Frank mtanganyika
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 459
- 732
Hivi unajua kuwa hiyo kodi ya nyumba unayoilipa kila siku kama ungeweza kusave. hicho kiwango unaweza kukamilisha nyumba ya ndoto yako bila kuamini kilichotokea?.
wengi watakuambia ujenzi si Lele mama. ni kweli; kujenga nyumba ya mil 40 km unakipato cha kawaida si kazi ndogo
ila nataka nikuambie kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ukitaka ukamilishe malengo yako yeyote yake. fikiria kwa ukubwa ila chukua hatua ndogo
ukiuliza timu yoyote duniani ambayo imeshawahi kushinda taji siri ya mafanikio . watakuambia we take one match at a time
Vilevile kwenye ujenzi ukitaka kufikia malengo ya kujenga nyumba ya ndoto acha kufikiria wapi utatoa zaidi ya 40M kujenga nyumba ya ndoto yako.
bali anza kufikiria
1. kununua kiwanja
2.kununua tofali moja
3.kujenga msingi wa nyumba
- kuna jamaa alinifwata na kuniuliza namna gani angeweza kujenga nyumba ya ndoto yake na kuepukana na pango ikiwa ana kipato kidogo?!.
tulikaa chini tukajadiliana, na kutengeneza plan ya anachotaka kukifanya si pesa tu bali msukumo unahitajika.
tunavyoongea sasa hv tumeshamaliza phase ya kwanza ya nyumba yake na toyar tumepanga tarehe ya kuanza phase ya pili
- na wewe pia unaweza kujenga haijalishi kipato ulichokuwa nacho. nitafute tushauriane na tufanye kazi yenye ubora na kwa gharama nafuu
0765931771 au 0783166050
Frank
Fundi mchundo kwa sasa nafanyia kazi zangu arusha na moshi ila mikoa mingine nafika pia
wengi watakuambia ujenzi si Lele mama. ni kweli; kujenga nyumba ya mil 40 km unakipato cha kawaida si kazi ndogo
ila nataka nikuambie kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ukitaka ukamilishe malengo yako yeyote yake. fikiria kwa ukubwa ila chukua hatua ndogo
ukiuliza timu yoyote duniani ambayo imeshawahi kushinda taji siri ya mafanikio . watakuambia we take one match at a time
Vilevile kwenye ujenzi ukitaka kufikia malengo ya kujenga nyumba ya ndoto acha kufikiria wapi utatoa zaidi ya 40M kujenga nyumba ya ndoto yako.
bali anza kufikiria
1. kununua kiwanja
2.kununua tofali moja
3.kujenga msingi wa nyumba
- kuna jamaa alinifwata na kuniuliza namna gani angeweza kujenga nyumba ya ndoto yake na kuepukana na pango ikiwa ana kipato kidogo?!.
tulikaa chini tukajadiliana, na kutengeneza plan ya anachotaka kukifanya si pesa tu bali msukumo unahitajika.
tunavyoongea sasa hv tumeshamaliza phase ya kwanza ya nyumba yake na toyar tumepanga tarehe ya kuanza phase ya pili
- na wewe pia unaweza kujenga haijalishi kipato ulichokuwa nacho. nitafute tushauriane na tufanye kazi yenye ubora na kwa gharama nafuu
0765931771 au 0783166050
Frank
Fundi mchundo kwa sasa nafanyia kazi zangu arusha na moshi ila mikoa mingine nafika pia