Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, CCM wanakaribia kukamilisha agizo la Zungu🤣🤣🤣 Victor Mhagama ameibuka mshindi kwenye kura za maoni katika Jimbo la Peramiho na kuwashinda wengine 27. Sasa imebaki kuangalia raia...
1 Reactions
32 Replies
873 Views
  • Featured
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, amesema ili kuliponya Taifa amechukua hatua kadhaa ikiwemo kuanzisha Wizara ya Vijana iliyopo chini ya Ofisi ya Rais, kuwaachia...
9 Reactions
86 Replies
4K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee...
1 Reactions
20 Replies
542 Views
Nimemsikiliza kiongozi mmoja wa Kiislam ambaye amejichubua ngozi akiwatisha maaskofu wa TEC kuwa wanasubiri maelekezo kutoka kwa viongozi wao ili wawashughulie hao maaskofu kwa kile anachodai...
12 Reactions
121 Replies
3K Views
D9 tubebe mabango ya kumuomba Trump ashinikize kurudiwa kwa uchaguzi Tanzania bila kusahau bendera ya Tanzania na USA kuonesha mshikamano atajibu. Nina uwakika mualiko huu wa umma moja kwa moja...
6 Reactions
25 Replies
604 Views
Mbeya wanaendelea kukusanyika wananchi watatulia madai yao yakisikilizwa Ila vitisho haviwezi kuwatuliza. Wamebeba mbango yanayosomeka: Uchaguzi urudiwe Tume huru Utekaji NO Samia must go Free Tz
17 Reactions
22 Replies
1K Views
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeanza kufanya vikao vyake kwa faragha, na kuzuia waandishi wa habari kuingia kwenye ukumbi...
1 Reactions
18 Replies
504 Views
Serikali na polisi Wanakemea maandamano yasiyo na ukomo lakini mauwaji na utekaji usio na kikoma aah, tukutane ikulu
2 Reactions
7 Replies
247 Views
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti...
2 Reactions
14 Replies
511 Views
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Januari 19, 2026, imekutana na Wananchi wa Wilaya ya Temeke kwa lengo la...
1 Reactions
5 Replies
305 Views
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa...
1 Reactions
16 Replies
489 Views
Kwa haya matukio yake na maneno yake mabaya, hafai kabisa kuwa sehemu kama hii, naona hata mwaka 2024 ni kama walimpa tu! =================== Samia hakuwemo kwenye orodha ya Forbes Rais wa...
1 Reactions
8 Replies
369 Views
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni. Akizungumza na...
6 Reactions
68 Replies
1K Views
Shughuli ya upigaji kura inaendelea katika Kata ya Malangali Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, ambapo wananchi wameendelea kujitokeza kupiga kura ya udiwani katika uchaguzi wa marudio...
0 Reactions
0 Replies
82 Views
Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X (zamani twitter) Kada wa CHADEMA Godbless Lema, ameandika; "Kila chama kinachotaka kuongoza lazima kiwe mstari wa mbele katika kuhakikisha uwazi, uwajibikaji...
11 Reactions
26 Replies
809 Views
"Nilikataa kukatwa mguu, lakini madaktari waliniambia nimechelewa kupata matibabu." Huo ni ushuhuda wa kusikitisha wa George Chipeta (24), fundi wa umeme wa magari mkazi wa Banana, mkoani Dar es...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Wakuu, Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?" Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza...
5 Reactions
23 Replies
755 Views
Mwanaharakati Mange Kimambi amesema kuwa watanzania wanatakiwa kumpuuza mzee Butiku kwa kuwa anatumika na serikali ya Samia.
12 Reactions
52 Replies
1K Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema ushindi wa chama hicho katika uchaguzi unatokana na nguvu na mizizi iliyoanzia ngazi za chini...
3 Reactions
29 Replies
409 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kuwa tishio la watu kupigwa risasi liliwafanya mamilioni ya wananchi kubaki majumbani. Alisema kuwa takribani...
0 Reactions
11 Replies
472 Views
Back
Top Bottom