Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Awali ya yote napenda kuweka wazi kuwa sishabikii maandamano wala mauaji ya raia wasiokuwa na hatia. Niliyoshuhudia au kusimuliwa na watu kuhusu maauji ya baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025...
31 Reactions
148 Replies
6K Views
Kwa wale wote wanaopenda kufuata mkumbo wa maandamano naomba niwakumbushe tu baada ya wao kufanikisha takwa lao la kisiasa utasahaulika kama ulijitoa uhai wako. Mwaka 2007 baada ya serikali ya...
13 Reactions
232 Replies
4K Views
Serikali ya Samia inaendelea kubangazwa haswaaa! Hadi wachilie bomba! ================= “Watetezi wa haki za binadamu wanaitaka serikali kuwaachia watu 5,000 waliokamatwa na kushikiliwa kinyume...
1 Reactions
2 Replies
134 Views
Mnakumbuka baada ya Hayati Magufuli Kufa alikua Kila siku anateua, yaan Kila siku kuteua ,ndio njia pekee ya Media kumtangaza. Dec 9 tunaenda kuzuia Uhuni wote huo!!
5 Reactions
8 Replies
316 Views
Wakuu Hizi taasisi zimebadilika sana. Siku hizi zinagawa pongezi kama njugu mawe!
0 Reactions
17 Replies
416 Views
Diwani wa Kariakoo, Haji Manara amewaomba wananchi wasimuite 'Mheshimwa'.! 😂
2 Reactions
5 Replies
273 Views
Jumuiya ya Wahadhiri wa Kiislamu nchini Tanzania imewataka Waislamu wote nchini pamoja na Watanzania kwa ujumla kujitenga na hamasa na ushiriki wa maandamano yanayohamasishwa kupitia mitandao ya...
1 Reactions
25 Replies
832 Views
Hali ya sintofahamu kwenye kijiji cha Nanjirinji A Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Wanakijiji wamegomea mkutano wa kijiji wakipinga Ubadhirifu unao fanywa na viongozi wa kijiji Mwenyekiti na...
1 Reactions
2 Replies
232 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokradsi na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizunguma leo Novemba 19, 2025 amesema Tume ya kufanya uchunguzi wa uvunjifu wa amani wa vurugu zilizotokea Oktoba 29...
1 Reactions
7 Replies
561 Views
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kuutaarifu umma na kuvikumbusha vyombo vyote vya habari nchini, ikiwemo televisheni, redio, machapisho, mitandao ya kijamii, tovuti na majukwaa ya...
0 Reactions
25 Replies
764 Views
Zitto: Kura hata kuhesabiwa hazikuhesabiwa. Zilitangazwa tu. Tulijribu kulinda kura tukashindwa. Tumekiri. Ni muhimu tuungane pamoja kupigania haki za watu.
11 Reactions
38 Replies
1K Views
Rais Magufuli alikuwa mkristo na mkatoliki lakini bado Kanisa Katoliki lilimsema kwa kukiuka haki za binadamu na kukataa uwepo wa korona. Rais Magufuli alikuwa Mkristo na Mkatoliki lakini bado...
19 Reactions
78 Replies
2K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amethibitisha kuwa ushindi wa CCM katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 29 ulikuwa dhahiri...
0 Reactions
20 Replies
651 Views
Wahadhiri wa Kiislam kwa pamoja wamesema Maandamano wakati wa uchaguzi yalilenga kuharibu mali za Waislam tu halafu TEC wanataka HAKI, we cannot accept this
0 Reactions
32 Replies
830 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amesema hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa...
0 Reactions
15 Replies
314 Views
Ingawa maisha yanaendelea kama kawaida, Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania unatoa pole zake kwa watanzania. Tunaungana na watanzania kuomba uponyaji na amani ya kudumu ambayo hupatikana tu...
2 Reactions
4 Replies
143 Views
Mbunge mpya wa Kigoma Mjini, Clayton Chipando maarufu Baba Levo, ametangaza mpango wa kugawa meza 500 kwa wajasiriamali wadogo ambapo Meza hizo zitakabidhiwa moja kwa moja kwa wafanyabiashara wa...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
Huyu ni mama huko mkoani Kagera, anaeleza kwa huzuni mauaji aliyoshuhudia huko mtaani kwao. Anasema kuwa mtaani kwao pekee alishuhudia watu watano wakiuawa, tena watu wasio na hatia. Je hali...
5 Reactions
24 Replies
705 Views
Katika mkutano wa waandishi na waandishi wa habari alioufanya leo Novemba 20, 2025 Mkurugenzi wa manara tv na diwani mteule wa kata ya kariakoo Hajj Sunday Manara ameeleza kuwa udiwani wa kuvaa...
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Wakuu, Kama jinsi tangazo lile la uteuzi linavyosema, Rais ameteua Tume ya kuchuguza Uvunjifu wa Amani uliotokea kabla na baada ya uchaguzi na sio mauaji yaliyofanywa na Polisi! Kwa maana...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Back
Top Bottom