Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers
Wakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi? Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
13 Reactions
105 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa Sheria ya Upimaji na Ramani Sura Na. 324 ya Mwaka 1957 na kama ilivyorekebishwa Mwaka 1997, ni kosa la jinai kwa kuharibu au kusogeza alama za mipaka. Chini ya Sheria hii Vifungu...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Kama unajenga au una plan kujenga au u fundi ujenzi au unataka kuongeza nafasi kwenye nyumba ya bati uliyonnayo sasa, wasiliana na na sisi kwa ushauri wa bure na kujionea aina mpya kabisa ya...
8 Reactions
58 Replies
8K Views
Tasnia ya ujenzi imetoka mbali Sana, Hili linaitwa jengo la flat iron, jijini New York Waweza kupata picha dunia ilikua na wakandarasi wa ubora gani mpaka kusimamisha jengo refu la gorofa 22...
6 Reactions
19 Replies
996 Views
Ni jambo la kijinga sana kujenga nyumba ya thamani kuanzia milioni 40 na ndani ukashindwa kuweka thamani za kueleweka! Unakuta nyumba haina Air condition (AC), ama heater kwenye sehemu za baridi...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Nakumbuka niliomba ushauri hapa na nikaanza ujenzi kidogokidogo, kwenye jamvi hili pakawa dira yangu Kila ninalotaka kufanya.. Kila hatua nilipata mrejesho hukuhuku nini nifanye pia kwa kupitia na...
54 Reactions
53 Replies
8K Views
Wataalamu nimepata kamtaji fulani nataka Kujenga kituo Cha afya BUKOBA VIJIJINI TANZANIA Matazamio yangu Kituo kitakuwa na vifuatavyo First Phase ni Kujenga Msingi/foundation ya kituo ambacho...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Za muda huu? Engineering compass kwa ajili ya technical drawings ni bei gani? Nawasilisha.
1 Reactions
3 Replies
420 Views
Saudi Arabia inaanza mpango kabambe wa kujenga structure ya jengo kubwa zaidi duniani kaskazini magharibi mwa ufalme huo. Muundo huo, unaojulikana kama Mirror line, kwasabab litakua la vioo na...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau habari, Hapa nilitaka iwe vyumba 3 sebule na jiko. Nikapandisha ikafika sehemu ikakwama fedha ilikata ila najipanga niamie ili mengine yanikute hapohapo sasa naomba msaada wa makadilio ya...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba ushauri kati ya tiles na kioo bora nianze kuweka kipi kwenye nyumba yangu. Ila nyumba nimeshahamia nimo ndani humo humo ninawaomba ushauri vyote ni muhimu ila bajeti sio...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau naombeni rafu estimates za kumlipa fundi ujenzi nyumba ya kawaida yenye, chumba masters sebule, jiko na stoo. Je, njia nzuri za kuepuka gharama ni kuhesabu tofali alizojenga au maelewamo tu.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Msaada kwa wataalamu na tips za michoro na ushauri kutoka kwenu wadau.nina m5 nmejchanga changa naitaj kujengo angalau vyumba 2 na sebule na jiko. Choo ndan cha public Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
106 Replies
18K Views
Naomba kuuliza kwa mafundi tiles (VIGAE ) pamoja na waiza bidhaa hii ya VIGAE kama kuna uwezekano wa kupata VIGAE vya rangi ya kijani na njano. Samahani naomba majibu kwa wenye kujua
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MSAADA WA MAKADIRIO YA RAMANI HII KTK KUNYANYUA BOMA NA KUEZEKA ,MSINGI NILIJENGA MWANZONI KABISAA
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu nimetafuta sana ramani za nyumba zilizo full kwenye pdf files mitandaoni Ila nimekosa zaidi nakutana na picha za floor plan zenye namba za simu na nimejaribu kupiga baadhi ya hizo namba za...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau naomba kujuzwa hivi ni kwanini gharama za madirisha ya PVc ni juu mnoo? Na je kama kuna mtu ana connection na fundi anaye tengeneza PVC Windows kwa bei nafuu embu weka connection fasta.
1 Reactions
64 Replies
15K Views
Binadamu wenzetu waishio Dunia ya kwanza linapokuja swala la makazi huwa hawana mbwembwe nyingi, hasa kwenye ujenzi wa nyumba kama sisi wenye kipato kidogo tuishio Dunia ya tatu! Yaani mtu yupo...
2 Reactions
4 Replies
675 Views
Ni maeneo gani mazuri na ya karibu kupanga karibu na IAA- Dar campus? Na dalali kama yupo anicheki…
0 Reactions
1 Replies
264 Views
Kama mada ilivyo wakuu, Kutoka dinning kwenda jikoni panatakiwa kuwa na mlango wa mbao wa kufunga na kufungua au Panabaki wazi? Ikiwa panabaki wazi, haileti mwonekano tofauti kwa watu waliopo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom