Nilimsikiliza mtaalamu mmoja wa masuala ya uokozi, alisema kwamba, ni vyema ukakaa chumbani na nyundo angalau ya kilo 15 hivi.
Ili moto unapotokea kwa mfano, umeanzia jikoni, basi unaanza kupiga...
Ndugu wana Jf,
Kwa Mtu asiye mtaalamu atatambuaje mbao zilizo na dawa na zisizo na dawa? Na je bei za mbao kwa sasa ulipo ni kiasi gani?
Mfano
2*2
2*3
2*4
Katika kipindi hiki cha mfumuko wa bei...
Habarini wana JF!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na...
Ndugu wataalamu nimeambatanisha baadhi ya michoro mbalimbali ya nyumba/vyumba vya kupanga. Naomba Kwa mtaalamu yoyote aliye na sample zaidi za Floor plan ya nyumba au vyumba vya kupangisha...
Kwa wale ambao Wana uzoefu wa ujenzi au kama ni mafundi
Naomba msaada wa kujua gharama za fundi kwenye msingi, kupandisha pagale na mwisho finishing, Kwa kila stage nijue gharama.
Nyumba ni...
Habari wadau,
Naomba msaada wa gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba 2(self), sitting room & kitchen.
maeneo ya Mwanza Busweru.
Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya...
Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:👇
1 Master...
Wana JF habari za muda huu, natumaini wote tuko salama baada ya pilikapilika za Christmas.
Waungwana nimepata hii ramani hapa JF nimeipenda sasa nikaona na mm niitafutie makadirio ya gharama zake...
Wakuu naomba ushauri wenu au uchambuzi wenu wa kujua (roughly estimates) gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu yenye ifuatavyo (ukubwa wa 17 kwa 12)
1.master 1 na self 2
2.sitting room...
Habari wakuu.
Inajulikana Wengi kwenye kujenga tunahofia gharama kubwa za ujenzi.
Sasa hapa nimewaletea design ya nyumba ya vyumba vitatu, jiko, dining na sebule ya gharama nafuu.
Kinachoifanya...
Habari wa nzengo (salaam kutoka Jijini Mwanza)
Mimi ni kijana mpambanaji. Nimekua katika hustles kwa muda mrefu sasa naona milango ya baraka inafunguka na mimi sitaki kuchezea nafasi. Mwisho wa...
Duka la vifaa vyote vya bafuni na masink ya jikon na dining bila kusahau mabomba ya maji.
Duka linapatikana Kariakoo/Gerezani mtaa wa mbaruku/Nyamwezi str,dar es salaam, Tanzania...
Habari wanajukwaa.
Nataka kusafirisha Top za milango toka Songea kwenda Dar, naomba kujua changamoto za usafirishaji, kuna vibali vyovyote vinahitajika?
Kama vipo gharama zake zipoje?
Wakuu habarini za muda huu,
Kwa Dar es Saalam ni wapi naweza kupata kiwanja cha milioni 3? Namaanisha kiwanja cha milioni moja, mbili hadi tatu mwisho, iwe tatu maana ndiyo uwezo wangu. Kwa Dar...
Watu wengi wamekuwa wakiogopa kujenga nyumba kwa kuhofia gharama za mafundi kuwa kubwa na hata nyumba yenyewe, nimekuletea mpango mzima wa kujenga nyumba kwa tofali
Nikisema hivi namaanisha kuwa...
Kiukweli ujenzi kama ujenzi ni experience/exposure kubwa sana.
Unajifunza na kukosea mengi, hasa zaidi zile stress za ujenzi, kupishana mawazo na mafundi, kufanya research za materials sokoni...
Nimezunguka sehemu nyingi Hasa mikoa ya pwan naona wanajenga vihifadhi maji vya chini. Ndan ya ardhi. Sasa mimi nimeona kwangu havitanifaaa. Nataka nijenge kisima Cha kuhufadhi maji Cha juu, sio...
Salama wadau,
Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road...
Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.
wengi watakuambia ujenzi si Lele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.