Kwa mujibu wa Sheria ya Upimaji na Ramani Sura Na. 324 ya Mwaka 1957 na kama ilivyorekebishwa Mwaka 1997, ni kosa la jinai kwa kuharibu au kusogeza alama za mipaka. Chini ya Sheria hii Vifungu...
Kama unajenga au una plan kujenga au u fundi ujenzi au unataka kuongeza nafasi kwenye nyumba ya bati uliyonnayo sasa, wasiliana na na sisi kwa ushauri wa bure na kujionea aina mpya kabisa ya...
Tasnia ya ujenzi imetoka mbali Sana,
Hili linaitwa jengo la flat iron, jijini New York
Waweza kupata picha dunia ilikua na wakandarasi wa ubora gani mpaka kusimamisha jengo refu la gorofa 22...
Ni jambo la kijinga sana kujenga nyumba ya thamani kuanzia milioni 40 na ndani ukashindwa kuweka thamani za kueleweka!
Unakuta nyumba haina Air condition (AC), ama heater kwenye sehemu za baridi...
Nakumbuka niliomba ushauri hapa na nikaanza ujenzi kidogokidogo, kwenye jamvi hili pakawa dira yangu Kila ninalotaka kufanya.. Kila hatua nilipata mrejesho hukuhuku nini nifanye pia kwa kupitia na...
Wataalamu nimepata kamtaji fulani nataka Kujenga kituo Cha afya BUKOBA VIJIJINI TANZANIA
Matazamio yangu Kituo kitakuwa na vifuatavyo
First Phase ni Kujenga Msingi/foundation ya kituo ambacho...
Saudi Arabia inaanza mpango kabambe wa kujenga structure ya jengo kubwa zaidi duniani kaskazini magharibi mwa ufalme huo. Muundo huo, unaojulikana kama Mirror line, kwasabab litakua la vioo na...
Wadau habari,
Hapa nilitaka iwe vyumba 3 sebule na jiko. Nikapandisha ikafika sehemu ikakwama fedha ilikata ila najipanga niamie ili mengine yanikute hapohapo sasa naomba msaada wa makadilio ya...
Habari wadau, naomba ushauri kati ya tiles na kioo bora nianze kuweka kipi kwenye nyumba yangu.
Ila nyumba nimeshahamia nimo ndani humo humo ninawaomba ushauri vyote ni muhimu ila bajeti sio...
Wadau naombeni rafu estimates za kumlipa fundi ujenzi nyumba ya kawaida yenye, chumba masters sebule, jiko na stoo.
Je, njia nzuri za kuepuka gharama ni kuhesabu tofali alizojenga au maelewamo tu.
Msaada kwa wataalamu na tips za michoro na ushauri kutoka kwenu wadau.nina m5 nmejchanga changa naitaj kujengo angalau vyumba 2 na sebule na jiko. Choo ndan cha public
Sent using Jamii Forums...
Naomba kuuliza kwa mafundi tiles (VIGAE ) pamoja na waiza bidhaa hii ya VIGAE kama kuna uwezekano wa kupata VIGAE vya rangi ya kijani na njano.
Samahani naomba majibu kwa wenye kujua
Wakuu nimetafuta sana ramani za nyumba zilizo full kwenye pdf files mitandaoni Ila nimekosa zaidi nakutana na picha za floor plan zenye namba za simu na nimejaribu kupiga baadhi ya hizo namba za...
Wadau naomba kujuzwa hivi ni kwanini gharama za madirisha ya PVc ni juu mnoo? Na je kama kuna mtu ana connection na fundi anaye tengeneza PVC Windows kwa bei nafuu embu weka connection fasta.
Binadamu wenzetu waishio Dunia ya kwanza linapokuja swala la makazi huwa hawana mbwembwe nyingi, hasa kwenye ujenzi wa nyumba kama sisi wenye kipato kidogo tuishio Dunia ya tatu!
Yaani mtu yupo...
Kama mada ilivyo wakuu, Kutoka dinning kwenda jikoni panatakiwa kuwa na mlango wa mbao wa kufunga na kufungua au Panabaki wazi?
Ikiwa panabaki wazi, haileti mwonekano tofauti kwa watu waliopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.