PostGE2025 Ndoto za Dotto Biteko za Uwaziri Mkuu zimeishia wapi?

PostGE2025 Ndoto za Dotto Biteko za Uwaziri Mkuu zimeishia wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
11,099
Reaction score
13,698
1763084030881.png

Kwa wajuzi wa mambo, Dotto Biteko na wenzake watokao kanda ya ziwa walitumika kutaka kupata kura kabla ya uchafuzi haujaharibika.

Hivyo, sasa wameishajipa ushindi, hawahitaji msaada wao.

Je Desemba 9, watatoboa au kutobolewa?
 
View attachment 3501550
Kwa wajuzi wa mambo, Dotto Biteko na wenzake watokao kanda ya ziwa walitumika kutaka kupata kura kabla ya uchafuzi haujaharibika.

Hivyo, sasa wameishajipa ushindi, hawahitaji msaada wao.

Je Desemba 9, watatoboa au kutobolewa?
washatumika kama toilet paper hawana umuhimu tena.......watulize makalio tukomboe nchi 9D
 
POLEPOLE ALISEMA NCHI INAONGOZWA NA WANAMTANDAO , KIKWETE ALIMSIMIKA SAMIA PALE DODOMA,THEN AKAMSIMIKA MWIGULU NCHEMBA ,AKAMSIMIKA ZUNGU,SASA ANAANDAA BARAZA LA MAWAZIRI
 
Biteko alitumika kumbana Majaliwa maana Kipindi cha kifo cha Mzee kasimu hakuta mama achukue waliona hawezi na wakina Ndugai wallijua tunarudi kulekule CDF akachana mkeka Mabeyo anatakiwa kua Jela nae
 
Hovi Naibu PM ana mafao ya mileke hado kufa kama PM ? Au cheo cha mahaba tu ??
 
BITEKO alijua kabisaa hatakaa aupate uwaziri mkuu mengi yalikua yenu mdhaniayo.
Wewe huwajui wabongo?

Wanaweza kukupa story kama walikuwapo kwenye chumba na Samuya na Biteko wakati Biteko anaahidiwa Uwaziri Mkuu.
 
Back
Top Bottom