Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta mwanamke wa kuoa. Kwanza awe na vigezo vifuatavyo. 1. AWE MNENE, mwanamke mwembamba moyo wangu haumhitaji kabisa. 2. Awe mkweli 3. Muwazi 4. Anajali 5. Umri 20 hadi 24 Umri wangu ni...
0 Reactions
1 Replies
760 Views
Usika na mada apo juu natafuta mpenzi jinsia ya kike umri kuanzia miaka 18 adi 25 kuusu dini sichaguwi pia sura sichaguwi ili mradiawe na upendo wa kweli pia awe anapatikana arusha au mikowa ya...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
My name is Rogers from Dodoma university...i need a beautiful girl who can be able to refresh our minds together and make plan for the future life...if you are ready just cont me through my...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 na nimekua single kwa muda mrefu sasa kila nikiingiza gia kwa wanawake wengi simpati yule ninaemhitaji Mimi ni maji ya kunde,muislam na urefu wa wastani...
0 Reactions
2 Replies
960 Views
Habarini za muda huu wadau., Nipo serious na nitakachoandika hapa; Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari, hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer, Dini...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Natafuta Mchumba ili baadae aje kuwa Mke wangu Awe na miaka kuanzia 25-30 kama yupo ani PM
0 Reactions
62 Replies
4K Views
Habari za mida wadau!! Mimi ni kijana umri miaka 28!! Mchaga!! Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mama watoto wangu!! Awe ameajiriwa, awe ana aidia ya kufanya biashara!! Asiwe mrefu sana awe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Haba
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Habari za jioni wakuu natafuta mke umri asizidi miaka 23 mrefu wastan, asiwe mnene sana,rangi yoyote me niko Bariadi Simiyu..nina miaka 26
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu wanajamii forum. Nimehamishiwa kikazi Kigoma. Najisikia mpweke sana. Sina maana kuwa nataka kufanya ufuska. lakini natamani angalau demu wa kuchati naye tu. lakini aliye kigoma. Karibu inbox
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika Maisha urafiki ni Jambo la muhimu na lisilokwepeka. Kwa muktadha huo najitokeza mahali hapa kutafuta Rafiki wa kike anayesoma chuo chochote kile hapa DSM. Life it's all about friendship...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Ni kweli. Uko Diaspora? Basi fanya hala hala. Vigezo: uwe Mtanzania ambaye hujaukana uraia wako. Na uwe tayari kurudi nyumbani Tanzania hivi karibuni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Ni msichana wa miaka 25 mwenye maadili mema anatafuta mume kuanzia umri miaka 30-45. Mwenye hofu na mungu na mwenye maadili mema awe anaishi dar au Zanzibar alietayari pm.
5 Reactions
103 Replies
13K Views
Nimejaribu kila mbinu kuachana na mpzwng nimeshindwa kwan sipo tyr kuwanae tena kutokana na kunistress kila kukicha , ila nimejaribu kila mbinu kuachana nae but mwisho wa ck najikuta narudiana nae...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar wapendwa,poleni na majukumu,nahitaji mchumba mwenye vigezo vifuatavyo,elimu lasaba mwisho diploma,umri 22-27,awe tayar kupima hiv,asiwe mfupi sana,mnene saiz,mweusi mweupe yote sawa,awe wa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahitaji future wife, awe mrefu, asiye mnene, rangi sichagui, asiwe na mtoto, awe anafanya kazi awe anapatikana mikoa ya kaskazini. Awe na umbo zuri pia umri usizidi miaka 28 .Aliyeko tayari ani Pm
1 Reactions
7 Replies
984 Views
huwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume Kama una sifa sahii za kuitwa...
11 Reactions
362 Replies
23K Views
  • Closed
Kwa wale waliopo Dodoma nahitaji marafiki kwa ajili ya kubadilishana mawazo kutembeleana siku za weekend Mm ni msichana umri miaka 25 Ni pm kwa mawasiliano zaidi. Sent using Jamii Forums...
5 Reactions
30 Replies
7K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47,najitokeza hapa kutafuta mke ambae atakuwa ametosheka na NGONO na ambae haitaji tena WATOTO,yule Mwanamke ambae ameguswa na mwenye nia ya dhati,naomba PM...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom