Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimeangalia kihoja cha mwaka huu wa uchaguzi 2025. Huyu luhanga mpina anatafuta huruma kwa nguvu sana mana kashaona ngoma ni ngumu sana kutoboa licha ya kukinzana na viongozi wenzake huko ccm...
1 Reactions
1 Replies
376 Views
Taasisi ya Tulia Trust chini ya Mkurugenzi wake ambaye ni Spika wa Bunge, Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) na Mbunge Mbeya Mjini Dkt. Tulia Ackson imetoa futari kwa waumini 200 wa dini wa...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Chifu wa Mkoa wa Mbeya, Rocketi Masoko Mwanshinga, amewataka wananchi wote wa mkoa huo kutumia haki yao ya kikatiba kujiandikisha na kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Chifu...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakuu, Askofu wa Pili wa Kanisa la Anglikana, Jimbo la Tarime mkoani Mara, John Nyaitara, ameiomba serikali kuwapa viongozi wa dini nafasi ya uwakilishi bungeni ili waweze kushughulikia...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Kumekuwa na Majigambo mengi na makubwa sana baina ya watu wa Kanda ya Ziwa wakiwakilishwa na Mwanza dhidi ya watu wa Nyanda za Juu Kusini Wakiwakilishwa na Mbeya. Sasa kulingana na Haina ya haya...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa hamasa na mchecheto wa wananchi katika zoezi la uandikishaji na maboresho ya daftari la kudumu la kupiga kura, ni wazi wana hamu sana kushiriki katika uchaguzi mkuu wa kihistoria wa...
6 Reactions
80 Replies
3K Views
Shauku na hamasa kubwa waliyonayo wananchi wa jiji la Dar es salaam wa kuitikia wito wa Tume Huru ya Uchaguzi wa kujiandikisha kwa wale ambao wametimiza sifa, lakini pia kuboresha taarifa zao kwa...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema Serikali imeamua kuwekeza katika elimu ya mafunzo na ufundi stadi (VETA) ili kuweza kuongeza ajira nchini kwa miaka ijayo kwani...
1 Reactions
3 Replies
394 Views
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani, ameishukuru serikali ya awamu ya Sita chini inayoongozwa na Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania* kwa...
0 Reactions
1 Replies
360 Views
1. January Makamba 2. Nape Moses Nnauye 3. Ummy Mwalimu 4. Babu Tale 5. Bashiru Ally Kakurwa 6.Stergomena Tax 7. Liberata Mulamula 8. Stella Manyanya 9. Ole Sendeka 10. Job Ndugai. 11. Vita Kawawa...
8 Reactions
62 Replies
4K Views
Wakuu Babu anasema yeye ni mwanafunzi wa darasa la tatu C na hapa alikua ameenda ku-support chama lake la Lamata Village FC kwenye mashindano ya Samia Celebrities and companies Cup...
0 Reactions
0 Replies
332 Views
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewakumbusha wananchi wote wa Mkoa wa Dar es Salaam waliojiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mwaka 2015 na 2020 na kadi zao za mpiga kura...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Mpaka sasa hakuna page yoyote ya rais iliyoposti chochote kuhusu kumbukizi ya mtangulizi wake john pombe magufuli ! Sio waziri mkuu Wala makamu wa rais aliyethubutu kuzungumza chochote ! Labda...
23 Reactions
136 Replies
7K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ndogoTabora imeshindwa kusikiliza kesi ya madai mchanganyiko ya kuomba kurudishwa kwa mchakato wa mabadiliko ya upatikanaji wa Katiba mpya inayoikabili Tume Huru...
0 Reactions
2 Replies
548 Views
Kwenye video hii Ahmed Kombo, mwanaharakati huru, anaelezea ukubwa wa Rais Samia na kumwaga sifa kedekede mpaka kufikia kusema baada ya Mtume Mohammad na Yesu anafuata Rais Samia! Amenikumbusha...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji kwa wakati na kuondoa urasimu usio wa lazima...
1 Reactions
3 Replies
670 Views
Chama Cha Mapinduzi CCM kupitia kwa Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Deogratius Nsokolo kimepiga marufuku wanachama wote walioanza na wanaotarajia kuanza harakati za kujinadi kuelekea Uchaguzi...
0 Reactions
1 Replies
334 Views
tulishakubaliana kuwa katiba ni kijitabu flani hivi, hivyo kisitusumbue sana. Uongozi bora ni utashi wa kiongozi aliyechaguliwa. Nadhani wote tunashuhudia yanayoendelea Marekani ambao ndiyo mama...
0 Reactions
0 Replies
278 Views
Leo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…