Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Kanisa la Anglikana la Kenya (ACK) limetangaza kuwa kuanzia sasa, hakuna mwanasiasa atakayeruhusiwa kupanda madhabahuni kuhutubia waumini wakati wa ibada za Jumapili au matukio yanayohusiana na...
1 Reactions
3 Replies
877 Views
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amewajibu wakosoaji wa Serikali ya Rais William Ruto wanaotaka aondoke madarakani huku akisema wanataka atoke aende wapi. Kauli ya Odinga inakuja...
0 Reactions
1 Replies
568 Views
Mwendesha Mashtaka wa umma nchini Kenya alitangaza Jumatano kwamba Mbunge, George Koimburi, ameshtakiwa kwa kughushi vyeti vya masomo. Koimburi, Mbunge wa eneo Bunge la Juja, anakabiliwa na...
0 Reactions
3 Replies
835 Views
Mwanasiasa mtata na aliyeonyesha uroho wa madaraka na kukosa msimamo nchini Kenya Raila Odinga ametangaza rasmi kujiunga na Ruto aliyezoea kumuita mganga wa kienyeji. Inaonekana wawili hawa...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Nilicheka sana nilipoona vituko vya handshakeee Baada ya kuungana mzee wetu aka Baba akaenda mkutanoni leo. kufika babaaaaa anataka kuanza kuongeaaa baba kuhamaki akashtukiaa kundizima la mkutano...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Sijui ni vigezo gani tunatumia kuchagua viongozi wetu Afrika. Kwa nchi kama Kenya mabayo imetajwa kuwa mojawapo ya nchi zenye ukame mkubwa barani Africa jambo linalopelekea uhaba wa maji na wana...
3 Reactions
8 Replies
961 Views
Tukio la ajabu katika inchi ya Kenya. Pastor Bien Getau ambaye ni muhibiri maarufu nchini kenya anadai kupigiwa simu na Bishop aende akampe msaada katika kumwezesha kuendesha kanisa lake alipo...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Anaitwa Soipan Tuya, ndiye Waziri wa Ulinzi wa Kenya. Ni mwanasheria kitaaluma akiwa na miaka 46 aliteuliwa mwaka jana mwezi wa 8 na Rais William Ruto kuwa Waziri wa Ulinzi. Kabla ya uteuzi huo...
1 Reactions
9 Replies
907 Views
Wakuu, Siku kadhaa baada ya Rais William Ruto kutoa mchango wa shilingi milioni 20 kwa kanisa moja jijini Nairobi na kuahidi milioni 100, hisia kali zimeibuka nchini Kenya. Hivi sasa, Wakenya...
0 Reactions
7 Replies
832 Views
Mkutano wa “Kujadiliana kwa pamoja Fursa Mpya kutokana na Uchumi wa China” ulioandaliwa na Idhaa ya Kiswahili ya Kituo cha Kimataifa cha Televisheni cha China (CGTN) cha Shirika Kuu la Utangazaji...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
The Kenya Ports Authority (KPA) has officially operationalised the Sh32 billion Container Terminal 2 with a first ship docking with 2,704 twenty-foot-equivalent units (TEUS) on Tuesday. The...
1 Reactions
1 Replies
839 Views
Wizara ya afya nchini Kenya imesema ipo mbioni kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200 katika vijiji vitatu vya jimbo la Kisii eneo la Nyanza Magharibi ya...
2 Reactions
4 Replies
499 Views
Ripoti hii ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu huko nchini Kenya imebaini dosari kubwa za kifedha katika ajenda ya Rais Wiilliam Ruto ya "Hustlers Fund" Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka wa fedha...
2 Reactions
3 Replies
557 Views
Mwalimu mmoja katika Kaunti ya Nyamira nchini Kenya amelazwa katika hospitali ya Ikonge baada ya kushambuliwa na mwalimu mkuu kwa madai ya kuchelewa kufika shuleni. Mwalimu huyo wa Sekondari...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Queen Elizabeth II's 1972 Kenya Stopover: A Pivotal Moment in Post-Colonial Diplomacy Queen Elizabeth II's brief stopover in Kenya during March 1972 represented a critical juncture in...
1 Reactions
2 Replies
725 Views
Rais William Ruto ametangaza kuwa atashirikiana na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, ili kufanikisha ajenda za maendeleo za serikali. Akimpokea Raila Odinga katika Ikulu ya Mombasa siku ya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hatimae sakata la comedy kati ya wanaume wawili Halmashauri ya Nairobi Na kampuni ya umeme ya Kenya Rais Ruto ameingilia kati na kuaguza umeme urudishwe HALMASHAURI Na halmashauri ya jiji la...
1 Reactions
1 Replies
429 Views
Hii inaitwa ubaya ubwela Mwosha. Huoshwa Yaani Kampuni ya umeme Kenya inadai HALMASHAURI WAKAKATA UMEME Nao WANADAIWA KODI na HALMASHAURI mashallah wakamwaga UCHAFU MLANGONI Hii n ubaya...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
WAKUU habarini za jion Naangalia itv hapa naona habari njema MH RAISI WA Kenya ameomba wakenya kuwa watulivu kwani sasa ameomba wapinzani kukaa pamoja kuunda serikali ya UMOJA Amesema hii nchi...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
The difference starts right at Namanga. Check the trucks at the border. There are no Kenyan Trucks. But TZ Trucks are loaded bringing goods to Kenya and going back empty. 1-0 TZ TZ Roads are...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom