Ndugu
Je hii ramani inaenea kwenye eneo la aquare mita 150 na kubakiza sehemu ya kupaki kagari na kuanika nguo.... Naombeni mawazo yenu ikibidi sana naombeni na vipimo
Mimi nilikuwa na waza...
Mambo vipi wakuu, Nipeni ushauri nimefikia hatua ya kujenga karo la choo.
Je ni Shimo lipi linafaa kwenye ardhi ya Udongo wa kichanga (SAND SOIL) kati ya Lile la kisasa lisilojaa ama yaja yetu...
Jamaniiiiii habari za asubuhi!
Kuna fundi anaeweza kunisaidia kukadiriae...?
Nikitaka kujenga nyumba yenye vyumba 6 .. nahitaji kutumia tofali ndogo ndogo za kuchoma ngapi? Na bati ngapi?
Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu.
Tunatumia vifaa bora na wataalamu wenye uzoefu
Ujenzi imara...
Habari za mfungo vijukuu vya Mtume Mohamad wa Uarabuni na Vijukuu vya Yesu Kristo wa Uzunguni.
Ndugu zangu,bibi yenu baada ya kupewa vihela vyangu vya kustaafu nikavitumia kujenga kajumba ka...
Wale wenye ujuzi/ushuhuda kwenye ujenzi kwa Dodoma naomba mniambie Je! Mil 25 inatosha kumaliza nyumba ya vyumba vitatu?
NB: wale wa kuendelea kushangaa magorofa ya watu endeleeni ss wenzenu ndo...
Tunatoa huduma za kitaalamu za uwekaji wa Tarazo (Tiles) kwa ubora wa hali ya juu kwenye maeneo mbalimbali:
🔹 Mashule (madarasa, korido, vyoo)
🔹 Parking (maeneo ya magari)
🔹 Underground floors...
Habari sisi ni wafanyakazi wa shirika la umeme tanesco wa mikataba ya S.T.E kwenye shirika la tanesco kuna mikataba ya aina tatu
1. Mkataba wa kudumu company namba
2. Mkataba temporary mwaka ni...
habari
unapotaka kufanya urembo wowote ndani ya nyumba,
huwa tunatumia cement,
usitumie wall put kufanyia urembo .
urembo wa nyumba huwa tunatumia cement na finishing yake ndio tunatumia wall put...
2 Bedroom master ensuite hidden roof modern design 🏡
Kwa mahitaji ya Ujenzi na ramani na mafundi wa aina zote karibuni kwenye group zetu.....Hapa utatoshelezwa na utatoka mtu mpya!
💬 Chat nasi...
⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA!
Unatafuta vifaa vya umeme vya uhakika kwa matumizi ya nyumbani au viwandani? Sisi tupo kwa ajili yako 💯
📍 Kariakoo
🚚 Delivery mikoa yote Tanzania...
Kila nikisearch picha za suburbs za Marekani sichoki kuziangalia jinsi zilivyopendeza
Kwanza kuanzia nyasi, unakuta nyumba hazina mageti bali zina nyasi tu mbele
Pili miundombinu, kuanzia...
Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo...
Naomba Fundi / Mfanyabiasha mwenye uzoefu wa kutengeneza matofali ya ujenzi pamoja na pavement unipe ushauri wa hiyo biashara, mtaji wa kuanzia, maeneo lengwa pamoja na chagamoto zake Asanteni
📍Rafiki Electrical & Tech Solutions ni solution kwa mahitaji yako ya vifaa bora na vya kisasa vyenye usalama Mkubwa.
Tunauza, kusambaza na kutengeneza Vifaa bora vya umeme wa:
🎯Viwanda
🎯Majumbani...
Je, Umekuwa ukijiuliza wapi utapata vifaa bora vya umeme kwaajili ya mahitaji yako?
💫SASA UMEPATA SULUHISHO KAMILI
Rafiki Electrical & Tech Solutions 💡
ni watengenezaji, wauzaji na wasambazaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.