Natafuta mke wa kuishinae.

Natafuta mke wa kuishinae.

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
578
Reaction score
575
Habari za kutwa wapendwa?
Natafuta mke awe tayari kuishi pamoja mimi ni mkristo pia ni mjasiliamali sio lazima mwanamke awe na kazi KWANI NINA UWEZO WA KUKIDHI MAHITAJI YA FAMILIA.
umri wangu 25 kwangu naamini umri sio kikwazo kwa walio na umri zaidi ya hapo kwani ninacho hitaji ni heshima.
KIGEZO CHA MKE ANAE HITAJIKA:
awe anajitambua na kujithamini
Napatikana dar. Karibuni wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom