Salama wadau,
Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road...
Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.
wengi watakuambia ujenzi si Lele...
Kwema Wakuu,
Nataka nianze ujenzi, ila ujenzi wenyewe ni wa pole pole.
Nimepanga nitenge walau 250,000/= monthly iingie kwenye ujenzi. Msingi nimeshaweka bado kunyanyua boma tu. Waiojenga...
Mimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.
Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi.
Nimepewa number za...
Ktk upimaji Kuna vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja mfano Mchoro wa mipango miji na Ramani ya upimaji, kwa kupitia mchoro wa mipango miji jumlisha na Ramani ya upimajiiliyosajiliwa ndiyo vigezo...
Tumezoea milango mingi inafungukia ndani. Sasa nikapita sehemu nikaona mjadala. Wanasema ukifungukia nje hata mtu hawezi kuupiga teke ukafunguka kirahisi. Pia wanasema kuna space inaongezeka...
Wakuu Nahitaji Kuweka Madirisha Ya Aluminium, Nipo DSM Tanzania Kwa Ambae Anamfahamu Fundi mzuri Ambae Alishawahi Kufanya Nae Kazi Na Wakamaliza Salama Huku Kazi Ikiwa Bora Naomba Niunganishwe...
Wakuu!
Kila sehemu Tanzania kunakoendelea Na ujenzi mkubwa wa miradi basi utakuta wahusika wakuu wa ujenzi ni kampuni za kigeni. Swali langu kila siku ni kwanini kampuni zetu za ndani haziaminiwi...
Habari Wadau!
Kuna changamoto nimeiona hapa nyumbani kwangu nisipotumia vitu kwa muda mrefu especially viatu vinakuwa na vumbi fulani jeupe, hata nguo zisizovaliwa kwa muda mrefu zinakuwa na...
Siku za hivi karibuni kumekuja ubunifu wa milango ya chuma,
Milango hiyo mwanzo ilianza kuonekana ktk maduka ikitokea nje ya nchi.
Lkn bahati nzuri pia mafundi wetu wa vifaa vya grill nao wameanza...
Ramani hii ni kwa nyumba ya pili ndogo.
Nyumba ya pili ndogo ni msaada mkubwa, unaweza kuweka wapangaji wakakupa hela ya mboga, au watoto wakikutembelea na familia zao unaweza kuwaacha wapate...
Wakuu hivi huu mfumo umekaa kitaalamu au ni mazoea tu, sink kuelekezwa upande wa mlango. Vyoo vingi hujengwa hivyo na kuna watu sio wastaarabu akimaliza haja hamwagi maji kuondoa mikojo kwenye...
Habari nyingi wakuu..
Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.
Hivyo basi wakuu...
Hongereni na majukumu ya siku nzima ya leo..kama kichwa cha mada kinavyo jieleza
Wenye uzoefu na ujenzi..kwa ramani hii inaweza gharimu kiasi gani hadi kumaliza ujenzi
Mimi ni kati ya watu wenye ndoto za kujenga ghorofa, lakini mada nyingi zimekuwa zinaibuka humu kwamba gharama ya ghorofa ni kubwa sana hasa gharama kubwa inakuwa ni msingi na nguzo zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.