Habari zenu wadau wa Dodoma. Karibuni ofisini (Jamhuri, shule ya sekondari) kuna mzigo wa mbao wa kutosha na Bei zetu ni rahisi sana!
2x2 - 2,300
2x3 - 3,300
2x4 - 4,300
2x6 - 6,500
1x4 - 2,300...
Hata kama mchoro wa nyumba ni uleule, gharama za ujenzi zinaweza kutofautiana sana kutokana na mambo yafuatayo:
1. Mahali pa Ujenzi (Location)
Bei ya vifaa hutofautiana kulingana na eneo
Gharama...
Bafu la Master Bedroom lina nafasi ya kutosha. Ninaweza kuweka kila muhimu ikiwemo sehemu ya mashine ya kufulia nguo.
Moyo unaniambia niweke Jacuzzi, akili inaniambia acha ufahari, utafanyia nini...
Mimi najiuliza watu hawajapona majibu ya 29/ 10 ambapo watenda makosa wakuu ni Jeshi la POLISI kwa KUTEKELEZA amri ya MAUAJI ya vijana wa kitanzania alafu Bado polisi mnaendeleza huu ushubwada wa...
Nje ya kutumika kama miti kwenye ujenzi na chanzo cha pombe ya ulanzi.. Mianzi pia ina matumizi mengine kwenye kupendezesha nyumba hasa kwa wapendao vitu asilia
Special dedication kwa Malchiah na...
Habari ndugu zangu wa JF,
Uzi maalum wa picha aina mbali mbali za vyoo kitchen sink majakuzi vyoo mabeseni bath..Pia material mapya yanayo ingia sokoni aina mbali mbali za cock n.k
Pia unaweza...
Msaada natafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili na sebule sina familia kubwa ninawatoto wawili na house girl sina mke. Nahitaji maeneo haya ya Kisesa, Kishiri na Igoma.
Nina 100k kwa mwezi ikizidi...
Mimi ni fundi
Kwa wauza vifaa vya furniture km
Plywood 18mm...
Mikono inch 6 ya makabati....
Mikono inch 8 ya kabati....
Bawaba za kichina....
Loki za kabat...
Gundi bollbond...
Disk ya mbao...
Naomba kuuliza wataalamu wa ujenzi hizi nyumba za hivi (kama zinavyoonekana sio kubwa) zinaweza kufikia gharama za ujenzi na finishing kali kiasi gani? nataka nikiwa na pesa kamili au...
Tupigie 0743257669 #Watalaamu waliobobea katika ujenzi wa mashimo ya kisasa visivyojaa haraka kutokana na mfumo wa tofali na mfumo wa mawe
✍️SIFA ZA MASHIMO YA VYOO VYA KISASA
📍HAVIJAI KABISA...
Je, unatarajia kujenga nyumba yako hivi karibuni? Na unataka kujengewa nyumba ya kisasa kwa uaminifu na ubora unaohitajika?
Kama ndivyo basi hujachelewa na tayari umetupata MODERN HOME BUILDERS...
Habari,ebana samahani, unaweza ku forge hii nyumba?
Nemtafuta engineer aliedesign Hiyo duu ana matusi kweli kweli..
Nisaidie ea kuforge ramani ya hii nyumba pls
Watu wengi tunafail ku accomplish ndoto zetu za kujenga au tunajenga na kushindwa kumaliza kwasababu tu ya kukosa plan nzuri ya gharama katika ujenzi
Stratergical way ya ku-win financial problem...
Habari wakuu wa jukwaa,
Naomba msaada wenu. Ningependa kufahamu ni vigezo gani vinavyotumika kupanga bei ya nyumba hizi.
Je, bei huamuliwa kwa kuzingatia mambo kama eneo ilipo nyumba, ukubwa wa...
Hqbari wakuu.
Nimenunua bajaj kutoka kwa mtu, sasa nataka kubadili jina la umiliki, kwa maana kadi isome jina langu. Mwenye anafahamu taratibu na gharama za kubadili kadi anijuze.
Pia hii bajaj...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.