Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Niko Igunga Tbr ni mmoja wa watumishi wa umma katika secta ya Eimu natafuta msichana awe mchumba wangu mwenye umri usiozidi miaka 23 mshiriki wa SDA awe na taaluma yoyote Niko serious kuliko neno...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naitwa Dulla Same, nina umri wa miaka 21, kabila langu ni mmakonde (Konde Boy) Natafuta msichana ambaye nitaanza naye mahusiano ya kimapenzi. SIFA: 1. Awe anajiamini/kujikubal kwamba ye ni...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za leo wana JF, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 38 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 40, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari wandugu street kwny point nina umri wa miaka 24 hakika ni mda teule kwa upande wangu kuwa na mwenza Ila changamoto nilizonazo kuwa mabinti wengi wa huku mtaani nakuoishi wengi wanapomaliza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi wenzangu? Nimeanzisha huu uzi ili kuja mafanikio ya hili jukwaa kwa watu wanaolitumia kutafuta wenzi wao, yaani wachumba, wanandoa hata rafiki wa karibu kutoka humu ndani...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Daah yani ni hatari sana , siku moja nilikua na friend wangu wa jinsi ya kike me nayeye huwatunaongea mambo mengi kwa undani zaidi bila kuoneana aibu , sometimes huwa tunaongea mada za mahusiano ...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
habari zenu wanammu, mm n mwanaume wa miaka 28 pia n mwalmu wa advance , natafta mke awe mrefu, ngoz chocolate na mrembo. awe na uwezo wa kusimamia biashara, miaka yake 20 mpaka 24, no 0758704781
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hainiingi akili ule usemi unaosemwa kuwa . GHARISHA YAKO KWANZA . Sasa wanawake wangi hupenda mapambo ,vidani,cheni,nguo nzuri na n.k Hii yote huongeza kasi ya yeye kuwa mrembo na kutongozwa mara...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Hi guys, hope wazima wote..mimi ni msichana 27years old.,am hiv +ve, independent Naelewa changamoto iliyopo kwenye jamii kuhusiana na HIV so imekua vigumu kumpata mtu ambae ni +ve pia sababu...
15 Reactions
51 Replies
8K Views
*_JARIBU KUPITIA HII HATA KIDOGO_* *_Boresha[emoji813]️NdoaYako[emoji179]_* [emoji1607]```MWANAUME anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Unakuta Mwanaume anakuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano lakini mwanamke anakuwa bado. Anataka kuula ujana na yupo katika kile kiwango cha ‘kunguru hafugiki’. Mwanaume hata afanye nini, yeye...
3 Reactions
2 Replies
810 Views
Salam wapendwa hapa sasa upweke umekuwa noma mke anahijika hapa najua wamo wengi humu jf umri ingependeza 28_34 mkristo wa ukweli inapendeza zaid
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Vigezo. 1.Umri kuanzia miaka 30, 2.Maji ya kunde au mweupe wa asili na sio weupe wa dukani. 3. Awe anajishughulisha na kazi yeyote(sio utapeli) 4. Umbo la wastani, yaani mrefu kidogo na sio mfupi...
1 Reactions
3 Replies
926 Views
Habari wanajamvi, Mimi naitwa Mjina Mrefu, nina umri wa miaka 35. Nilishaoa mke wa kwanza miaka sita iliyopita na nina watoto wawili wa kike. Sasa ninaona ni muda muafaka wa kuongeza mke wa...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Habar zenu wana Kama kichwa cha habar hapo juu Daah aisee hakuna kitu kigumu mno kama kuzuia hisia zako , yaan ukizoea kufanya mapenz halaf ukakosa kwa mda akili inakua haifanyi kazi yake vzur...
0 Reactions
2 Replies
884 Views
Mambo vipi jaman natamani kuwa na gf wa arusha Masharti Ataeka mwenyewe either strings attached au A friend with benefit Kuhusu mimi nina miaka 23 Nasoma Chuo flani hivi Hapa Arusha Usogope...
0 Reactions
1 Replies
821 Views
Ninanyoa Nywele za Sehemu za siri pamoja na Makwapani. Kwa bei nafuu. Nnatumia wembe, Gillette na Shaving Machine. Hii ni kwa Wamama, Wadada pamoja na Mabinti. Ninakufuata popote ulipo ndani ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
They say beautiful ladies are hard to find ,well I guess you are not hiding... ....... lets go tupia wako.
1 Reactions
4 Replies
839 Views
Habari za humu Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo Umri 27-34 Elimu si kigenzo cha mume bora Pesa inatafutwa Dini muhimu kuwa mkristo safi Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye...
7 Reactions
149 Replies
18K Views
Habari Natafuta Mke ambaye atakuwa tayari kuishi na Mimi marekani, sichagui kabila wala dini Bali ningependa mwanamke huyo awe na sifa zifuatazo :- 1.awe msafi 2.awe mrefu kiasi 3.awe na chura...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom