Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Kenya wamelaani vikali ghasia zilizozuka katika Eneo Bunge la Kilgoris, Kaunti ya Narok, kati ya wananchi na maafisa wa polisi kuhusu mgogoro wa ardhi ya...
Kaimu mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja amewahamisha maafisa wote wa kituo cha Kuare kiliko mita chache kutoka machimbo ya mawe ambako maiti zi;likutwa zimetupwa, ili kuruhusu uchunguzi...
Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ngeno, alijikuta katika mvutano na polisi kufuatia tukio la vurugu lililosababisha vifo vya watu watano katika eneo la Angata Barrikoi, Kaunti ya Narok, Kenya...
Kenyan authorities block screening of ‘Blood Parliament’ documentary: BBC
By Dennis Musau Published on: April 29, 2025 08:17 (EAT)
A Kenyan Police officer fires a tear gas canister towards...
SERIKALI, kupitia Bodi ya Kudhibiti na Kusimamia Kamari (BCLB), imesitisha matangazo yote ya kamari katika majukwaa yote ya vyombo vya habari nchini kwa kipindi cha siku 30, kufuatia ongezeko la...
Maafisa wa upelelezi katika Kituo cha Polisi cha Kayole, Nairobi wanamshikilia Imamu mkuu kwa tuhuma za kusababisha madhara makubwa kwa watu wawili.
Inaripotiwa kuwa Imamu Mohamed Ibrahim Hussein...
Margaret Nduta Macharia (37), raia wa Kenya aliyekamatwa mwaka 2023 nchini Vietnam na dawa za kulevya kilogramu mbili za Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025...
Taasisi ya Gates (zamani ikijulikana kama Bill and Melinda Gates Foundation) imetangaza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Nchi Mwenyeji na Serikali ya Kenya, yaliyokuwa yanawapa kinga za...
Hamna namna ya kupenya soko la Afrika Mashariki na Kati bila baba lao Kenya kutia saini humo.
=========
Global electric giant LG Electronics has opened its first East Africa’s laundry shop in...
Jumanne wiki hii, Rais William Ruto wa Kenya aliwasili Beijing na kuanza ziara ya siku tano nchini China. Ziara hii inafanyika baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuanza “vita vya ushuru” dhidi...
Mwanaume aitwaye Titus Wekesa Sifuna alifikishwa katika Mahakama ya Milimani siku ya Jumatatu kwa tuhuma za hotuba ya chuki, ambapo upande wa mashtaka uliwasilisha ombi la kumshikilia kwa siku...
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kuwekwa rumande baada ya kukutwa na takriban gramu 300 za dawa za kulevya aina ya cocaine, kufuatia msako wa pamoja wa vyombo vya usalama...
Wanaume wanne wawili raia wa Ubelgiji, mmoja wa Vietnam na Mkenya mmoja wanashikiliwa nchini Kenya kwa tuhuma za kumiliki na kufanya biashara ya kusafirisha Malkia wa Siafu walio hai.
Washtakiwa...
Makamu wa Rais wa zamani Rigathi Gachagua amemuita Rais William Ruto "kamanda halisi" wa Kikosi Maalum cha Sudan (RSF) kutokana na madai ya kufanya biashara za kifisadi na kiongozi wa kikosi...
Vurugu zimezuka katika Tamasha la Kitaifa la maigizo huko Nakuru nchini Kenya, baada ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Butere kukataa kucheza tamthilia yao ya kutatanisha "Echoes...
Clip Moja kutoka Kenya imetapakaa sana kwenye mitandao ya kijamii Bado sijajua shida ya jamaa ni Nini kilichosababisha Hadi akadandia Ile helicopter 🚁 angani?
Wakuu,
Wakati hapa Tanzania wapinzani wakiwa wanalalamikia kukamatwa kwa Tundu Lissu huko nchini Kenya mambo pia yameeendelea kuwa sukari.
Hivi karibuni Rigathi Gachagua, aliyekuwa Naibu Rais wa...
Baada ya kufukuzwa kazi Naibu Rais Mstaafu wa Kenya Rigathi Gachagua anapoteza stahiki zifuatazo ambazo alizistahili endapo angejiuzulu.
1. Pensheni ya kila mwezi Ksh. 720,000.
2. Malipo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.