Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Askofu Robert Pangani wa Kanisa la Moravian, "Nguvu kazi ya taifa ni watu, hao tukiwapoteza tunaenda wapi?"
0 Reactions
1 Replies
77 Views
Waziri Mkuu wamchongo anaendelea kutuchamba kama, boss wake mwingine Hii serikali ya mchongo inahuzuni sana wanatuona kama watoto wao nyumbani =============== Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba...
5 Reactions
38 Replies
933 Views
Habari ndugu zangu wanajamvi. Wakati naingia kidato cha kwanza miaka ishirini iliyopita wazazi wangu walifundisha umuhimu wa kusimamia ukweli hata kama darasa zima watanipinga. Walinieleza kuwa...
28 Reactions
57 Replies
2K Views
Waziri wa Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema baada ya kuwatembelea vijana kwenye maeneo mbalimbali amegundua kuwa moja ya changamoto zao ni kutokuwa na taarifa za fursa zinazotolewa na...
2 Reactions
8 Replies
241 Views
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimewasilisha Shauri la Rufaa Na. 56/2025 katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), kikipinga uhalali wa kuzimwa kwa mtandao kote nchini Tanzania...
3 Reactions
4 Replies
224 Views
Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, emewashangaa wanaharati wanaohimiza watanzania kuacha kusikiliza nyimbo na kuhudhuria matamasha yanayowahusisha wasanii wa Tanzania kwakuwa waliiunga mkono...
4 Reactions
19 Replies
516 Views
Taarifa zinaeleza kuwa binti aitwaye fatuma roby marwa (21), mkazi wa mji wa sirari wilayani tarime mkoani mara, ameripotiwa kutekwa leo saa 10 jioni akiwa anatoka sokoni. kwa mujibu wa taarifa za...
4 Reactions
12 Replies
362 Views
Leo (Jana, Desemba 17, 2025) nimemtembelea Mteja wangu Mhe Lissu, Ukonga Gerezani kujadiliana naye hatima ya kesi zinazomkabili, ashukuliwe Mungu kwa kuendelea kumjalia afya na siha njema...
20 Reactions
88 Replies
1K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam imewaruhusu waleta maombi kufungua kesi ya msingi, katika shauri namba 30210/2025 linalohusu kupinga uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...
0 Reactions
8 Replies
255 Views
waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa mpango wa bima ya afya kwa wote unatarajiwa kuzinduliwa kuanzia mwezi januari 2026, huku akizihimiza hospitali...
1 Reactions
8 Replies
280 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza makandarasi wanaoshindwa kutekeleza miradi na ambao hawawalipi wazawa, wasipewe kazi nyingine.
4 Reactions
52 Replies
975 Views
Wajumbe sina mengi moja kwa moja kwenye mada 1.Maandamano ya amani yasiyo koma ambayo mpaka sasa haya wezekani ,kwa kuwa JESHI LA WANANCHI, JESHI LA POLISI NA USALAMA WA TAIFA hawapo upande wa...
14 Reactions
36 Replies
915 Views
The Tanzanian government is on the hunt for a Washington lobbyist to help “shape its narrative” on Capitol Hill and beyond as the East African nation reels from post-election violence that has...
17 Reactions
114 Replies
2K Views
Clemence Mwandambo amemuhoji Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu hoja yake aliyoitoa akieleza kuwa wasanii wanapokuwa katika majukwaa ya CCM ni miongoni mwa sehemu ya kazi zao. Mwandambo amehoji...
11 Reactions
13 Replies
431 Views
Njia ya kumaliza maandamano sababu kuu za maandamano lazima zitatuliwe kwanza ikiwemo muuaji kuachia madaraka hata tutawala kamwe. Na hakuna mtu wa kutubabaisha babaisha tunachukua nchi yetu.
3 Reactions
24 Replies
456 Views
"nilikua nakuskiliza pale ulivokua unaongelea na kutoa maelekezo thabiti ya barabara ambayo imetajwa na Baba askofu na makofi mengi ya wananchi yaliashiria kwamba wamekuelewa. Yale maelekezo...
2 Reactions
18 Replies
641 Views
"Mkuu wa Mkoa uko hapa, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi upo hapa na Nyota Mtoto wetu yupo hapa. Nafikiri nikisema hivyo mmenielewa. Mmenielewa? Nyota ya mtoto wetu yupo hapa, nawashukuru sana...
14 Reactions
120 Replies
4K Views
MBUNGE SARA MSAFIRI AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA MZIHA Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mheshimiwa Sara Msafiri, amekabidhi rasmi gari la wagonjwa (ambulance) kwa Kituo cha Afya Mziha, huku...
0 Reactions
4 Replies
307 Views
MHE. SARA MSAFIRI APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MVOMERO Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mkoani Morogoro, Mhe. Sara Msafiri amefanya kikao kazi na Wakuu wa idara mbalimbli...
0 Reactions
19 Replies
356 Views
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo...
5 Reactions
19 Replies
612 Views
Back
Top Bottom