Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Kwa muda sasa Viongozi wengi wanaomuunga mkono Rais William Ruto wamekuwa wakimkemea Rais mstaafu Uhuru Kenyatta wakidai ndiye mfadhili mkuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa Kenya. Madai...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Tom Mako: Kijana wa Kimaasai afunga ndoa na wanawake wawili wakati mmoja Kenya Tom Mako, maarufu kama Junior, 27, alifanya sherehe hiyo ya harusi Jumanne wiki hii. Mako anatokea kwenye familia...
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Muktasari: Kiongozi wa Azimio la Umoja nchini Kenya, Raila Odinga leo Jumatatu ametumia usafiri wa umma maarufu matatu au daladala kwenda kazini. Hatua hiyo imeibua mijadala mitandaoni. Kenya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimerudia mara tatu kuangalia tukio hili, ila mara ya nne nikakumbuka kuna wadau huko hebu nikapate kutanua mawazo kutoka kwako. Kama una bundle fungua ni video ya 5mb, uangalie kwa umakini ili...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Imekuwa ni siku iliyowashangaza wengi baada ya Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kutumia daladala kuelekea mjini na baada hapo kula chakula vibandani kwa mama ntilie. Baadae msafara wake...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mlitaka katiba mpya mkatengeneza, mkataka uchaguzi uwe free, fair and transparent na ikawa hivyo na Dunia nzima ikawasifia wakenya Kwa uchaguzi digital, Ruto akashinda, Odinga akaenda mahakamani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Kenya kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na Umoja wa Mataifa, umeonesha kuna ongezeko kubwa la Wanawake wenye Vitambi na Uzito...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hakuna mkubwa , hakuna Cha mtoto, hakuna kiongozi Wala Nini....Kila mtu mjuaji....nchi haitawaliki.Siasa mpaka makanisani....vurugu, mabomu, KERO Kila mahali, Hali mbaya ya maisha, vitu bei juu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB)...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mahakama Kuu katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, imetangaza nyadhifa 50 za juu za mawaziri kuwa ni kinyume cha sheria. Katika uamuzi wao wa Jumatatu, majaji Hedwig Ong’udi, Aleem Visram na Kanyi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Maandamano hayo ni wito wa Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Muungano wa Azimio kuelekea Jijini Nairobi yakiwa na lengo la kupinga gharama kubwa za maisha na Utawala wa Rais Ruto. Pia, Raila...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MY TAKE; Tukisema Tanzania ni nchi ya maziwa na asali wakenya wanadhani tunatania. Tony254 Don YF dyfre Nicxie IamLee Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
13 Reactions
53 Replies
4K Views
Waziri wa Baraza la Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (CS) Eliud Owalo ameashiria mpango wa serikali ya Kenya Kwanza kupunguza matumizi ya matangazo ya vyombo vya habari...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameruhusiwa kuondoa kesi ya Tsh. Bilioni 139.8 dhidi ya Richathi Gachagua huku Mahakama ikionya kuwa anaweza kukamatwa tena iwapo ushahidi utapatikana. Ofisi ya DPP...
0 Reactions
5 Replies
705 Views
https://www.monitor.co.ug/uganda/news/national/makerere-bounces-back-to-top-five-in-africa-in-new-rankings-4287392 MY TAKE; Go Tanzania the sky is a limit. Sent from my itel L5007 using...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa taarifa ya Mashuhuda, ajali imetokea eneo la Londiani Nchini Kenya baada ya Lori kupoteza uelekeo na kuwafuata waenda kwa Miguu, Wafanyabiashara na Mabasi madogo ya Abiria...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanaume wanajali zaidi afya zao na wanapenda kutumia kinga wakati wa kujamiiana na ‘side chics’ kuliko wanawake wanapokuwa na starehe za kujamiiana na wanaume ambao hawajachumbiana nao wala...
1 Reactions
2 Replies
675 Views
Uamuzi huo unafuatia pendekezo lililowasilishwa na Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC) iliyotaka kuongeza Mishahara kwa Maafisa wakuu Serikalini kuanzia Mwezi Julai 2023. Ruto amesema suala...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huyu Mwamba, mnamo mwaka 1982, alimfurusha Rais Moi Ikulu na akachukua nchi. Ilikuwa hivi!! Hezekiah Ochuka, alikuwa ni mwanajeshi wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Kenya. Inasemwa alikuwa ni...
10 Reactions
27 Replies
5K Views
Back
Top Bottom