Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natumaini hamjambo. Mm ni mkaka sasa nahitaji mwenza/ mke anae jitambua na mwenyenia ya kuolewa, umri wangu kwa sasa ni 33 hivyo mke mtarajiwa awe na umri 24 to 28 yrs. Binafsi ni mkristo hivyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa ebu tuambizane kdg, hamna mapenz mazito na yanayoitaj moyo kama haya(mwenzako yuko arush ww uko lindi)....n nani anawajibu wa kumtafuta mwenzie, kumjulia hali mwenzie....hivi ndio vitu...
1 Reactions
5 Replies
899 Views
Habari wadau Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Wasifu wangu ni: Rangi: mweusi. Afya: sina virusi vya ukimwi. Kabila: mpare. Urefu : 140. Elimu: stashahada ya Elimu. Dini: mkristo. Dhehebu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Za mda huu Wadau wa jf. Niko mwanza Nina miaka kati ya 28 hadi 32 Ninahita mtu(mwanamke) ambaye anamaanisha kama nilivyoandika hapo juu . Siamini katika kuandika mamho mengi hapa ila kwa...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Sijali elimu wala age, kikubwa awe machakarikaj mwenye mawazo chanya anayejua kujituma, ajue kuna kupata na kukosa. Ila tu asiwe mzingua
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mi muislam,umri now Ni 40,natafuta MCHUMBA alie TAYARI aje pm! Mabingwa wa kukosoa hasa wanaume mnaweza kupita tu kimya kimya maana Kuna wakatisha tamaa humu kujifanya mnajua kiiiila kitu,nahitaji...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nitafurahi sana kama nitapata rafiki wa kike mwenye kujielewa na mwenye mawazo mazuri kuhusu maisha ya kila sila pia awe mtu wa iman/dini. Kama upo tayar nichek kwa lukeloisaac@gmail.com any...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 Nimeajiriwa kwenye taasisi fulani hapa Dar es salaam. Elimu yangu ni Diploma of Education. Mi ni mrefu, mweusi. (hapa najua kuna girl hatanizingatia maana...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za jukwaa Hili” Nahitaji kuwa na mahusiano ya Karibu na binti/ mdada mwenyewe ndoto za kujenga familia(kuolewa) awe mtu mwenyewe malengo na maisha... umri wangu ni miaka 32yrs nipo dsm’...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Ni mwanaume, naishi Dar es Salaam ni mfanyakazi na biashara pia. Natafuta Mke wa miaka 35 na kuendelea, mkristo na asiwe mchaga au mhaya. Kwa aliye serious tuwasiliane.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Natafuta husband material mwenye umri wa miaka angalau 30 hadi 35 Ma Dini mkristo (akiwa mlokole au mlutheri itapendeza zaidi) Sigara, pombe asiguse Anayejishughulisha ili aweze kuhudumia familia...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa. Kwanza awe na vigezo vifuatavyo. 1. AWE MNENE, mwanamke mwembamba moyo wangu haumhitaji kabisa. 2. Awe mkweli 3. Muwazi 4. Anajali 5. Umri 20 hadi 24 Umri wangu ni...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
Guys, I'm in need, Mimi ni mwanaume and nahitaji mchumba wa kike ambaye kama Mungu akijalia tuje tuoane. Nipo Dar, Am 25 and nipo humble and cool. Sioni umuhimu wa kuweka elimu yangu sababu sina...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Habarini,niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi Ni kijana nimefikia umri wa kuoa na hali zangu zote zinaniruhusu kuoa lakini mpaka sasa sijawahi kuwa na msichana ambaye nimemuweka level za uchumba...
4 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari wana JF, Kwa miaka 6 nilikuwa Dar kikazi, hatimae maono ya kurudi nyumbani kwetu Mwanza yamefanikiwa, na sasa ni mwezi wa 3 nipo Mwanza naendelea na Kazi, nimeshapanga Nyumba, ila upweke...
10 Reactions
68 Replies
9K Views
Kuhusu Mimi Umri 28 Muajiliwa Mkirsto Mrefu Sina mtoto Nnayemuhitaji Dini yoyote awe tayari tu kubadili Umri kama niliotaja Mengine aje PM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kike anayejitambua,umri miaka 20 mpaka 32. Mimi nina miaka 33,nimeajiriwa na naendesha maisha yangu kawaida. Urafiki huu utatupeleka kwenye mahusiano ya kudumu pale...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni kinaja wa miaka 29 naishi arusha tz najishuhulisha na kazi za kitalii sasa naitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzi miaka 18 hadi 26 na nipo siriasi kwelikweli na alie tayari unaweza nifata...
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Mamboz wanafamilia, i'm looking for cool friends to talk to, 32 aged dude here, am at Arusha at the moment ila i reside in Dar es salaam. Im an enterprenuer/employed. If u need a brother to talk...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
Nahitaji mwanamke umri kuanzia miaka 30 mpaka 35 ukiwa na mtoto ni vizuri zaidi NOTE: -Kupima HIV ni lazima -sina vigezo -Mimi ni fundi ujenzi Simu: 0711451500 0743873589
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom