Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mimi ni mpitaji wa barabara hii kila siku. Tokea walipojenga hiyo barabara wale jamaa zetu wa KONOIKE ya Japan, mwaka 2012, pamejitokeza tatizo kubwa la maji ya mvua kubwa kupita maeneo kadhaa...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Mi nafikiri ustaarabu unahitajika zaidi na si ubaguzi kwenye kushughulikia suala hili maana tutajikuta tuko kinyume hata na UN Resolution on Race and Human Rights though we have ratified the...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Huku Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) ikipokea mapendekezo ya Kamati ya Wilaya Ilala (DCC) na kuridhia kuhusu kugawanywa kwa Jimbo la Ukonga na kuanzishwa kwa Jimbo jipya la...
0 Reactions
6 Replies
884 Views
Mbunge wa Ukonga, Mhe. Jerry Silaa, ameahidi ujenzi wa barabara ya lami katika Kata ya Kivule, akisema kero hiyo itaondolewa hivi karibuni. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
632 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kuombea uchaguzi mkuu 2025, Alex Msama leo ameongea na wandishi wa habari kuwa Maandalizi ya Tamasha la kuombea uchaguzi yanaendelea vizuri na kuwa...
3 Reactions
40 Replies
3K Views
Mwigulu nchemba amebaki kumsifia tu kisa anaipa mipesa kila siku ya kununulia Magali yake ya ester. Juzi tu amenunua mabasi mapya 50.
3 Reactions
21 Replies
862 Views
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Ufisadi ndio tatizo kubwa linaloigharimu serikali ya CCM kwa sasa! Watu walewale,Mambo yaleyale na Mfumo uleule uliokuwa umeidhoofisha CCM kabla ya 2015. Ndio Ujinga uliorudi kwa kasi ya 4G hivi...
24 Reactions
77 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) ametoa maagizo kwa Viongozi wa UVCCM mikoa yote na wilaya Tanzania kuwa na vitega uchumi ili kuondoa utegemezi. Kawaida ameyasema hayo leo...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Watu wanasema kama rais Samia anaweza kuonesha ukali kwa viongozi wa vyama vya upinzani na watu wenye mawazo kinzani na yeye kumbe anaweza kuwa mkali kwa wazembe na mafisadi waliopo nchini ambao...
2 Reactions
7 Replies
492 Views
Wanabodi, Kama ilivyo kawaida yetu jf, wewe kama mwana JF, una pata ile kitu inaitwa the jf advantage to "be the first to know" kuwa ujio wa Lawassa kujiunga Chadema, sio tuu utakipaisha...
17 Reactions
184 Replies
28K Views
Wanabodi, Baada tuu ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema ilipopata ushindi wa kutimiza Akidi ya Kuunda Kambi Rasmi ya Upinzani, nilipandisha Uzi unaoitwa huu, CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Kada Godfrey Sitta wa CCM kutoka Wilaya ya Meatu, ajitokeza hadharani kufichua yaliyojificha ndani ya Chama kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Mimi ni CCM, lakini kwa hapa tulipofikia nipo tayari kufa...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu, Msemaji wa Mbezi Beach leo nimeenda kuboresha taarifa zangu kwenye daftari kudumu la wapiga kura katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa Mbezi Beach B. Wakati niko nasubiri kuandikishwa ilikuwa...
5 Reactions
58 Replies
3K Views
Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu amekabidhi pikipiki sita kwa ajili kuwawezesha viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutekeleza majukumu yao hasa wakati huu chama hicho kikijiandaa...
0 Reactions
6 Replies
634 Views
Prof.Alikuwa akizungumza kwenye kongamano la kumpongeza Rais Samia na kuangazia mafanikio ya miaka 4 madarakani. -- Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi...
3 Reactions
57 Replies
2K Views
Sheikh wa Wilaya ya Nkasi, Sheikh Hadhi Daruweshi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Amani na Maridhiano katika wilaya hiyo, amesisitiza kuwa kushiriki katika uchaguzi ni jambo linalopaswa...
0 Reactions
1 Replies
330 Views
Rejea sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia, Serikali ya CCM na Bunge bandia la CCM, waliwadharau na kuwapuuza Watanzania wote. Vyama vya upinzani, taasisi za dini, chama cha wanasheria Tanganyika...
6 Reactions
7 Replies
646 Views
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, Omari Mtuwa, amewaonya viongozi wa chama hicho kuacha tabia ya kuwa madalali wa siasa badala ya kukitumikia chama kwa uaminifu. Kupata matukio...
0 Reactions
2 Replies
377 Views
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) amekabidhi gari kwa ofisi ya UVCCM mkoa wa Singida ili kusaidia shughuli za kila siku. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
0 Reactions
3 Replies
438 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…