Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

🏗️ FURSA YA UJENZI & CONNECTIONS TANZANIA NZIMA! 🇹🇿 Je, wewe ni Fundi stadi, Muuzaji wa vifaa, au Mwenye nyumba unayetafuta huduma bora? Huu ndio mchongo wako! Tumeanzisha Group la UJENZI &...
1 Reactions
3 Replies
403 Views
Karibu Sana ofisini kwetu ujipatie Mabati bora na ya kisasa kutoka Sunbank. Tupo na aina zifuatazo za Mabati 1. Gloss ( Mtelezo ) 2. Rich tile 3.Ridge /Valley 4. Matte (Chenga chenga )...
3 Reactions
60 Replies
3K Views
*Urefu wa nyumba wakati wa ujenzi - Orodha: vipimo vyako visipungue hivyo nimeandika kwa experience yangu 1. Sebule - 4m x 5m au 4.5m x 5m 2. Chumba master - 4m x 4m au 4m x 3.5m 3...
5 Reactions
4 Replies
524 Views
SEHEMU YA KWANZA A. Maji ndiyo kitu namba moja kinachoongoza katika uharibifu na kudhorotesha uimara wa jengo. Basi leo nitaangazia juu ya uzuizi wa maji kuweza kuharibu jengo alimaarufu kama...
1 Reactions
5 Replies
238 Views
Habari. Nina nyumba ina vyumba vitatu vta kulala, dining, siting room na public toilet. Nahitaji fundi anayeweza Kuikarabati iwe ya kisasa kidogo maana lengo langu ni kupata master na jiko moja...
3 Reactions
11 Replies
411 Views
Hebu angalia hapo chini gharama ya ujenzi Kenya ukilinganisha na jengo bei haiendani kabisa. Huyu ni injinia wa majengo lakini bei yake rahisi sana. Ghorofa hili eti anakujengea hadi finishing...
5 Reactions
18 Replies
688 Views
Mafundi ujenzi wanahitaji kuwa na ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na mbinu za ubunifu za kufanya kazi. Hii ni kwa sababu taaluma yao inahusiana moja kwa moja na usalama wa majengo, madaraja na...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF Kama kichwa cha habari, naombeni mwenye used au mipya milango na frame zake kama naweza kupata kwa bei nafuu, nipo Dar ES SALAAM mbezi kavu au kibamba. Asanteni
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu, Naomba kujua aina za madirisha ya alminium na gharama zake. Aksante.
2 Reactions
5 Replies
804 Views
Karibuni wakuu kwa mawazo yenu Msingi ni wa mawe. Ukuta ni 6ft Hapo ni bila kuchapia cement baada ya ujenzi (cement skimming) Hio 1.5m ya msingi ni kuchimba msingi na labour charges zake...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani wandugu hivi ni kwanini unaweza kujenga nyumba ya kuishi ikawa iko tayari kwa matumizi au nyumba ulikuwa unaishi halafu ukaondoka kwa muda mrefu bila mtu kuishi kwenye ile nyumba huwa ina...
2 Reactions
6 Replies
559 Views
Salama wakuu. Naombeni idea ya rangi nzuri ya kupaka ndani ya nyumba. Nimejaribu kuperuzi rangi nyingi mbali mbali nimeshindwa kufika muafaka. Ni rangi gani nzuri ikipakwa ndani panakaa murua...
8 Reactions
39 Replies
1K Views
Wadau nimeona kuweka mlango wa mbao na grill kwa milango ya nje kwenye nyumba ya kuishi haipendezi kama kuweka milango ya chuma hasa ya Uturuki na China. Naona kujua ni milango ipi imara ya chuma...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Za weekend wandugu? Heri ya Sikukuu ya Eid wana jukwaa. Hapa ninapoishi pana nafasi kubwa tu imebaki. Ni nyumba ya familia lakini nimeruhusiwa kujenga. Nataka nijenge Chumba kimoja na Sebule...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Yaani kigae kimoja 40,000? Kwamba nikihitaji vigae 2,000 nalipa almost 80,000,000?! Nilitaka nimshauri huyu jamaa aagize China ila nikaona kwanini aende mbali. Mwenye kufahamu Zanzibar bei ya...
5 Reactions
12 Replies
505 Views
kitchen cabinets za kisasa kwa bei chee.. maboss zangu ata ukiwa bado ujahamia tutakutengenezea kisha kuvifunga lailon ili kuzuia vumbi na michubuko ad utapako hamia unakuta kitchen cabinet yako...
2 Reactions
14 Replies
619 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Kuna Swali Watu Wanajiulizaga Mtaani Watu Waliosoma Civil Engineering.. Ni Wahandisi Ndio Lakini Wanajihusisha Na Nini Haswa.? Civil Engineering Ni Uhandisi Unaojihusisha na Kudesign, Kujenga na...
0 Reactions
0 Replies
184 Views
🚧 UNAHITAJI HUDUMA ZA UJENZI NA FINISHING? TUKO HAPA KUKUSAIDIA! 🏠✨ Habari wakuu, Tunatoa huduma bora na za uhakika katika sekta ya ujenzi (construction) na ukamilishaji wa majengo (finishing...
0 Reactions
0 Replies
146 Views
Back
Top Bottom