Kama Taifa tumeshaumbuka! Hakuna namna ya kuficha ukweli, hata serikali ikijaribu kuuficha wananchi watausema hata kwa kunung'unika tu mioyoni mwao kama watatishwa wasisema hadharani
Video za...
Wakuu vyombo vyetu vya habari ni vimepigwa ganzi! Wasomi wamepigwa ganzi! Nawaelewa maana nchi hii kupotea ni dakika.
Juzi rais anasema amewasamehe walioshtakiwa! Kimsingi rais hana mamlaka ya...
Nimekutana na andiko hili huko Mtandaoni, nikaona siyo vibaya nishee tujadiliane kuhusu hizi takwimu za undugunization, Shemejinaizesheni na kujuana:
TUMEFIKAJE HAPA, BUNGE LA FAMILIA NA...
Ni wazi kwa sasa siyo rahisi kuzuia maandamano ya Gen Z kutokana na kwamba vijana wako tayari kufa. Radicalisation iliyofanyika through mitandao na matokeo ya Oktoba 29 yanaonyesha hawana cha...
Kwa wajuzi wa mambo, Dotto Biteko na wenzake watokao kanda ya ziwa walitumika kutaka kupata kura kabla ya uchafuzi haujaharibika.
Hivyo, sasa wameishajipa ushindi, hawahitaji msaada wao.
Je...
Kwa mujibu wa kaka yake Balozi Humphrey Polepole, Kanali Agustino Polepole, amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyetoa maelekezo kwamba Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa...
Ni sauti za Watanzania walioko katika majonzi na hasira, wakiimba kwa uchungu wimbo maarufu wa “Hakuna Mungu Kama Wewe”, lakini wakiwa wameubadilisha na kuimba, “Hakuna muuaji kama Samia, hakuna...
Mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Esther Matiko, amesema hotuba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu sekta ya usafirishaji imebeba dira ya mapinduzi makubwa...
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Sigrada Mligo amesema haungani na hoja ya kufanya maridhiano baada ya matukio yaliyotokea Oktoba 29 wakati akieleza kuwa serikali...
E. UMAUTI
Siku ya tarehe 29. 10. 2025 Elisha Mwakafwaga akiwa njiani kuelekea nyumbani kwa dada yake alipatwa na mkasa wa kupigwa risasi, eneo la tumbo kisha akawahishwa hospitalini. Alifanyiwa...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa (CCM), Fadhil Maganya amesema kilichotokea Oktoba 29 wakati wa uchaguzi kwa baadhi ya vijana kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali ya nchi, hakikuwahi...
TAARIFA KWA UMMA
JUKATA kwa majonzi makubwa inatoa pole za dhati kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote ambao wapendwa wao wameuawa, kujeruhiwa au kutoweka wakati wa maandamano yaliyozuka...
Wakuu,
Baada ya maandamano vifo vingi vimetokea vikisisabishwa na risasi za polisi. Wachache wamefanikiwa kupata miili ya wapendwa wengi huku wengi wazikinga ndugu zao kwa kutumia nguo, viatu na...
ZAMBARAU walisaini KANUNI na kushiriki uchaguzi. Baada ya KUBUTULIWA wanasema UCHAGUZI 2025 haukuwa HALALI. Lakini wanampongeza ADO kupewa UBUNGE.
Pia, wameita wanahabari kulalamika kwanini...
Nimesikia kauli za kejeli kwa vijana kutoka kwa rais Samia akijitaja kama mama mlezi wa taifa.
Sijui kama nimemuelewa au kama yeye mwenyewe anafahamu uzito wa anachosema ukilinganisha na hali ya...
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni...
Rais Samia amesema kuwa utaratibu wa kuongeza vituo vingi vya kupigia kura ulisaidia sana kupunguza msongamano katika vitu hivyo, hivyo upigaji kura kurahishwa sana na haukuchukua muda mwingi wa...
Hamna Jambo la Sirini litabakia kua Sirini !!.
Mbinu Yao walitumia, imewekwa Wazi Sasa !!.
Watekaji na Wauaji walipenyeza Mamuluki wao wachome Vituo vya Mafuta na Ma Bus ili kuhalalisha Matumizi...
Ila Samia anazidi kuongezea watu hasira tu, kwahiyo wazazi wao walitoa polisi nje kuua watoto wao?
Ndio anahalalisha yaliyotokea kwa kusema mkubwa hakosei?
Rais Samia kasema kama wao wazazi...
Hata mimi sifurahi kuua watu wasio na hatia. Najuwa kuna collateral damage.
Lakini tumewahi kujiuliza kuwa ingekuwaje kama Serikali isingetumia :excessive force" dhidi ya wale waandamanaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.