Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Msajili wa vyama vya siasa punguza unazi kidogo alafu fanya kazi yako. Kuna mahali unapwaya na kushindwa kuficha hisia zako. Juzi umemsikia mwenezi wa CCM alichosema hadharani mbele ya wananchi...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwenye harakati zangu za leo asubuhi nimekutana na jambo lililonishangaza. Kumbe watu ni wajanja sana na wanafiki. Kwenye hilo gari aina ya Toyota Double Cabin lilikuwa na mabango yenye picha za...
1 Reactions
1 Replies
342 Views
Katika kipindi cha hivi karibuni, kauli tata na malalamiko ya wapiga kura wa Moshi Manispaa yameibuka, yakihusiana na ujenzi wa soko la Mbuyuni. Wapiga kura wamekuwa wakilalamika kuhusu thamani...
0 Reactions
13 Replies
900 Views
Magufuli alipomsaidia mwananchi kulipa bill hodpitali ya Muhimbili SIJUI NIENDELEE KUNUNUA MAGOLI AU NIANZE NA MIMI KUSAIDIA WASOJIWEZA ?
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Jumanne Muliro, ameandaa hafla ya Iftar nyumbani kwake Kimara, Dar es Salaam, Machi 22, 2025, kwa...
0 Reactions
1 Replies
481 Views
Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) imeidhinisha mapendekezo ya kugawa majimbo matatu ya uchaguzi ya Kilindi, Muheza, na Handeni Vijijini, kuwa na majimbo mawili kila moja katika uchaguzi...
0 Reactions
1 Replies
460 Views
Wakati mwezi wa funga ukielekea ukingoni ,Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Njombe imefutulisha watu zaidi ya 1500 wakiwemo madereva bodaboda, bajaji, wafanyabiashara ,viongozi wa dini na...
0 Reactions
10 Replies
601 Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, amewataka wanachama wa chama hicho kudumisha amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza, Machi 24...
0 Reactions
1 Replies
514 Views
Mimi ni mpitaji wa barabara hii kila siku. Tokea walipojenga hiyo barabara wale jamaa zetu wa KONOIKE ya Japan, mwaka 2012, pamejitokeza tatizo kubwa la maji ya mvua kubwa kupita maeneo kadhaa...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Mi nafikiri ustaarabu unahitajika zaidi na si ubaguzi kwenye kushughulikia suala hili maana tutajikuta tuko kinyume hata na UN Resolution on Race and Human Rights though we have ratified the...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Huku Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) ikipokea mapendekezo ya Kamati ya Wilaya Ilala (DCC) na kuridhia kuhusu kugawanywa kwa Jimbo la Ukonga na kuanzishwa kwa Jimbo jipya la...
0 Reactions
6 Replies
884 Views
Mbunge wa Ukonga, Mhe. Jerry Silaa, ameahidi ujenzi wa barabara ya lami katika Kata ya Kivule, akisema kero hiyo itaondolewa hivi karibuni. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
632 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kuombea uchaguzi mkuu 2025, Alex Msama leo ameongea na wandishi wa habari kuwa Maandalizi ya Tamasha la kuombea uchaguzi yanaendelea vizuri na kuwa...
3 Reactions
40 Replies
3K Views
Mwigulu nchemba amebaki kumsifia tu kisa anaipa mipesa kila siku ya kununulia Magali yake ya ester. Juzi tu amenunua mabasi mapya 50.
3 Reactions
21 Replies
862 Views
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Ufisadi ndio tatizo kubwa linaloigharimu serikali ya CCM kwa sasa! Watu walewale,Mambo yaleyale na Mfumo uleule uliokuwa umeidhoofisha CCM kabla ya 2015. Ndio Ujinga uliorudi kwa kasi ya 4G hivi...
24 Reactions
77 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) ametoa maagizo kwa Viongozi wa UVCCM mikoa yote na wilaya Tanzania kuwa na vitega uchumi ili kuondoa utegemezi. Kawaida ameyasema hayo leo...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Watu wanasema kama rais Samia anaweza kuonesha ukali kwa viongozi wa vyama vya upinzani na watu wenye mawazo kinzani na yeye kumbe anaweza kuwa mkali kwa wazembe na mafisadi waliopo nchini ambao...
2 Reactions
7 Replies
492 Views
Wanabodi, Kama ilivyo kawaida yetu jf, wewe kama mwana JF, una pata ile kitu inaitwa the jf advantage to "be the first to know" kuwa ujio wa Lawassa kujiunga Chadema, sio tuu utakipaisha...
17 Reactions
184 Replies
28K Views
Wanabodi, Baada tuu ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema ilipopata ushindi wa kutimiza Akidi ya Kuunda Kambi Rasmi ya Upinzani, nilipandisha Uzi unaoitwa huu, CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…