Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

  • Featured
Raila Odinga (RAO) afariki dunia huko India. Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80. R.I.P Papa. Utangulizi Raila Amolo Odinga ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri zaidi katika historia ya Kenya...
26 Reactions
135 Replies
5K Views
Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Kenya Dr. William Ruto https://www.youtube.com/watch?v=YT87RClirPI Miongoni mwa Waliohudhuria mazishi ni Rais wa Kenya - Samweli Ruto Naibu Rais Kenya...
1 Reactions
2 Replies
438 Views
Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga kwa sasa umefika katika uwanja wa michezo wa Kasarani kwa ajili ya kuagwa. Maafisa wa jeshi wamelazimika kufyatua risasi angani ili...
1 Reactions
4 Replies
308 Views
" I was with him when he took his last breath. He died in my arms, but not in the way people have been saying on social media. He passed away strong, with dignity and pride. You should be proud of...
2 Reactions
3 Replies
388 Views
Leo Oktoba 17, 2025, hafla ya kuuaga mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Amolo Odinga, inaendelea katika Uwanja wa Nyayo, ikihudhuriwa na Rais William Ruto, viongozi mbalimbali, familia...
1 Reactions
2 Replies
415 Views
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga ukiwa ukiagwa Bungeni kabla ya kuhamishiwa katika Uwanja wa Nyayo kwa Ibada ya Mazishi ya Kitaifa Soma pia TANZIA - Raila Amolo...
3 Reactions
4 Replies
407 Views
Shirika la Ndege la Kitaifa, Kenya Airways, limeongeza idadi ya safari zake kuelekea Kisumu wikiendi hii ili kukidhi ongezeko kubwa la mahitaji ya usafiri uliopo kwa sasa
1 Reactions
2 Replies
284 Views
Rais William Ruto ametia saini Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Matumizi Mabaya ya Kompyuta na Uhalifu wa Mtandaoni wa mwaka 2024, unaoiruhusu serikali kuondoa au kufunga maudhui ya mtandaoni...
1 Reactions
6 Replies
477 Views
GT. Huyu jamaa alikuwa smart sana na wala hakuwa na mbwembwe. He was slow but sure. Kama siyo mambo.ya ukabila huyu jamaa alipaswa kuwa Rais wa kenya.
4 Reactions
7 Replies
393 Views
kitabu not yet uhuru kilichapishwa mwaka 1967 kikiandikwa na jaramogi oginga odinga, baba yake raila odinga. ni wasifu unaoeleza safari ya kisiasa ya kenya kuelekea uhuru na changamoto zilizofuata...
1 Reactions
1 Replies
238 Views
Umati wa watu ukielekea katika Uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Mamboleo kutoa heshima zao za mwisho kwa marehemu Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi mahiri wa demokrasia Kenya, Raila Amolo Odinga...
1 Reactions
4 Replies
298 Views
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Amolo Odinga ukiwasli uwanja wa ndege Kisumu, ambapo baadae utafikishwa katika uwanja wa Jomo Kenyatta, Mamboleo
2 Reactions
1 Replies
228 Views
Mapenzi haya sijawahi ona katika maisha yangu! Huyu alipendwa na 99% ya wakenya. Mungu nipe uhai nione maziko ya hawa wetu!
0 Reactions
5 Replies
343 Views
Serikali ya Kenya imetangaza Ijumaa, Oktoba 17, 2025 kuwa sikukuu ya umma kwa heshima ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Raila Odinga, aliyefariki dunia Oktoba 15, 2025 akipatiwa matibabu nchini India...
1 Reactions
3 Replies
265 Views
http://youtu.be/Xv2a8jSDALQ
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Raila Amolo Odinga alizaliwa tarehe 7 Januari, 1945. Raila Amolo Odinga ni kiongozi wa mfano katika ukanda wa Afrika Mashariki na bara la Afrika kwa ujumla. Ulale salama "Baba" haya ni miongoni...
1 Reactions
3 Replies
287 Views
You can now be summoned to appear in court through SMS or WhatsApp message as the Judiciary reviews its operations to keep up with technology. This is after changes in the rules that govern how...
1 Reactions
2 Replies
800 Views
Mbunge wa Jimbo la Kibra, Peter Ochieng Orero, aliyeteuliwa kupitia uchaguzi mkuu wa Agosti 2022, alinaswa Oktoba 9, 2025 katika kisa cha mvutano barabarani na mwandishi wa habari wa CNN kutoka...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
China na nchi za Afrika zimekuwa na ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo biashara na uchumi, kilimo, afya, ujenzi wa miradi mikubwa ya miundombinu, na elimu. Pia pande hizo mbili zimekuwa...
1 Reactions
0 Replies
266 Views
Kutokana na watu wa tabaka la kati nchini China kuendelea kuwa na mapato ya ziada wanavyoweza kutumia kwenye mambo ya burudani, utamaduni na utalii, wigo wa furaha yao unaendelea kupanuka kutoka...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Back
Top Bottom