Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Namelok Sokoine, amewataka viongozi na wanachama wa CCM mkoani Arusha kuwa mstari wa mbele kujibu kwa hoja maudhui ya kejeli dhidi ya Rais...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Waziri wa Mawasiliano na Mbunge wa Jimbo la Ukonga Jerry Silaa, amefanyiwa Maombi, kuombewa Dua na kuchangiwa Fedha ya kuchukua Fomu Jimboni ukonga "Nawashukuru sana sana sana wenyeviti wa...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Sheikh Ponda akizungumza na wananchi mkoa wa Temeke katika mkutano wa ACT Wazalendo amesema kuwa Viongozi wa dini kushiriki siasa linatafsiriwa kama jambo geni kwa sasa, lakini kiuhalisia siyo...
2 Reactions
5 Replies
607 Views
Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Bi Dorothy Semu akizungumza katika mkutano wa hadhara Temeke ameendelea kusisitiza kuwa chama chao kitashiriki uchaguzi ili kuing'oa CCM Madarakati. Amesema...
1 Reactions
2 Replies
377 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Mlao, ametoa wito huo kwa vijana kote nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi badala ya kubaki kuwa...
1 Reactions
12 Replies
715 Views
Sheikh Ponda kanyooka kama Kitima, ni mwendo wa kupiga kwenye mshono mpaka kieleweke. ==== Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania ambaye pia ni mwanachama mpya wa Chama cha ACT Wazalendo, Sheikh...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Yoyote yule kwa dini yake, iwe mkristo au muislamu atakumbwa na matatizo ya utekaji, na ndiyo maana hili suala ni la kitaifa , sio la wakristo pekee. Inashangaza sana, kuona watu wanatekwa, arafu...
12 Reactions
116 Replies
7K Views
Tanzania ina idadi kubwa ya vijana na wanawake. Kwa mantiki hiyo, makundi haya yanapaswa kuwa na nafasi kubwa katika maamuzi ya kisiasa, hata hivyo hali ya sasa inaonesha kuwa ushiriki wao bado ni...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
NW DEUS SANGU: TAKUKURU IMEJIPANGA VYEMA KUDHIBITI RUSHWA UCHAGUZI MKUU Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amesema Taasisi ya Kuzuia na...
0 Reactions
10 Replies
625 Views
Inadaiwa walimu wote Mkoani mwanza wametakiwa kufika Airport Mwanza kumpokea Rais Samia Juni 15, 2025 wakati anafika Mkoani humo kwa ziara. Huu ni ujumbe unaotumwa kwa walimu wakuu ili...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Tusichagua watu kwasababu ya Pesa, ataweza kuwahonga wananchi wote wamuamini? Kwahiyo tukichagua wagombea kwasababu wametupa sisi fedha tukumbuke tunakwenda kwenye ushindani na tutatumia nguvu...
0 Reactions
3 Replies
385 Views
Wanabodi Leo tarehe 1 June, tumebakiwa na siku 30 za mwisho wa uhai wa kuwa active wa Bunge hili, ambalo linakwenda kuvunjwa rasmi muda wowote kabla ya Juni 30!. Hivyo huu ni muda wa mwisho kwa...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Na kwamba uongozi ni kuonesha njia na sio kuwachochea chuki na fujo wanachama dhidi ya wenye maoni tofauti na yao, uongozi sio kukiuka sheria kwa kuropoka, kuwatapeliwa wanachama pesa zao au...
6 Reactions
108 Replies
3K Views
MNEC NADRA GHULAM ASISITIZA VIONGOZI KUFANYA MIKUTANO NA WANANCHI WA MAENEO YAO Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayetokana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Eti heche nae ni kiongozi wa kitaifa. Hivi maelekezo yake yanaskizwa na yanafuatwa kweli ndani ya chadema? Kukosea kuchagua viongozi kuna gharama kubwa sana ndugu wadau wa JF. Eti heche nae ana...
4 Reactions
110 Replies
3K Views
Wakuu, Hivi hili suala limekaaje wakuu? Yaani watanzania wenye itikadi za vyama mbalimbali wako kitako kusikiliza bajeti ya Serikali lakini humo humo Waziri Mwigulu anafanya uchawa kumsifia Rais...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025. Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu, Yaani hakuna kupumzika. Sasa hivi Serikali haipati tu upinzani kutoka ndani lakini hadi nje. Haya sasa, Martha Karua kaamua kuipeleka Serikali yenu Mahakamani...
23 Reactions
72 Replies
5K Views
Luhaga Mpina, Mbunge wa Jimbo la Kisesa na mmoja wa wanasiasa wachache wanaojitambulisha kwa ushujaa wa kusema ukweli, amekuwa akijihusisha na harakati mbalimbali za kupigania haki, uwajibikaji...
1 Reactions
1 Replies
377 Views
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata" ===== Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika; "Sikusema maneno haya...
7 Reactions
67 Replies
5K Views
Back
Top Bottom