johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Kwa sasa kwenye kambi ya Upinzani Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo ndiye mwenye uwezo wa kuchambua mambo ya kiuchumi baada ya Prof Lipumba kuyumba.
Lakini namuangalia Odinga hapa Citizen TV namuona Zitto kama chekechea kwa kweli
Lakini Huyu Zitto kasoma Ilboru shule ya Kanisa ile ya Vipaji sasa labda huwa anafanya makusudi
Mlale Unono!
Lakini namuangalia Odinga hapa Citizen TV namuona Zitto kama chekechea kwa kweli
Lakini Huyu Zitto kasoma Ilboru shule ya Kanisa ile ya Vipaji sasa labda huwa anafanya makusudi
Mlale Unono!