Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama kweli tunataka kutokomeza Utekaji na mauaji Kwenye Nchi hii ni vema tukaanika kila kitu bila kufichaficha. Mafwele ametangulizwa mbele lakini kikosi chake kina wakina nani wengine? Je RPC...
20 Reactions
69 Replies
8K Views
Tume iliyoundwa leo nina mashaka kama itakidhi haja. Haitaweza kumuhoji Samia Suluhu wa Makunduchi. Mzee Mwanakijiji kasema; 1. Haiwezi kumhoji Rais kutokana na kuhusika kwake 2. Haina...
4 Reactions
7 Replies
325 Views
Polisi na Msajili wa vyama vya siasa wanapata kazi ngumu kudhibiti CHADEMA. Watamuambia nini Mzanzibari anayewatuma kudhibiti CHADEMA? Nawaelewa maumivu wanayopitia. Moja haikai mbili haikai...
32 Reactions
51 Replies
1K Views
Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar. Alafu tunaumizwa sana. Maana...
1 Reactions
15 Replies
364 Views
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini bila kujua ni kama "imequalify" Ripoti ya Ex Jaji Mkuu Mstaafu,Mzee Chande. RIPOTI ilisema kuwa "Mapinduzi" ya Oct 29 yalipangwa na na kufadhiliwa na...
3 Reactions
22 Replies
473 Views
Yazindua Wito wa 5 wa Ufadhili wa Kichocheo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP), kupitia Mpango wa Ubunifu wa FUNGUO, imehitimisha kwa mafanikio Hafla ya Tuzo za...
2 Reactions
3 Replies
136 Views
Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu akihojiwa na Wasafi FM leo Mei 20, 2026, amezungumzia mamlaka ya Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu utoaji wa faini kwa vyama...
3 Reactions
3 Replies
353 Views
NI kawaida lazima mwenye mkoa wake wa DSM aje atuambie hadharani au safari anaona aibu maana siyo kwa aibu hii . Atakuja tu msubiri anajiandaa kupangilia uwongo wa kutukuka Mnamjua au niwatajie...
0 Reactions
2 Replies
113 Views
Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma kuhusu ubovu wa barabara na kilio cha wananchi: "Jana kuna gari imepasua matairi pale kwenye Mlima Saranda... mtu mmoja akanitumia message ile gari ilivyo na...
8 Reactions
31 Replies
743 Views
Sasa hivi madalali wataanza kupa pangisha ! Tuna mtendaji kata, balozi, mkurugenzi , mkuu wa wilaya mpaka Waziri Mkuu aje atoe tamko
7 Reactions
12 Replies
344 Views
Magufuli alimtumbua Makonda ili kujitenge mbali na uchafu wake sidhani kama Samia atakubali kuwa mnyonge kwa Marekani kama mtangulizi wake. Nategemea Samia badala ya kumtumbua Mafwele atamteua...
4 Reactions
20 Replies
350 Views
Kila siku bei zinapanda. Mafuta yakipanda, nauli inapanda. Nauli ikipanda, chakula kinapanda. Chakula kikipanda, maisha yote yanakuwa magumu. Halafu ukiuliza sababu unaambiwa “kuna vita ya Iran na...
7 Reactions
6 Replies
233 Views
Katika kikao cha Bunge kilichofanyika leo Mei 22, 2026, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa mchango wake kwenye Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa mwaka wa fedha...
1 Reactions
4 Replies
250 Views
"MV Bukoba was a passenger steamer that sank in Lake Victoria, 30 kilometers from Mwanza, Tanzania on May 21, 1996, killing nearly 1000 people. The boat transported passengers and cargo between...
1 Reactions
56 Replies
21K Views
Ujumbe unajieleza,Samia Hana pa kutokea, ICC inanukia, mungu tenda miujuza mtesi wetu akinywee kikombe cha mateso Wenye video wazitume sasa kupitia hii link MASV Portals
6 Reactions
9 Replies
274 Views
Paul Makonda anaitumia Michezo sasa kuwin his trust kwa jamii aliyoiumiza sana kipindi cha Uongozi wa Magufuli kiasi cha kupigwa ban kuingia Marekani na Serikali ya Marekani bado ana tikisa na...
3 Reactions
6 Replies
170 Views
Watanzania ni watu wanaopenda amani na hawajazoea kuishi kwa hofu. Niwapongeze Polisi kwa kujibu haraka kwamba wanachunguza tukio la 'kutekwa' Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu...
1 Reactions
37 Replies
866 Views
Kuna watu wengi tu wameshagundua madereva, makonda na baadhi ya wanaohusika katika uendeshaji na usimamizi wa hili gari hawana makosa wao wanalazimishwa kutokana na gari lenyewe lilivyo kwaiyo ata...
3 Reactions
10 Replies
186 Views
Siku mbili baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Taifa, Mary Chatanda kusema akipewa dakika moja awe Rais atawafuta wapinzani, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia...
0 Reactions
6 Replies
358 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…