Utawala wa Kenya chini ya Rais William Ruto umepata pigo kubwa baada ya mahakama kuu nchini humo jana Ijumaa Juni 30 kutoa amri ya kusitisha utekelezaji wa sheria mpya ya Fedha ya mwaka 2023...
kwa ufupi, hii ni aibu kwa taifa kubwa kama Tanzania, nchi yenye rasilimali chungu nzima, raia wanyonge ambao unaweza kuwa dhulumu utakavyo, nchi ambayo haijui njaa wala uchungu wa risasi za magaida.
Katika maamuzi yao yaliyotolewa na Jaji Muguru Thande wa Kitengo cha Katiba na Haki za Binadamu Milimani, mahakama imemzuia Waziri wa Fedha Njuguna Ndung’u na Mwanasheria Mkuu Justin Muturi na...
Rais wa Kenya William Ruto pamoja na Maafisa wengine wa Serikali akiwemo Naibu Rais, Makatibu wa Baraza la Mawaziri na Wabunge, wamepangiwa nyongeza ya mishahara ya hadi 14% katika kipindi cha...
Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) Nchini Kenya, imesema pamoja na Tozo hizo, pia matumizi ya Kanuni za Mazao ya Mirungi (Miraa) zilizochapishwa kwa mara ya kwanza Aprili 2023, zitaanza kutumika...
Muswada huo uliopendekezwa na Mbunge wa Mbeere Kaskazini Geoffrey Ruku unalenga kudhibiti hali ambayo maandamano makubwa kote nchini yanaweza kufanywa.
Kulingana na Ruku, muswada huo pia...
Idhinisho hilo sasa linatoa kibali cha kuanza utekelezaji wa Sheria katika ukusanyaji wa Kodi mpya zilizopendekezwa na Serikali zikiwemo Tozo ya 16% ya Mafuta kutoka 8% na makato ya 1.5% kwa kila...
Waziri wa usalama wa ndani Professor Kithure Kindiki, kupitia gazeti rasmi la Serikali ametangaza Jumatano ya tarehe 28 Juni 2023 kuwa Siku ya mapumziko kwa ajili ya kuadhimisha Eid-Ul-Adha.
Ripoti iliyotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Kenya imefunua ufisadi mkubwa, udanganyifu, na utendaji mbovu katika kampuni za maji na usafi unaofanyika katika mikoa mbalimbali.
Ripoti hiyo...
Mwanamke mmoja wa Kajiado amechoma moto nyumba yake wakati akiwemo ndani, uliosababisha vifo vya watoto wake wawili, wenye umri wa miaka 2 na 10, baada ya kugundua kuwa Mumewe ameongeza Mke wa 2...
Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha.
Chanzo: Gazeti la The Standard...
Waziri Mkuu Musalia Mudavadi anasema kwa sasa nchi haiwezi kutatua hali ngumu ya kiuchumi iliyopo katika kipindi kifupi ambacho serikali ya Kenya Kwanza ilikuwa imepanga wakati inachukua madaraka...
Ni baada ya kuhusishwa katika kashfa ya Uagizaji wa tani 125,000 za mafuta ya kula bila kodi, na kuuzia Wafanyabiashara wa jumla, na kuikosesha Serikali mapato ya takriban Ksh. Bilioni 6, sawa na...
Joseph Juma Buyuka, alifariki kwa njaa baada ya yeye pamoja na washukiwa wengine kadhaa kuanza mgomo wa kutokula chakula mwanzoni mwa mwezi Juni, 2023, kwa kupinga kuzuiliwa kwao kwa kuhusika na...
Huku wanafunzi 5 na dereva wakifariki katika ajali ya Kaburengu, Busia Wanafunzi wengine 6 walipata majeraha na wanapokea matibabu katika hospitali ya kaunti ya Webuye.
Ajali hiyo inatajwa...
Democratic Republic of Congo (DRC) President, Felix Antoine Tshisekedi has been accused of inciting masses against the East African Community Regional Force (EACRF) deployed in the volatile...
MY TAKE; Kwa wale waliokua wakishabikia nchi za Afrika kukandamiza haki za binadamu kwa kigezo cha kuachwa kuwa huru bila kuingiliwa na nchi zingine hata pale inapoonekana wazi kukandamiza haki za...
Utafiti mpya umebaini kuwa zuio la muda wa kuwa nje ya usiku hadi alfajiri nchini Kenya, iliyotekelezwa mwezi Machi 2020 kwa lengo la kupunguza maambukizi ya COVID-19, ilisababisha bila kukusudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.