mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Hii haijatokea kwetu ni huko Kenya wanako jua maaana ya uwajibikaji.
Baada ya kukatika umeme kwa masaa mawili uwanja wa Ndege wa Nairobi taarifa ya hivi punde ni kuwa mkuu wa viwanja vya Ndege amefutwa kazi.
Baada ya kukatika umeme kwa masaa mawili uwanja wa Ndege wa Nairobi taarifa ya hivi punde ni kuwa mkuu wa viwanja vya Ndege amefutwa kazi.