla
Nafuta kauli kuwa mchumba utakayekutananaye kwny mitandao hafai sio kweli maana mapenzi huchipua popote bhana mradi maelewano na maridhiano
Chonde kama ni binti mwenye umri kuanzia 21-23 ni Dm tuyajenge huenda ww UKAWA NDO MTEULE ULIOCHAGULIWA
Ndio najishughulisha na napata kipato cha kuweza kuenddesha maisha kwa kiwango cha kati
Karibu sana