Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ametangaza kuwa mabaraza yote ya madiwani nchini yatavunjwa rasmi ifikapo Juni 20, 2025. Tangazo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa atavunja rasmi Baraza la Wawakilishi Zanzibar ifikapo Agosti 13, 2025, ili kuwezesha maandalizi ya...
0 Reactions
3 Replies
628 Views
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais...
2 Reactions
59 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii katiba na sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Wananchi wa kata ya Mwanase mkoa wa Shinyanga wamemshukuru Mh Rais Samia kwa kuwapatia Baisketi katika kata hiyo kwa ngazi ya mabalozi huku wakimwahidi kura za kutosha kuelekea uchaguzi mkuu pia...
2 Reactions
1 Replies
473 Views
Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa CCM Taifa (MCC) Issa Haji Ussi Gavu leo tarehe 23 Juni 2025 ameshiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Jimbo la Kinondoni Jijini Dar es salaam, akiwa Mgeni Rasmi...
1 Reactions
2 Replies
424 Views
Ndugu Samwel John Malecela ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoani Dodoma na Mkurugenzi wa Lemutuz Media, ametangaza nia ya Kugombea Ubunge Jimbo la Dodoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha...
7 Reactions
66 Replies
4K Views
*UKOMBOZI WA KIUCHUMI NA AFYA MKOA WA KILIMANJARO * Mbunge Esther Malleko atekeleza ahadi yake,akabidhi Mashine za kutotolesha vifaranga vya kuku UWT Mkoa wa Kilimanjaro. Na Mwandishi wetu...
0 Reactions
7 Replies
422 Views
Wakuu, Huyu Mbunge wa COVID 19 ameamua kwenda jino kwa jino na Lissu huko Singida Mashariki ============================================== Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Nusrat...
6 Reactions
92 Replies
6K Views
Tutafika Oktoba tukiwa tumechoka sana! ==== WAWILI WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO. Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limetoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa inayosambaa kwenye...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Mbunge wa Kisesa, Mhe. Luhaga Mpina amesema wananchi wa Meatu hawakuchagua tu Mbunge wa Jimbo, bali wametoa Mbunge wa Taifa anayetetea kila aina ya mtanzania, wakiwemo wanyonge wasio na sauti, na...
6 Reactions
4 Replies
684 Views
Wakuu, Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa wa ACT Wazalendo, Jane Rithe, amepewa dhamana baada ya kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wale mnaouliza waziri wa afya Jenista Mhagama anatumia ngekewa gani kushinda sasa jibu lenu limepatikana Naambatanisha video ikimuonyesha mbunge wa jimbo la Peramiho huko mkoani Ruvuma katika...
3 Reactions
16 Replies
817 Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Angasi Robert Okechi, amesema kuwa katika nchi zilizoendelea, Bunge ni mahali pa watu wenye upeo mkubwa wa fikra na maarifa, ambapo wabunge...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
Mgeni rasmi katika hitimisho la Tamasha na Kongamano la Waislamu Ahmed Misanga, akizungumza na washiriki 1,800 wa tamasha hilo kutoka mikoa ya Tanzania Bara, pamoja na mambo mengine Misanga ambaye...
0 Reactions
10 Replies
600 Views
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini...
6 Reactions
14 Replies
901 Views
Kundi la Wachokonozi linaloundwa na Joseph Mrindoko na Jackson Kabalo wamekamatwa leo na watu waliodai kuwa ni askari polisi katika eneo la Maji ya Chai, wilayani Arumeru, Arusha. Kwa mujibu wa...
27 Reactions
231 Replies
15K Views
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amemwambia Rais Samia Suluhu Hassan kuwa jimbo lake bado linamdai fedha za maendeleo na kwamba maeneo mengine yanayodai hayamdai, fedha zao zihamishiwe Kisesa...
16 Reactions
113 Replies
8K Views
Waziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania Jerry Silaa akifanya mahojiano katika kipindi cha Cafe Talk yaliyofanyika mapema leo jijini Dar es salaam. ameeleza kwa kina na kutoa sababu iliyoplekea...
1 Reactions
8 Replies
782 Views
Back
Top Bottom