Utafiti mpya umebaini kuwa zuio la muda wa kuwa nje ya usiku hadi alfajiri nchini Kenya, iliyotekelezwa mwezi Machi 2020 kwa lengo la kupunguza maambukizi ya COVID-19, ilisababisha bila kukusudia...
Kibaka wa mtaani jela miaka 210,
ila walamba asali wanatamba *****
===
Kenya. Mwanamume mwenye umri wa miaka 55 aliyeshtakiwa kwa makosa manne ya wizi wa kimabavu na shtaka jingine la ubakaji...
MY TAKE: Kwa watanzania wanaodhani katiba mpya ndiyo jibu la viongozi kutofanya mambo kiholela, naomba wajifunze toka kwa jirani.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii.
Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua...
MY TAKE; Ikumbukwe kwamba hata huko DRC ambako KDF walikwenda kupambana na M23, hakuna lolote wameweza kufanya na wakaazi wa maeneo hayo wametaka KDF waondoke kwasababu hawana msaada wowote.
Kitengo cha ulinzi kinachomlinda Rais Mteule wa Kenya, Dkt. William Ruto kimeimarishwa tangu alipotangazwa kuwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa Urais, Agosti 15, 2022.
Kitengo cha Ulinzi cha...
Wabunge wa Upinzani wametoka nje ya Ukumbi Wakisusia Bajeti mara baada ya Waziri kuanza kusoma.
Ni wabunge wa nchi jirani ya Kenya.
===
Azimio coalition MPs stage walk-out of the House as...
Katibu wa Hazina, Njuguna Ndung'u amewaambia Wakenya wajiandae kujitolea kwa muda mfupi wakati bajeti kadiriwa ya Ksh. Trilioni 3.6 sawa na takriban Tsh. Trilioni 51.2 ya 2023/24 ikitarajiwa...
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi.
Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri...
Wadau nataka kutoka Dodoma, Tanzania kutembea Nairobi, Kenya tu for like three days.
My budget is 30K Kwa pesa ya Kenya I just want to go and just walk around there and see how Nairobi looks...
Benki ya Dunia imeionya Kenya kutokana na ongezeko la kodi katika mwaka mpya wa fedha ujao, ikisema ongezeko hilo linaweza kupunguza na kuathiri shughuli za kiuchumi katika nchi hiyo.
Muswada wa...
Michael Macharia Njiri maarufu kwa jina la Dj Brownskin ameshtakiwa kwa kusaidia kujiua kinyume na kifungu cha 225 (b) cha kanuni ya adhabu.
Inadaiwa kuwa tarehe 29 Julai 2022, eneo la Kariobangi...
Romania kumuondoa balozi wake nchini Kenya kwa matamshi yake ya ubaguzi
Matamshi ya balozi huyo kuwaita waafrika Nyani yameshutumiwa vikali
Afisa mmoja wa Kenya anaelezea majaribio ya ubalozi wa...
Hii ni baraa
Bi Chege, alisema alinyang’anywa simu aina ya iphone 14 mnamo Juni 8, 2023 kufuatia vurugu zilizozuka katika bunge la kitaifa.
Akizungumza eneo la Meru, mbunge mwakilishi huyo wa...
Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ya Bunge imeidhinisha uteuzi wa Noordin Haji kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Usalama wa Taifa (NIS).
Haji atakula kiapo siku chache zijazo akichukua nafasi...
Nimefatilia mjadala kuhusu finance bill ulioletwa na Royal media Services Kenya , daa wakenya wako na Hali ngumu sana kimaisha hasa kwenye eneo la chakula. Wengi wanalalamikia ugumu wa maisha, bei...
Kenya’s goods trade surplus with Africa reached record levels in the first three months of the year driven by the fastest growth in exports for 12 years and a first fall in expenditure on imports...
MY TAKE: Hivi Ukiacha na mbio ndegu, kuna kitu gani kimebaki?.
Conclusion: Tanzania is "Hoyeeeeeee......
-----
Dar es Salaam, Djibouti and Berbera ports have toppled Mombasa in the World Bank’s...
Kwa sasa kwenye kambi ya Upinzani Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo ndiye mwenye uwezo wa kuchambua mambo ya kiuchumi baada ya Prof Lipumba kuyumba.
Lakini namuangalia Odinga hapa Citizen TV namuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.