Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Salama wadau, Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?. wengi watakuambia ujenzi si Lele...
10 Reactions
82 Replies
7K Views
Kwema Wakuu, Nataka nianze ujenzi, ila ujenzi wenyewe ni wa pole pole. Nimepanga nitenge walau 250,000/= monthly iingie kwenye ujenzi. Msingi nimeshaweka bado kunyanyua boma tu. Waiojenga...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Mimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia. Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi. Nimepewa number za...
50 Reactions
175 Replies
42K Views
Ktk upimaji Kuna vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja mfano Mchoro wa mipango miji na Ramani ya upimaji, kwa kupitia mchoro wa mipango miji jumlisha na Ramani ya upimajiiliyosajiliwa ndiyo vigezo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Tumezoea milango mingi inafungukia ndani. Sasa nikapita sehemu nikaona mjadala. Wanasema ukifungukia nje hata mtu hawezi kuupiga teke ukafunguka kirahisi. Pia wanasema kuna space inaongezeka...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu Nahitaji Kuweka Madirisha Ya Aluminium, Nipo DSM Tanzania Kwa Ambae Anamfahamu Fundi mzuri Ambae Alishawahi Kufanya Nae Kazi Na Wakamaliza Salama Huku Kazi Ikiwa Bora Naomba Niunganishwe...
0 Reactions
4 Replies
483 Views
Wakuu! Kila sehemu Tanzania kunakoendelea Na ujenzi mkubwa wa miradi basi utakuta wahusika wakuu wa ujenzi ni kampuni za kigeni. Swali langu kila siku ni kwanini kampuni zetu za ndani haziaminiwi...
0 Reactions
1 Replies
438 Views
Habari Wadau! Kuna changamoto nimeiona hapa nyumbani kwangu nisipotumia vitu kwa muda mrefu especially viatu vinakuwa na vumbi fulani jeupe, hata nguo zisizovaliwa kwa muda mrefu zinakuwa na...
0 Reactions
3 Replies
876 Views
Siku za hivi karibuni kumekuja ubunifu wa milango ya chuma, Milango hiyo mwanzo ilianza kuonekana ktk maduka ikitokea nje ya nchi. Lkn bahati nzuri pia mafundi wetu wa vifaa vya grill nao wameanza...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Ramani hii ni kwa nyumba ya pili ndogo. Nyumba ya pili ndogo ni msaada mkubwa, unaweza kuweka wapangaji wakakupa hela ya mboga, au watoto wakikutembelea na familia zao unaweza kuwaacha wapate...
13 Reactions
33 Replies
6K Views
Nahitaji fundi mzuri wa kupaua ni shading ya vimbwete. Aweze kunipa mahitaji ya vifaa na gharama za ufundi. Picha ya mfanano nai attach It is Urgent.
0 Reactions
6 Replies
427 Views
Wakuu hivi huu mfumo umekaa kitaalamu au ni mazoea tu, sink kuelekezwa upande wa mlango. Vyoo vingi hujengwa hivyo na kuna watu sio wastaarabu akimaliza haja hamwagi maji kuondoa mikojo kwenye...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi binafsi nimeamua kuanza kushusha. nondo zitakazo ibua hoja fikilishi maana naona waendelezaji majenzi ndio wanao omba ushauri na kujipa. ushauri wenyewe
0 Reactions
2 Replies
443 Views
Habari nyingi wakuu.. Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi. Hivyo basi wakuu...
6 Reactions
46 Replies
7K Views
Hongereni na majukumu ya siku nzima ya leo..kama kichwa cha mada kinavyo jieleza Wenye uzoefu na ujenzi..kwa ramani hii inaweza gharimu kiasi gani hadi kumaliza ujenzi
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni kati ya watu wenye ndoto za kujenga ghorofa, lakini mada nyingi zimekuwa zinaibuka humu kwamba gharama ya ghorofa ni kubwa sana hasa gharama kubwa inakuwa ni msingi na nguzo zile...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Gharama za kujiunga umeme ukiwa mia 30-120 toka nguzo ilipo ni kiasi gani?
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Ramani niliyonayo nimeipenda ila hii sehemu ya vyumba vya female na male ndio bado naomba ushauri kama hakuna shida au niongee na mchoraji abadilishe.
3 Reactions
65 Replies
9K Views
Wakuu salaam. Naomba kujua ni wapi ama chuo kipi kinatoa kozi ya urembo wa gypsum
0 Reactions
4 Replies
970 Views
Back
Top Bottom