Unga wa mahindi Kenya kilo moja ni 4100 shilingi za Kitanzania

Aug 23, 2021
54
87
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii.

Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi kuwa ngumu na bei hii ni katika muda ambao wakulima wanajitahidi kuuza mazao yao wapate pesa ya kujikimu.

Maswali ya kujiuliza bei itakuwaje itakapofika miezi ya mwishoni ya mwaka huu.?

Hali hii imekuwa ikilalamikiwa na mamilioni ya Watanzania kuwa serikali imesababisha ongezeko la bei za vyakula nchini na lawama zote akitupiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, wengine walienda mbali zaidi wakisema maisha ya bara yanakuwa magumu wakati Zanzibar maisha ni mepesi ya kwamba Zanzibar wanapata bidhaa hizo kwa bei nafuu mno.

Kwingineko katika nchi ya Kenya wenyewe mambo yameenda ndivyo sivyo ambapo sasa wanatumia zaidi ya 105 Kshs kununua kilo moja ya unga wa mahindi ambazo ni sawa na 2050 za kitanzania, Taarifa kamili kuhusu kupanda bei ya bidhaa hii huko Kenya na sababu zake pengine zitakuwa ndio zile zile kama za Tanzania tu pengine, Serikali ya Kenya nayo pengine imesababisha kupanda bei kwa bidhaa hiyo.

TUTAJARIBU KUFANYA MIZANI LIDOGO KARIBIA NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.
 
Tukiachana na bei za mahindi exchange rate ya shilingi yetu dhidi ya kesnya inasikitisha🙁😖😖😕😕😕
 
Gharama za uzalishaji wa mazao zimekuwa kubwaaaa saana!! Mwaka jana mboleaa ilikuwa elfu 50/ kwa mfuko wa kilo 50! Mwaka huu mfuko huohuo wakulima wamenunua laki moja na elfu 20!! Acha wakulima nao wapandishe bei tuuu!!
 
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii.

Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi kuwa ngumu na bei hii ni katika muda ambao wakulima wanajitahidi kuuza mazao yao wapate pesa ya kujikimu.

Maswali ya kujiuliza bei itakuwaje itakapofika miezi ya mwishoni ya mwaka huu.??

Hali hii imekuwa ikilalamikiwa na mamilioni ya watanzania kuwa serikali imesababisha ongezeko la bei za vyakula nchini na lawama zote akitupiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, wengine walienda mbali zaidi wakisema maisha ya bara yanakuwa magumu wakati Zanzibar maisha ni mepesi ya kwamba Zanzibar wanapata bidhaa hizo kwa bei nafuu mno.

Kwingineko katika nchi ya Kenya wenyewe mambo yameenda ndivyo sivyo ambapo sasa wanatumia zaidi ya 105 Kshs kununua kilo moja ya unga wa mahindi ambazo ni sawa na 2050 za kitanzania, Taarifa kamili kuhusu kupanda bei ya bidhaa hii huko Kenya na sababu zake pengine zitakuwa ndio zile zile kama za Tanzania tu pengine, Serikali ya Kenya nayo pengine imesababisha kupanda bei kwa bidhaa hiyo.

TUTAJARIBU KUFANYA MIZANI LIDOGO KARIBIA NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.
Hii nchi ilivyo na eneo kubwa lenye rutuba ambalo halijawahi kuguswa alafu tunakuja kulia njaa ya uhaba wa mahindi mpaka yapande bei nadhani kuna tatizo kubwa kwenye mipango ya wizara ya kilimo.

Naona bei ya mchele pia imeanza kuchangamka mda si mrefu watu wataanza kuilalamikia pia.
 
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii.

Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi kuwa ngumu na bei hii ni katika muda ambao wakulima wanajitahidi kuuza mazao yao wapate pesa ya kujikimu.

Maswali ya kujiuliza bei itakuwaje itakapofika miezi ya mwishoni ya mwaka huu.??

Hali hii imekuwa ikilalamikiwa na mamilioni ya watanzania kuwa serikali imesababisha ongezeko la bei za vyakula nchini na lawama zote akitupiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, wengine walienda mbali zaidi wakisema maisha ya bara yanakuwa magumu wakati Zanzibar maisha ni mepesi ya kwamba Zanzibar wanapata bidhaa hizo kwa bei nafuu mno.

Kwingineko katika nchi ya Kenya wenyewe mambo yameenda ndivyo sivyo ambapo sasa wanatumia zaidi ya 105 Kshs kununua kilo moja ya unga wa mahindi ambazo ni sawa na 2050 za kitanzania, Taarifa kamili kuhusu kupanda bei ya bidhaa hii huko Kenya na sababu zake pengine zitakuwa ndio zile zile kama za Tanzania tu pengine, Serikali ya Kenya nayo pengine imesababisha kupanda bei kwa bidhaa hiyo.

TUTAJARIBU KUFANYA MIZANI LIDOGO KARIBIA NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.

Hela yao inathamani kuzidi yetu
 
Tukiachana na bei za mahindi exchange rate ya shilingi yetu dhidi ya kesnya inasikitisha🙁😖😖😕😕😕

Lihela letu halina thamani. Chukua milioni 10 ya kenya fanya exchange kwenda shilingi, aise andaa maboksi yakuhifazia izo hela.
 
Dollar kwa leo ni 2352tsh
Kazi kweli kweli
Angalia dhidi ya sarafu zote. USD ikiwa na nguvu Ina Mana karibia sarafu zote zinakuwa cheap.
Saivi gold imeshuka mno iko around 1733-1750usd per

once this week. Gold ikishuka value Ina Mana investors Wana diverge their wealth to USD so lazima USD ipande kithamani Kama gold ikishuka.
Kuna muda gold imepanda mpaka around 2068 USD per once ndani ya mwaka huu.
Cheki iyo iyo USD vs Gbp utapata majibu. Saivi Europeans currencies ziko weak. Gbp yenyewe kwa sarafu yetu nadhani imefika around 2700-2870 wakati huo huo sarafu ya uingereza Ni sawa na 1.19+++ to 1.22++ hivi karibuni na wakati huko nyuma ilikuwa 1.36++ so you can check.
Ila sie blacks tuko professional kila idara aisee. Nadhani Mkurugenzi anamwambia daktari Cha kufanya na diwani anakagua tofali uimara kwa kuliangusha chini.
 
Kuna sehemu nilikuwa nanunua mahindi elfu 65K kwa gunia, ila baada ya wiki wakaingia Wakenya wakawa wananunua gunia kwa elfu 95K hadi 100K.
 
Gharama za uzalishaji wa mazao zimekuwa kubwaaaa saana!! Mwaka jana mboleaa ilikuwa elfu 50/ kwa mfuko wa kilo 50! Mwaka huu mfuko huohuo wakulima wamenunua laki moja na elfu 20!! Acha wakulima nao wapandishe bei tuuu!!
yule waziri wa kilimo a.k.a bahasha ni mlamba asali mkubwa sanaaa.....ndo nimeamini now
 
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii.

Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi kuwa ngumu na bei hii ni katika muda ambao wakulima wanajitahidi kuuza mazao yao wapate pesa ya kujikimu.

Maswali ya kujiuliza bei itakuwaje itakapofika miezi ya mwishoni ya mwaka huu.??

Hali hii imekuwa ikilalamikiwa na mamilioni ya watanzania kuwa serikali imesababisha ongezeko la bei za vyakula nchini na lawama zote akitupiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, wengine walienda mbali zaidi wakisema maisha ya bara yanakuwa magumu wakati Zanzibar maisha ni mepesi ya kwamba Zanzibar wanapata bidhaa hizo kwa bei nafuu mno.

Kwingineko katika nchi ya Kenya wenyewe mambo yameenda ndivyo sivyo ambapo sasa wanatumia zaidi ya 105 Kshs kununua kilo moja ya unga wa mahindi ambazo ni sawa na 2050 za kitanzania, Taarifa kamili kuhusu kupanda bei ya bidhaa hii huko Kenya na sababu zake pengine zitakuwa ndio zile zile kama za Tanzania tu pengine, Serikali ya Kenya nayo pengine imesababisha kupanda bei kwa bidhaa hiyo.

TUTAJARIBU KUFANYA MIZANI LIDOGO KARIBIA NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.
Sio busara kumuingiza number 1 kwenye hii thread yako. Kama ni mfuatiliaji wa kilimo, msimu ulioisha ni kwamba haukuwa mzuri kwa shughuli za kilimo, Mazao mengi yaliathirika kutokana na ratiba za mvua kutokueleweka mazao kama mpunga, karanga, alizeth vile vile yaliathiriwa na mvua. Sisi wakulima vijijini tunajua changamoto ni mvua. Nyie wa mjini tayari mnamuingiza number moja kwenye mijadala isiyomuhusu kabisa.
 
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii.

Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi kuwa ngumu na bei hii ni katika muda ambao wakulima wanajitahidi kuuza mazao yao wapate pesa ya kujikimu.

Maswali ya kujiuliza bei itakuwaje itakapofika miezi ya mwishoni ya mwaka huu.??

Hali hii imekuwa ikilalamikiwa na mamilioni ya watanzania kuwa serikali imesababisha ongezeko la bei za vyakula nchini na lawama zote akitupiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, wengine walienda mbali zaidi wakisema maisha ya bara yanakuwa magumu wakati Zanzibar maisha ni mepesi ya kwamba Zanzibar wanapata bidhaa hizo kwa bei nafuu mno.

Kwingineko katika nchi ya Kenya wenyewe mambo yameenda ndivyo sivyo ambapo sasa wanatumia zaidi ya 105 Kshs kununua kilo moja ya unga wa mahindi ambazo ni sawa na 2050 za kitanzania, Taarifa kamili kuhusu kupanda bei ya bidhaa hii huko Kenya na sababu zake pengine zitakuwa ndio zile zile kama za Tanzania tu pengine, Serikali ya Kenya nayo pengine imesababisha kupanda bei kwa bidhaa hiyo.

TUTAJARIBU KUFANYA MIZANI LIDOGO KARIBIA NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.
Mwaipaya amekamatwa kwa kuandika gharama ya umeme toka uniti 28.1 kwa sh 10,000/= kuwa unit 28.0, sasa wewe utaleta taharuki kwa kutangaza bei ya unga na mahindi.
 
Lihela letu halina thamani. Chukua milioni 10 ya kenya fanya exchange kwenda shilingi, aise andaa maboksi yakuhifazia izo hela.
Milioni 10 ya Kenya inapatikana kirahisi kama Milioni 10 ya TZ?
 
Back
Top Bottom