Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari yenu wakuu. Niko Arusha, natafuta mtaalam wa kukata mti mkubwa ulio karibu na nyumba bila kuathiri mazingira yaliyo zungukwa na mti huo ikiwa ni pamoja na fence na miti midogo chini...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Je? Umeshawahi kujenga nyumba kwa muda mfupi zaidi na kuhamia? Je, ilikuwa kwa muda gani? Njoo share uzoefu wako please! Mimi binafsi sijawahi hata kujenga choo!
0 Reactions
15 Replies
913 Views
Wanachafua ukuta tu. Tuwafanyeje? Binafsi nimeamua nimewapiga picha na kuwapost hadharani waaibike sasa😒. Sio dawa? Dawa yao nn.....
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Naomba kuuliza hasa ukiacha urembo unafuu wa maisha ya kujenga uko wapi kwenye roof ya kawaida na zile za hidden?
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Nilimuamini sana anapiga kazi ambayo ata graduate wa civil anasubiri lakini huu ndio muandiko wake nimechoka.
0 Reactions
9 Replies
784 Views
Binafsi naamini sana kuwa na sehemu yako ya kuishi bila bugudha ya kodi wala maudhi ya wapangaji wengine. Mambo machacho kuhusu mimi 1. Niko under 30 2. Kipato changu ni kati ya 500k - 550 k kwa...
125 Reactions
297 Replies
49K Views
Mafundi na wazoefu wa ujenzi, kujenga fensi kwenye kiwanja cha 400 sqm nahitaji tofali za blocks ngapi? Na hela ya ufundi niandae kiasi gani? Kiwanja ni tambarare. Naomba mwongozo.
2 Reactions
21 Replies
12K Views
Kuna ka eneo kangu ka urefu wa 13M kwa 20M ,eneo ni tambarare kabisa ilaa naona katavamiwa na majirani maana ujenzi eneo hilo umepamba sana moto. Nataka nijue niandae Tofari ngapi Simenti mifuko...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari waungwana na wadau wa ujenzi. Nawajaribisha tushirikiane kujadiliana aina hii ya ujenzi kwa wataalam na wadau wa ujenzi wa aina hii....karibuni 1.Je una changamoto katika ujenzi wa nyumba...
20 Reactions
152 Replies
44K Views
Huwa napenda kupita mtandao wa Jiji.co.tz kuangalia nyumba na vitu mbalimbali. Nimeshangazwa na rangi ya baadhi ya nyumba za Mwanza. Ukipita humo utaziona. Huwa mnawaza nini watu wa Mwanza?
24 Reactions
61 Replies
6K Views
Habarini wadau Naomba kuuliza kwenye ishu ya kuvuta maji je unaweza kumalizia mwenyew baada ya mita 50 za dawasa Kwa kutumia fundi wako, maaan nnapoweka ni kama 200M na gharama zao Kwa huo umbali...
0 Reactions
1 Replies
718 Views
Nimeona design nyingi ya miradi ya serikali hasa majengo , ni ya hovyo hovyo na ya kitoto , design inapelekea jengo kuwa Baya na baada ya miaka miwili ya kupigwa jua jengo linaanza kupoteza mvuto...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
  • Redirect
KIWANJA KINAUZWA Ukubwa : Ekari 1 Location :Kibaha visiga-madafu Umbali :Kilometer 1 na nusu kutoka morogoro road Bei : Tsh million 22 Panafaa kukataa viwanja,kiwanda,shule n.k Karibu. 0656563416
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wasalaam, Wakuu naomba ushuhuda wa mdau ambaye amewahi kutumia hizi mbao treated ambazo zimezagaa sana hapa mjini kwa mwonekano wa rangi ya kijani atupe ushuhuda wake juu ya ubora wa mbao hizo...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu habari zenu Nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa Dar maeneo ya Tegeta Madare plan yangu ni kujenga nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. Lakini kwa sasa nipo na 7,000,000...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya ma great thinker!. Naombeni ushauri wa material za kupaua kama zatosha kwa nyumba ya sqm 179. Bati 140 ft 10 alaf Bati 10 za kofia Mbao 350 Wire Kech pc 10 Misumari bati 25kg...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha...
26 Reactions
80 Replies
5K Views
Juzi hapa nilikua na ka project ka nyumba.sasa nikafika kariakoo.kununua bidhaa.za rangi.kufika pale nikapiga piga window shopping wee nikajua binder ni bei gani.duka la kwanza nikapata kwa...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakubwa katika bwana nahitaji good desing and very good economy ambaye anaweza kunipa hiyo mambo kama jaribio akiweza kuitimiza within budget nampa kazi nyingine ila awe mkweli kwangu uongo sijui...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
  • Redirect
WACHIMBAJI WA VISIMA VYA MAJI Ukichimba kisima NASI √ 100% Ya Uhakika Wa Maji Ya Kudumu [Maji Safi Na Salama] √ BURE Marekebisho (matengenezo) pamoja na usimamizi wa kisima kwa miezi sita __...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom