Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

MAKALA YA 4 Karibuni katika Makala yetu ya Ujenzi,Ambapo dhana na lugha ngumu ya Kitaalam inageuzwa kuwa nyepesi na kueleweka. Leo japo kwa ufupi tutajadili kuhusu suala la "Chumvi kwenye Jengo"...
3 Reactions
3 Replies
426 Views
MAKALA YA 2 Karibuni tena katika Makala yenye kutoa elimu juu ya mambo muhimu kwenye ujenzi wa Majengo (madogo) I.e. Nyumba, Maduka, Darasa, Zahanati n.k Leo tunatazamia katika Halijoto ndani ya...
8 Reactions
9 Replies
612 Views
Husika na mada tajwa hapo. Mm nipo bunju Kilomita 3 kutoka barabara ya bagamoyo . Nyumba tiyar imeisha pigwa blandaring kinachofanyika ni kudisgn ua la sebure pamoja na dinning. Asiwe na bei za...
1 Reactions
2 Replies
148 Views
Habari zenu jukwaa. kuna kiwanja nilishawahi kukipata na kukipigia fensi, nataka niaze ujenzi mwezi wa sita. Dhumuni kuu la kuwaleta mafundi wamalawi ni ile sifa yao wanayojulikana kuwa nayo...
1 Reactions
8 Replies
482 Views
BASHUNGWA AWASILI WILAYANI MAFIA KWA ZIARA YA KIKAZI. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amewasili wilayani Mafia mkoani Pwani kufanya ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Mkuu wa Wilaya...
0 Reactions
0 Replies
78 Views
UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA MSALATO SEHEMU YA KWANZA KUKAMILIKA DISEMBA, 2024 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato - Dodoma...
1 Reactions
2 Replies
277 Views
Habari za majukumu wanajukwaa? Naimani Mwaka huu umeanza vizuri na matarajio yangu kwenye mwaka huu ni lazima nitoke nje ya mipaka ya Tanzania kwa namna yoyote ile iwe isiwe. Kabla ya yote...
7 Reactions
28 Replies
1K Views
Mwenye uzoefu na gharama zifuatazo anambie nyumba ina vyumba vinne, jiko seble, vyoo viwili na bafu Gharama ya plaster= Kupaka rangi= Wiring= Plumbing= Tiles=
1 Reactions
5 Replies
900 Views
Kichwa cha habari kinajieleza, namtaka mtaalamu ambae atanitengenezea UA zuri la kisasa sebleni kwangu kwa malipo tajwa hapo juu, Angalizo nahitaji expert haswa sio mtu wa kujifunza.Eneo Kibaha
1 Reactions
11 Replies
772 Views
Tumeandaa design hii ya lodge (guest House) ambayo mchanganuo wake up hapa chini --> Wageni Wamekuwa Wengi, Anzisha Biashara na Uwekezaji wa Lodge (Vyumba 16 self) [emoji383] Mawasiliano...
9 Reactions
22 Replies
2K Views
  • Redirect
UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA MSALATO SEHEMU YA KWANZA KUKAMILIKA DISEMBA, 2024 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato - Dodoma...
0 Reactions
Replies
Views
Nimeona haya mashimo ya Choo mtandaoni je Ubora Wake ni Mzuri tusije Kujichanganya tukahama Kwenye Uchumbaji wa Mashimo marefu tukajuta Baadae: Sifa zake wanasema. 1. Hayajai kamwe 2. Hanachukua...
3 Reactions
14 Replies
806 Views
Ukiondoa baadhi ya haya majiji makubwa huko kwingineko ni hasara tupu na maumivu. Huko si ajabu kukuta mtu kapanga nyumba nzima full contained akulipa elfu 50! Huu si ufala Kwann ujitoe kafara
1 Reactions
16 Replies
670 Views
Habari Wana JF, Ninaomba ushauri wenu katika hili, nataka kujenga lodge yenye vyumba sita vyote self, iwe na kitchen ndogo reception na laundry room. Kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza...
1 Reactions
4 Replies
290 Views
MAKALA YA 5 Karibuni katika Makala yetu ya kila wiki, leo tunaangazia kwenye kukabiliana na Baridi kwenye jengo. Kwa wale wa Njombe, Ruvuma, Mbeya, Kagera, Arusha, Iringa, Singida, Kilimanjaro...
4 Reactions
37 Replies
764 Views
Heshima kwenu wana jamvi. Kuna jamaa aliniuzia eneo. Baada ya muda kupita bila mimi kwenda kutembelea eneo nahisi atakuwa amebadilisha mipaka ya eneo. Naomba mtu anayejua jumla ya hivyo vipimo...
0 Reactions
8 Replies
432 Views
Wakuu nipo hatua ya kupaua, katika kuzunguka huko na huko kujua bati bora watu wengi wanasema ALAF, ALAF, ALAF yaani ni ALAF tu, wachache wamesema DRAGON, Dragoni baada ya kuwauliza bei yao ni...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Nataka kununua fensi kwa ajili ya kutenga mipaka ya shamba. Sifahamu chochote kuhusu VIPIMO VYAKE, UBORA NA BEI kwa sasa. Naomba kujuzwa
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hebu tuzitaje Kampuni kubwa za ujenzi Tanzania ambazo ni za Watanzania, zile ambazo tunaona zina uwezo sawa na za nje. Tuweke list hapa please.
5 Reactions
59 Replies
6K Views
UJENZI WA DARAJA LA J.P MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) WAFIKIA 85%. Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) lenye Kilometa 3.2 pamoja na Barabara unganishi ya Kilometa 1.66, linalojengwa...
2 Reactions
3 Replies
235 Views
Back
Top Bottom