Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Tanzania ni nchi ambayo watu wake wanaishi bila ya kubaguana kwa dini, rangi au kabila na kwamba hayo ni matunda yaliyotokana na...
0 Reactions
1 Replies
285 Views
Anayewatuma(ga) hawa madogo kuzungumza kwenye issue serious kama hizi ni kwamba huwa hawajui kama wanajichoresha au? Kwenye issue nzito za kidiplomasia wao wanaongea kama wamekatwa vichwa vile...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara, Benson Kigaila ameeleza kuwa chama hicho kitashiriki Uchaguzi Mkuu 2025 katika mazingira yoyote akieleza kuwa mabadiliko...
1 Reactions
3 Replies
443 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CPA Amos Makalla amesema uchaguzi mkuu mwaka huu utafanyika kwa mujibu wa katiba na sheria kama ilivyopangwa...
1 Reactions
49 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki cha maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2025, mjadala mkubwa unaendelea juu ya sera za vyama mbalimbali. Lakini swali la msingi ni: Je, vyama vyetu vya siasa vinatilia mkazo masuala...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Wakuu, Hivi Makalla hana mtu wa kumshauri? Sasa ndo kauli gani hizi? Yaani huyu ilibidi kipindi kile alichosema kwamba CHADEMA wataleta Mpox na Ebola alitakiwa kupewa kitengo kingine asiwe...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza...
0 Reactions
9 Replies
723 Views
Wakuu, Tutaona mengi mwaka huu Amani nayo inatakiwa "kuhamasishwa"? Who is funding this? =================== Takribani watu 300 wanatarajiwa kushiriki matembezi ya hiari ya kilomita 452 kutoka...
3 Reactions
5 Replies
556 Views
Mary Chatanda ni mmoja wa wajumbe wa NEC Taifa ambaye miezi michache ijayo ataketi katika wale watu Watakaopitisha majina ya Wana CCM waliotia nia Majimboni kuomba nafasi ya Ubunge Kwa nafasi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Salam sana wana jamvi, Awali ya yote nawasalimu Watanzania wenzangu kwa kupitia jukwaa hili. Nikiwa ni mpenzi wa kufuatilia sisasa za Tanzania, hususani vipindi vya uchaguzi kwa kweli naona kuna...
0 Reactions
0 Replies
316 Views
Siwaelewi Watu wa CCM, wao katika hali za kawaida kabisa za wananchi kudai uchaguzi huru na haki imekuwa ni tatizo kubwa sana kwao, kwakuwa wanadai hawawezi kufanya reform wala kusogeza uchaguzi...
0 Reactions
9 Replies
596 Views
Na Askofu wa dayosisi ya Karagwe, Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD) kupitia ukurasa wake wa Facebook anaandika, DUNIA BILA MUNGU na WAPINZANI BILA CHAMA Ukipenda ubishi, jiepushe kuwa na hasira...
24 Reactions
30 Replies
2K Views
Pichani ni Wananchi wa Singida Mjini wakishangilia Spana za Chadema zilizojaa Ushahidi kuhusu Wizi wa kura Hii ni baada ya Elimu kabambe kutoka kwa Baba Askofu Mwamakula Baadaye John Heche...
11 Reactions
16 Replies
993 Views
If history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA. Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation. Hii kampeni inaenda...
18 Reactions
189 Replies
6K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi, Amos Makalla amesema chama hicho hakihusiki kwa namna yoyote na vurugu zilizotokea hii leo katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
My Take Samia hajawahi kuwa na Mbambamba ni ahadi na matokeo. Safari ya kuwafanya wanawake mabilionea wa sekta ya ujenzi imeanza. --- Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) leo...
0 Reactions
5 Replies
437 Views
Wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa,Wabunge Mbalimbali wa CCM wameonekana kutofurahishwa na Wizara ya Ujenzi Kwa Kushindwa kujenga Barabara za lami Majimboni kwao miaka 5 Toka waanze kupiga...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Balozi Dkt Mohamed Bakari, Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru, amewasisitiza vijana kuwa wazalendo na kuhimiza wawe makini na yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii, akisisitiza...
0 Reactions
3 Replies
277 Views
Wamenyoosha Vidole #OktobaTunatiki Kaimu katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika akumbana na upinzani mkali Kondoa wananchi waipinga vikali kampeni ya "No Reforms no Election" wasema Oktoba wanatiki...
4 Reactions
82 Replies
4K Views
Wakuu Wananchi wa Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamejikuta wakinusuru fedha zao kwaajili ya bajeti ya kitoweo cha sherehe ya sikukuu ya kuchinja ‘Eid al-Adha’ baada ya Mbunge wa Jimbo la Butiama...
7 Reactions
91 Replies
6K Views
Back
Top Bottom