Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Dah, yaani Kenya mpaka kwenye muziki tunatawala Afrika, hamna chochote ambacho tumeachwa nyuma, hii nchi tumebarikiwa kuwa na watu wanaojituma kwa kweli, tunatawala kiuchumi, kielimu, kijeshi...
12 Reactions
240 Replies
23K Views
If you have been following World affairs closely, you probably already know what is ahead of humanity.With that in mind,President of Kenya has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars...
5 Reactions
128 Replies
17K Views
Huu mtanange utaishia wapi, je ndio mwanzo wa kusambaratika kwa EAC?, kama vipi tulivunje hili "JAHAZI" ili tugawane mbao kila nchi itokomee kusiko julikana, ama namna gani wajameni?
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii haijatokea kwetu ni huko Kenya wanako jua maaana ya uwajibikaji. Baada ya kukatika umeme kwa masaa mawili uwanja wa Ndege wa Nairobi taarifa ya hivi punde ni kuwa mkuu wa viwanja vya Ndege...
0 Reactions
1 Replies
859 Views
Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, amemjibu Balozi wa Marekani Mchini humo, Meghan Whitman, kuwa Kenya sio koloni la Marekani na kumtaka Whitman kujiepusha na siasa za Kenya...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
''Asiye na dhambi awe wa kwanza kuokota mawe na kuwapiga hawa watuhumiwa''.........mwisho wa kunukuu sasa endelea na story ====== Bibi na Bwana harusi watarajiwa wamejikuta wakishindwa kufunga...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Katika kujaribu kudhibiti taasisi za kidini, Serikali imefuta usajili wa Makanisa 6, yakiwemo Makanisa ya Mchungaji Ezekiel na Paul Mackenzie PaulMackenzie kwa sasa yupo kizuizini kwa kurubuni...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja amelazwa Hospitali nchini Kenya baada ya kujichoma moto katika eneo la Mwembe Tayari Kaunti ya Mombasa huku chanzo cha kufanya hivyo kikiwa bado hakijafahamika ingawa taarifa za...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Bunge la Kenya limembana Kamishna wa Ofisi hiyo, Immaculate Kassait na kumweleza kuwa amewaangusha Wananchi kwa kushindwa kuchunguza na kuhakikisha Taarifa Zao Binafsi zinalindwa dhidi ya kampuni...
1 Reactions
1 Replies
727 Views
Seneta Jackson Mandago na Watu wengine 3 wanakabiliwa na Mashtaka 11, ikiwa ni pamoja na Wizi na matumizi mabaya ya ofisi. Anatuhumiwa kushiriki katika njama ya kuiba Ksh. Bilioni 1.1, sawa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula leo amepokea ombi rasmi la kutaka kupiga marufuku matumizi ya mtandao wa TikTok, kwa madai kuwa mtandao huo unatumiwa vibaya na Vijana kueneza uchafu na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Je, Kenya imeweza kutambua kwamba suala hili linaweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na walafi wa rasilimali za Afrika na jinsi sera hiyo inavyotekelezwa na serikali inavyoshughulikia masuala...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Akiwa katika Mahakama ya Shanzu ambapo shauri dhidi yake na washirika wake linatajwa, Paul Mackenzie alipiga kelele akiitaka Mahakama iwaue kisha miili yao itupwe Mto Yala, akidai haki zake na za...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Mchungaji McKenzie analalamikia kutopewa haki za kibinadamu akiwa jela. Anadai amekuwa akinyimwa kutoka nje na kuota jua, analalamikia GIZA la humo ndani. Amesahau waamini wenzake wako katika...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Rais William Ruto ameibua mjadala mitandaoni baada ya wataalam wa saa za mkononi kufichua kwamba alivaa saa kutoka kwa kampuni ya Jaeger Coultre yenye thamani ya Shilingi milioni 6.4 za Kenya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi Nchini #Kenya, linamshikilia kwa mahojiano, #DJBrownskin (Michael Macharia Njiiri) anayedaiwa kurekodi tukio hilo ambalo limetajwa kuwa ni kosa la kusaidia kuua, kinyume na Kifungu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mhubiri wa eneo la Bomet kaunti amekamatwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne mwenye umri wa miaka 17 huko Kisii wakati wakisubiri usafiri kuelekea Kisumu. Binti huyo ambae ni Mwanafunzi wa Shule ya...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Watu wengi wajitokeza katika maeneo mbalimbali jijini Nairobi, Kenya kuandikisha utambulisho wao wa kipekee kupitia mboni ya jicho kwenye Kampuni inayoitwa Worldcoins, ambapo kama malipo wanapewa...
2 Reactions
4 Replies
943 Views
Rais wa Kenya, William Ruto ametoa mwongozo mpya wa usafiri kwa Maafisa wa Serikali nchini Kenya ambapo amesema kila Afisa wa Serikali anapaswa kusafiri kwenda nje ya Nchi kwa siku 45 tu kwa mwaka...
2 Reactions
5 Replies
744 Views
Odinga anazidi kukaza,amkalia Ruto kama Vile Beberu USA alivyomkalia Putin Hadi akakimbia Mkutano wa Brics 😁😁 ----- Rais wa Kenya, Dk William Ruto, amesema yuko tayari kufanya mazungumzo kuhusu...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom